Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,600
- 218,001
Taarifa zinaonyesha kwamba Sherehe hizo Kabambe za kuukaribisha Mwaka mpya zimesimamiwa na EFM na TV E chini ya Uratibu wa mzee wa Scratch DJ MAJIZO, ambapo Mgeni Rasmi ni Rais Mstaafu Jakaya Kikwete.
Nawatakia kila la heri wote wanaoruka majoka hapo Msoga.
Nawatakia kila la heri wote wanaoruka majoka hapo Msoga.