Vuguvugu la mpasuko limeendelea kufukuta visiwani Zanzibar baada ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) kuahidi kufanya uchambuzi wa kauli mwanasiasa na mwanadiplomasia, Balozi Ali Abeid Karume kuhusu...
Mpaka hapa tulipo kama nchi, tumetoka mbali sana!
Tumepitishwa jangwani sisi, kwenye miiba na mbigili tumepitishwa,
Tumepita kwenye machungu makali na kisha viongozi wetu badala ya kutengeneza...
Ni kilio kikubwa kwa askari wa jeshi la polisi nchini posho zao zimekuwa zinapigwa danadana kwa visingizio kuwa mtandao makao makuu dodoma unasumbua mara kwa mara na hadi sasa hawajapata posho zao...
Senagali kwa sasa hali ni tete baada ya Kiongozi wa Upinzani kuhukumiwa kwa kosa la Ubakaji kesi ambayo inekana ni ya Kisiasa.
Hili kwa Tanzania labda baada ya kizi cha 5 kutoka hiki tulicho...
Ni ukweli ulio wazi kuwa Waandishi wa habari ni watu wanaosubiria Teuzi na kwa maana hiyo ni wana-CCM.
Chadema wamefanya operesheni +255 lakini hakuna chombo cha habari makini kilichoripoti...
Leo Makamu wa Rais, Philip Mpango ametua Bujumbura, Burundi.
Tangu kuteuliwa kwake, Makamu wa Rais ameshaenda Burundi zaidi ya mara mbili. Kulikoni ziara hizi za mara kwa mara nchini huko kunani?
January Makamba aweka historia Bungeni, haijawahi kutokea
January Makamba ameandika historia.
Kiwango cha hii rushwa hakijawahi kutokea tangu Tanzania ipate uhuru.
Akiwa mtoa rushwa mkuu...
Hii nchi nacho Ipendea sisi Vilaza tuko wengi tunadanganywa sana na tutadanganywa hadi mauti itukute, yaani mwisho wa kufanganywa na kuhadaiwa ni siku mtu amekata pumzi, tofauti na hapo tuendelee...
HOTUBA YA WAZIRI KIVULI WA MALIASILI NA UTALII_ACT WAZALENDO NDG. JULIANA DONALD MWAKAN’GWALI KUHUSU MPANGO WA BAJETI WA WIZARA YA MALIASILI NA UTALII KWA MWAKA WA FEDHA 2023/24.
Utangulizi...
WAZIRI JENISTER MHAGAMA - SERIKALI KUJENGA VITUO VYA MAFUNZO KWA WARAIBU DAWA ZA KULEVYA
Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu anayeshughulikia Sera, Bunge na Uratibu, Jenista Mhagama amesema...
Spika mstaafu mama Makinda amesema Ujio wa Hayati Magufuli kama Rais wa JMT ni Siri ya Mungu na hata sasa ameungana na Hayati baba wa taifa Mwalimu Nyerere huko Peponi.
Makinda amesema Magufuli...
Kwa nia Njema kabisa naomba kuuliza huko Kanda ya Magharibi na Ziwa Victoria hivi Mkoa wa Kigoma na Kagera upi ni Maskini Wenye Watu waliotopea kwenye ufukara?
Nakumbuka Kariakoo ya 1980s...
Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Albert Chalamila ameyasema hayo akizingumza katika mapokezi ya ndege mpya ya mizigo aina ya BOEING B767-300F, mapokezi yanayoongozwa na Rais Samia katika Uwanja wa...
Mimi nimezaliwa Bukoba
Nimesoma Uganda
Chuo Dsm
Niseme tu hii Nchi hakuna Sehemu Unaweza sema Kuna watu wana unafuu wa Maisha Jibu ni Kwamba Bukoba wana umasikini wa Majumba lakini chakula kizuri...
Waungwana, Umofia kwenu, kwanza nifanye declaration kuwa sina chama.
Pili, pia niweke wazi kuwa nilipiga kura ya urais kwa ndugu John Pombe. Sababu kubwa haikuwa ya kisiasa.
Sababu ya kwanza...
Ukweli ni kwamba Hayati Magufuli alikuwa anaipenda hii nchi na Ndoto yake ilikuwa na kuifanya Tanzania kama Ulaya.
Bado tunahitaji Rais kama Magufuli.
Mungu ibariki Tanzania.
Hiki ndicho alichokisema "Anna Makinda" Spika wabunge mstaafu na nguli wa siasa hapa Tanzania akihudumu serikalini kwa zaidi ya miaka 40, kuhusiana na Hayati Marehemu Magufuli.
Tega sikio...
WASIFU WAKE KWA UFUPI.
JINA: Dr.Vincent Mashingi
UMRI: Miaka 43
KABILA: Msukuma
TAALUMA: Daktari bingwa wa binadamu (MMED) na Daktari wa Falsafa (PhD).
ELIMU:
1981 - 1987 Elimu ya Msingi...
Watu wameshakujua kuwa wewe ni mtu wa kuwinda pesa tu .
Haijalishi kuwa Mzee mtei kuwa ni mzee wako na kuwa ni muasisi basi ndio ung'ag'ane kana kwamba Chadema ni private property.
Chadema ni...
mimi siijui sana siasa ila kwa mwendo huu wa Rais Ruto kuanza kuipinga dora ya marekani na rais Museven kupinga vikali tamaduni za magharibi, naona kabisa kama Hayati Magufuli angekuwa hai...