Umasikini wa watu wa Bukoba unapimwa kwa kutumia vigezo gani?

DR HAYA LAND

JF-Expert Member
Dec 26, 2017
18,014
45,538
Mimi nimezaliwa Bukoba
Nimesoma Uganda
Chuo Dsm

Niseme tu hii Nchi hakuna Sehemu Unaweza sema Kuna watu wana unafuu wa Maisha Jibu ni Kwamba Bukoba wana umasikini wa Majumba lakini chakula kizuri as the same Dsm watu nyumba Nzuri lakini njaa ya watu kukosa chakula kawaida. Sana hasa ukitazama maeneo ya uswahilini there's no any relief.

Nahitimisha kwa kusema kuwa hapa Tz tuna safari ndefu Sana hakuna was kumcheka mwenzio maana sote tupo Katika meli moja na inatundu.

Watu wa hand to mouth ndo tupo wengi Tz so hakuna Sehemu Kuna unafuu hapa Tanzagiza


Nadhani kipimo Cha umasikini Bukoba ni makusanyo madogo ya Kodi lakini Kuhusu suffering watu kuishi Maisha magumu hii ni nchi nzima .
 
Per capital income na GDP ya uhaya land is too low compared ya Kinondoni dsm
Kuna unequal distribution ya social servce mtu wa bukoba town na yule wa bush wanautofaut
 
Hand to mouth ipo mostly in rural areas huku urban kuna saving mkuu
 
Per capital income na GDP ya uhaya land is too low compared ya Kinondoni dsm
Kuna unequal distribution ya social servce mtu wa bukoba town na yule wa bush wanautofaut
Yes Mkuu , hapo Bukoba mjini ndo home na huko vijijini kwa Bibi na Babu niseme Maisha ya. Bukoba mjini na dsm town hakuna tofauti unahitaji kutumia akili Sana kutoboa na Kupata mahitaji yako muhimu hasa Kama wewe hauna Ajira
 
Urban ndo hipo hiyo unafanyaje saving kwa mshahara Mdogo na wengine hawana Ajira kabisa juzi mshahara umechelewa umeona jinsi watumishi wa Umma walivyokuwa wanalalamika kuwa njaa inauma just imagine hao ndo wapo employed ebu njoo kwa Mtu ambaye Hana Ajira rasmi ambao ndo wengi wapo mjini
Hand to mouth ipo mostly in rural areas huku urban kuna saving mkuu
 
😂😂 hee kwamba hukoba town na posta panafanans

Mzunguko wa pesa pale mbezi Luis tu inauzid huko kwenu
Yes Mkuu , hapo Bukoba mjini ndo home na huko vijijini kwa Bibi na Babu niseme Maisha ya. Bukoba mjini na dsm town hakuna tofauti unahitaji kutumia akili Sana kutoboa na Kupata mahitaji yako muhimu hasa Kama wewe hauna Ajira
 
Mimi nimezaliwa Bukoba
Nimesoma Uganda
Chuo Dsm

Niseme tu hii Nchi hakuna Sehemu Unaweza sema Kuna watu wana unafuu wa Maisha Jibu ni Kwamba Bukoba wana umasikini wa Majumba lakini chakula kizuri as the same Dsm watu nyumba Nzuri lakini njaa ya watu kukosa chakula kawaida. Sana hasa ukitazama maeneo ya uswahilini there's no any relief.

Nahitimisha kwa kusema kuwa hapa Tz tuna safari ndefu Sana hakuna was kumcheka mwenzio maana sote tupo Katika meli moja na inatundu.

Watu wa hand to mouth ndo tupo wengi Tz so hakuna Sehemu Kuna unafuu hapa Tanzagiza


Nadhani kipimo Cha umasikini Bukoba ni makusanyo madogo ya Kodi lakini Kuhusu suffering watu kuishi Maisha magumu hii ni nchi nzima .
Bukoba hamna umasikini, wa chakula kulichopo bukoba ni ujinga ubinafsi pamoja na majigambo, wana kila kitu cha kuwafanya cha kuchochea uchumi huwezi kulinganisha bkb na mikoa kama, Lindi, tabora Rukwa, mtwara nk.
 
Bukoba hamna umasikini, wa chakula kulichopo bukoba ni ujinga ubinafsi pamoja na majigambo, wana kila kitu cha kuwafanya cha kuchochea uchumi huwezi kulinganisha bkb na mikoa kama, Lindi, tabora Rukwa, mtwara nk.
Mkuu upo sahihi ubinafsi upo kwa Asilimia kubwa ya Watz
 
😂😂 hee kwamba hukoba town na posta panafanans

Mzunguko wa pesa pale mbezi Luis tu inauzid huko kwenu
We unachukulia mambo jujuuu tu tunachoangilia katika hoja yangu ni individual Quality life nahitaji kujua watu wanoishi dsm mjini na Bukoba quality zao za Maisha zipoje ? Yaani Maisha ya mjini nchi nzima ni the same ukiangalia Maisha ya Mtu mmoja mmoja as the same vijijini so Mimi nasema hii nchi swala la Umasikini upo nchi nzima hapa dsm Kuna watu wanaishi Maisha Magumu as the same Bukoba so tusiseme Bukoba ni masikini Bali tuseme nchi nzima masikini
 
Naona Zito kabwe kawagusa pabaya sana wazawa wa bukoba, Ndugu zangu kikubwa msichukulie kitu hiki kama ugomvi, Watu wa bukoba mmeenea Taifa zima, rudini mkawekeze Nyumbani kwa kiasi kikubwa, saidianeni niny kwa ninyi na sio kujisifu tu
 
Ukifanyiwa operation wakakuta tumbo limejaa mboga za majani aisee kama mbuzi basi ni masikin😬😬😬
 
Kamwe bukoba haitakuja kutoboa kama wenyeji hawapendi kuruhusu mwingiliano na wageni as same to Moshi .Ukichunguza maeneo mengi ambapo kunamwingiliano mkubwa wa watu Kariba tofautitofauti yamepiga hatua KUBWA mifano hai ni Tunduma ,Dar,Mwanza Arusha, Kahama etc
 
Back
Top Bottom