johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,035
- 142,141
Spika mstaafu mama Makinda amesema Ujio wa Hayati Magufuli kama Rais wa JMT ni Siri ya Mungu na hata sasa ameungana na Hayati baba wa taifa Mwalimu Nyerere huko Peponi.
Makinda amesema Magufuli amekamilisha miradi yote Kuanzia ile ya 1960 ambayo ilimshinda hata Mwalimu Nyerere
Makinda amesema Mgombea yoyote atakayempinga Magufuli atashindwa Uchaguzi na ndio sababu hata Kauli mbiu ya Rais Samia inasema Kazi Iendelee alimaanisha Kazi iliyoanzishwa na Hayati Magufuli
Mama Makinda amesema hayo jijini Mwanza Katika Misa ya kumkumbuka Magufuli ambapo akihudhuria kama muumini wa kawaida
Source: Ayo tv
Makinda amesema Magufuli amekamilisha miradi yote Kuanzia ile ya 1960 ambayo ilimshinda hata Mwalimu Nyerere
Makinda amesema Mgombea yoyote atakayempinga Magufuli atashindwa Uchaguzi na ndio sababu hata Kauli mbiu ya Rais Samia inasema Kazi Iendelee alimaanisha Kazi iliyoanzishwa na Hayati Magufuli
Mama Makinda amesema hayo jijini Mwanza Katika Misa ya kumkumbuka Magufuli ambapo akihudhuria kama muumini wa kawaida
Source: Ayo tv