Ndege za Mizigo zinazo tua kwa jirani hapo sio za kwao.Ila zinatua

BLACK MOVEMENT

JF-Expert Member
Mar 11, 2020
2,704
6,499
Hii nchi nacho Ipendea sisi Vilaza tuko wengi tunadanganywa sana na tutadanganywa hadi mauti itukute, yaani mwisho wa kufanganywa na kuhadaiwa ni siku mtu amekata pumzi, tofauti na hapo tuendelee kuhadaiwa tu make ndio tulivyo , back Kwenye maada sasa;

Ndege za mizigo au abiria ni Demand driven, haihitaji nchi iwe na ndege zake za mizigo au abiria, ndio sasa ifanye biashara za nizigo, hii ni hadaa za kudanganya Taifa la wavivu kufikiri kama Tanzania, ncni imejaaa watu wasio hoji, Chawa tupu.

Kenya zinatua ndege za mizigo za mashirika Makubwa kabisa Duniani kama, Lufthansa Cargo ambayo hata ya abiria huku haiji ila Kenya zinatua, Brtish Airway Cargo zinatua Kenya, kwa kifupi, asilimia 99 ya ndege za mizigo zinazo tua Kenya sio za Kenya, bali ni za mashirika makubwa Duniani yanaenda kubeba mizigo.

Unazani tungekuwa na mizigo wasingekuja? Wangekuja sana kubeba mizigo lakini hawaji kwa sababu hakuna mizigo ya kuwalipa Tanzania.

Jiulize kwa nini Lufthansa ya abiria inatua Nairobi na Tanzania haitui? ni kwa sababu wanaona hakuna abiria na siku wakiwepo itakuja tu.

Tuendelee kufurahishana tu, tunachoma pesa kununua madude ambayo sana yata paki uwanjani kama maua tu.
 
Tunanunua kwa kutaka sifa za kijinga na Cha kushangazaa unaweza Kuta hatuna hata Business planning ni full kutumia pesa ya walipa Kodi hovyo ili kupata sifa za kisiasa.

Mwafrika ni kiumbe cha ajabu kuwahi kutokea katika maisha na historia ya binadamu na ustaarabu wake
 
Tunanunua kwa kutaka sifa za kijinga na Cha kushangazaa unaweza Kuta hatuna hata Business planning ni full kutumia pesa ya walipa Kodi hovyo ili kupata sifa za kisiasa.

Mwafrika ni kiumbe cha ajabu kuwahi kutokea katika maisha na historia ya binadamu na ustaarabu wake
Kabisa shida iko kwa Raia sio kwa viongozi, nchi ina Raia wapumbavu katika hii sayari
 
Tunanunua kwa kutaka sifa za kijinga na Cha kushangazaa unaweza Kuta hatuna hata Business planning ni full kutumia pesa ya walipa Kodi hovyo ili kupata sifa za kisiasa.

Mwafrika ni kiumbe cha ajabu kuwahi kutokea katika maisha na historia ya binadamu na ustaarabu wake
Sidhani kama kuna Raia au hat mwandidhi wa habari Tanzania anaweza hoji Business Planing, hiii ni mambo magumu kabisa kwao, ni sawa na na uwaulize Sayansi ya kwenda anga za juu.
 
Tumewaruhusu watutawale hadi kwa ubongo. Rulers are never Leaders
 
Sidhani kama kuna Raia au hat mwandidhi wa habari Tanzania anaweza hoji Business Planing, hiii ni mambo magumu kabisa kwao, ni sawa na na uwaulize Sayansi ya kwenda anga za juu.
Tanzania hakuna waandishi wa habari Kuna wapiga kelele kwenye media houses zote,maana bado tuna fikra za kuona uandishi ni kipaji (talent) na sio taalumu (professionalism) mwisho tumepoteza uelekeo leo hii kupata waandishi wa habari za kichunguzi ( Investigative journalism) aina ya Stan Katabalamo ni kipengele hata wahitimu wengi wanapenda habari nyepesi (soft news aka Yellow News) kuliko habari ngumu (hard news).
 
Tanzania hakuna waandishi wa habari Kuna wapiga kelele kwenye media houses zote,maana bado tuna fikra za kuona uandishi ni kipaji (talent) na sio taalumu (professionalism) mwisho tumepoteza uelekeo leo hii kupata waandishi wa habari za kichunguzi ( Investigative journalism) aina ya Stan Katabalamo ni kipengele hata wahitimu wengi wanapenda habari nyepesi (soft news aka Yellow News) kuliko habari ngumu (hard news).
Comedians na CHAWA
 
Nipo hapa kusubiri 2025 nipate kofia na chumvi nimchague tena kiongozi flani ili aendelee kunitawala hahahaaa...
 
Hii nchi nacho Ipendea sisi Vilaza tuko wengi tunadanganywa sana na tutadanganywa hadi mauti itukute, yaani mwisho wa kufanganywa na kuhadaiwa ni siku mtu amekata pumzi, tofauti na hapo tuendelee kuhadaiwa tu make ndio tulivyo , back Kwenye maada sasa;

Ndege za mizigo au abiria ni Demand driven, haihitaji nchi iwe na ndege zake za mizigo au abiria, ndio sasa ifanye biashara za nizigo, hii ni hadaa za kudanganya Taifa la wavivu kufikiri kama Tanzania, ncni imejaaa watu wasio hoji, Chawa tupu.

Kenya zinatua ndege za mizigo za mashirika Makubwa kabisa Duniani kama, Lufthansa Cargo ambayo hata ya abiria huku haiji ila Kenya zinatua, Brtish Airway Cargo zinatua Kenya, kwa kifupi, asilimia 99 ya ndege za mizigo zinazo tua Kenya sio za Kenya, bali ni za mashirika makubwa Duniani yanaenda kubeba mizigo.

Unazani tungekuwa na mizigo wasingekuja? Wangekuja sana kubeba mizigo lakini hawaji kwa sababu hakuna mizigo ya kuwalipa Tanzania.

Jiulize kwa nini Lufthansa ya abiria inatua Nairobi na Tanzania haitui? ni kwa sababu wanaona hakuna abiria na siku wakiwepo itakuja tu.

Tuendelee kufurahishana tu, tunachoma pesa kununua madude ambayo sana yata paki uwanjani kama maua tu.
HIDE YOUR STUPIDITY!
 
Kabisa shida iko kwa Raia sio kwa viongozi, nchi ina Raia wapumbavu katika hii sayari
Viongozi hutoka kwenye kundi kubwa la raia.
Kwa hiyo, kama viongozi ni wapuuzi basi raia ni wapumbavu.
Hata hivyo, ikitokea kiongozi wa hovyo amepata madaraka bahati mbaya, raia wana wajibu wa kumuondoa kwa gharama yoyote ili kuweka mtu sahihi kwa manufaa yao.
 
Hii nchi nacho Ipendea sisi Vilaza tuko wengi tunadanganywa sana na tutadanganywa hadi mauti itukute, yaani mwisho wa kufanganywa na kuhadaiwa ni siku mtu amekata pumzi, tofauti na hapo tuendelee kuhadaiwa tu make ndio tulivyo , back Kwenye maada sasa;

Ndege za mizigo au abiria ni Demand driven, haihitaji nchi iwe na ndege zake za mizigo au abiria, ndio sasa ifanye biashara za nizigo, hii ni hadaa za kudanganya Taifa la wavivu kufikiri kama Tanzania, ncni imejaaa watu wasio hoji, Chawa tupu.

Kenya zinatua ndege za mizigo za mashirika Makubwa kabisa Duniani kama, Lufthansa Cargo ambayo hata ya abiria huku haiji ila Kenya zinatua, Brtish Airway Cargo zinatua Kenya, kwa kifupi, asilimia 99 ya ndege za mizigo zinazo tua Kenya sio za Kenya, bali ni za mashirika makubwa Duniani yanaenda kubeba mizigo.

Unazani tungekuwa na mizigo wasingekuja? Wangekuja sana kubeba mizigo lakini hawaji kwa sababu hakuna mizigo ya kuwalipa Tanzania.

Jiulize kwa nini Lufthansa ya abiria inatua Nairobi na Tanzania haitui? ni kwa sababu wanaona hakuna abiria na siku wakiwepo itakuja tu.

Tuendelee kufurahishana tu, tunachoma pesa kununua madude ambayo sana yata paki uwanjani kama maua tu.
Nchi ya kipumbavu sana hii; yaani imejaa mitutusa kila kona
 
Hii nchi nacho Ipendea sisi Vilaza tuko wengi tunadanganywa sana na tutadanganywa hadi mauti itukute, yaani mwisho wa kufanganywa na kuhadaiwa ni siku mtu amekata pumzi, tofauti na hapo tuendelee kuhadaiwa tu make ndio tulivyo , back Kwenye maada sasa;

Ndege za mizigo au abiria ni Demand driven, haihitaji nchi iwe na ndege zake za mizigo au abiria, ndio sasa ifanye biashara za nizigo, hii ni hadaa za kudanganya Taifa la wavivu kufikiri kama Tanzania, ncni imejaaa watu wasio hoji, Chawa tupu.

Kenya zinatua ndege za mizigo za mashirika Makubwa kabisa Duniani kama, Lufthansa Cargo ambayo hata ya abiria huku haiji ila Kenya zinatua, Brtish Airway Cargo zinatua Kenya, kwa kifupi, asilimia 99 ya ndege za mizigo zinazo tua Kenya sio za Kenya, bali ni za mashirika makubwa Duniani yanaenda kubeba mizigo.

Unazani tungekuwa na mizigo wasingekuja? Wangekuja sana kubeba mizigo lakini hawaji kwa sababu hakuna mizigo ya kuwalipa Tanzania.

Jiulize kwa nini Lufthansa ya abiria inatua Nairobi na Tanzania haitui? ni kwa sababu wanaona hakuna abiria na siku wakiwepo itakuja tu.

Tuendelee kufurahishana tu, tunachoma pesa kununua madude ambayo sana yata paki uwanjani kama maua tu.
Una hoja mkuu..... umeelewaka vyema.
 

Attachments

  • IMG_20230604_112513_295.jpg
    IMG_20230604_112513_295.jpg
    37.8 KB · Views: 1
Hii nchi nacho Ipendea sisi Vilaza tuko wengi tunadanganywa sana na tutadanganywa hadi mauti itukute, yaani mwisho wa kufanganywa na kuhadaiwa ni siku mtu amekata pumzi, tofauti na hapo tuendelee kuhadaiwa tu make ndio tulivyo , back Kwenye maada sasa;

Ndege za mizigo au abiria ni Demand driven, haihitaji nchi iwe na ndege zake za mizigo au abiria, ndio sasa ifanye biashara za nizigo, hii ni hadaa za kudanganya Taifa la wavivu kufikiri kama Tanzania, ncni imejaaa watu wasio hoji, Chawa tupu.

Kenya zinatua ndege za mizigo za mashirika Makubwa kabisa Duniani kama, Lufthansa Cargo ambayo hata ya abiria huku haiji ila Kenya zinatua, Brtish Airway Cargo zinatua Kenya, kwa kifupi, asilimia 99 ya ndege za mizigo zinazo tua Kenya sio za Kenya, bali ni za mashirika makubwa Duniani yanaenda kubeba mizigo.

Unazani tungekuwa na mizigo wasingekuja? Wangekuja sana kubeba mizigo lakini hawaji kwa sababu hakuna mizigo ya kuwalipa Tanzania.

Jiulize kwa nini Lufthansa ya abiria inatua Nairobi na Tanzania haitui? ni kwa sababu wanaona hakuna abiria na siku wakiwepo itakuja tu.

Tuendelee kufurahishana tu, tunachoma pesa kununua madude ambayo sana yata paki uwanjani kama maua tu.
Huu ukweli mchungu unaniumoza sana. Basi tu sina la kufanya.
 
Back
Top Bottom