Jidu La Mabambasi
JF-Expert Member
- Oct 20, 2014
- 15,334
- 24,229
Suala eneo la Ihefu, chanzo cha mto mkuu wa Ruaha, limekuwa likilalamikiwa kwa miaka sasa.
Najua serikali imekuwa ikilishughulikia hili tatizo la kuingiliwa Ihefu kwa nyakati tofauti, lakini ni kama imekuwa funika kombe wanaharamu wapite.
Nashindwa kuelewa, inakuwaje mtu, watu wanachepusha mto mzimaa!!!
Na serikali hiyohiyo ipo.
Wafugaji wenye makundi ya ng'ombe 3,000 hadi 10,000 wameshidwa kudhibitiwa kwa miaka!
Kweli?
Serikali na vyombo vyake vyote imeshindwa kulitatua suala la Ihefu.
Sasa tunashituka Kidatu maji hakuna, Bwawa la Nyerere linatishia kuwa a white eleohant!
Hivi kuna uhujumu uchumi zaidi ya huu?
Cha kuchekesha kama si kufadhaisha, hivi inabidi Waandishi wa habari wateme ukweli kuwa kuna ka Gang of 12 walioikaba nchi wakati huu wa ukame?
Haingii akilini, lazima kuna mtu mkubwa kawekwa mfukoni!
Najua serikali imekuwa ikilishughulikia hili tatizo la kuingiliwa Ihefu kwa nyakati tofauti, lakini ni kama imekuwa funika kombe wanaharamu wapite.
Nashindwa kuelewa, inakuwaje mtu, watu wanachepusha mto mzimaa!!!
Na serikali hiyohiyo ipo.
Wafugaji wenye makundi ya ng'ombe 3,000 hadi 10,000 wameshidwa kudhibitiwa kwa miaka!
Kweli?
Serikali na vyombo vyake vyote imeshindwa kulitatua suala la Ihefu.
Sasa tunashituka Kidatu maji hakuna, Bwawa la Nyerere linatishia kuwa a white eleohant!
Hivi kuna uhujumu uchumi zaidi ya huu?
Cha kuchekesha kama si kufadhaisha, hivi inabidi Waandishi wa habari wateme ukweli kuwa kuna ka Gang of 12 walioikaba nchi wakati huu wa ukame?
Haingii akilini, lazima kuna mtu mkubwa kawekwa mfukoni!