Rais mstaafu Jakaya Kikwete amehitimisha mapumziko yake kwa kutembelea Hifadhi ya Taifa ya Serengeti

Pfizer

JF-Expert Member
Mar 25, 2021
305
519
Rais Mstaafu Mhe Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete amehitimisha mapumziko yake mafupi ya mwisho wa mwaka kwa kutembelea Hifadhi ya Taifa ya Serengeti.

Dkt Kikwete, ambaye ameongozana na Mkewe Mama Salma Kikwete katika ziara hiyo, pia alipata wasaa wa kupita katika Kituo cha Makumbusho ya Bonde la Olduvai na Hifadhi ya Ngorongoro.
IMG-20221219-WA0001.jpg
IMG-20221219-WA0005.jpg
IMG-20221219-WA0004.jpg
IMG-20221219-WA0000.jpg
IMG-20221219-WA0005.jpg
IMG-20221219-WA0002.jpg
IMG-20221219-WA0003.jpg
 
Rais Mstaafu Mhe Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete amehitimisha mapumziko yake mafupi ya mwisho wa mwaka kwa kutembelea Hifadhi ya Taifa ya Serengeti.

Dkt Kikwete, ambaye ameongozana na Mkewe Mama Salma Kikwete katika ziara hiyo, pia alipata wasaa wa kupita katika Kituo cha Makumbusho ya Bonde la Olduvai na Hifadhi ya Ngorongoro.
View attachment 2451585View attachment 2451586View attachment 2451587View attachment 2451588View attachment 2451589View attachment 2451592View attachment 2451593
CODED: Yupo Mapumzikoni

KNOWN: Mstaafu

REALITY:-
Mstaafu jina. Lakini yupo mzigoni kama kawa ndo backbone ya mfulani ndo maana mambo mengi ya ajabu ajabu yanaendelea chini ya vijana wake aliowapenyeza huko.

Mstaafu (ambaye kagoma kustaafu) yupo mapumzikoni na ameyahitimishia mbugani.

Nashukuru kwa taarifa
 
Back
Top Bottom