Nsanzagee
JF-Expert Member
- Jun 28, 2023
- 2,006
- 4,244
Sifahamu iwapo naeleweka vizuri. Kama nitakuwa nje saana mtaniwia radhi. Kuna mambo yananipa kuchanganyikiwa na nisijue lolote!
Mambo ya wazanzibari, yanasimamiwa na serikali ya Zanzibar na yanakuwa ya wazanzibar kwa sababu serikali yake ipo inayasimamia!
Mambo ya watanganyika hayana msimamizi wake maalumu yanasimamiwa na serikali ya Tanzania na yanakuwa ya watanzania kwa kwa maana ya Tanganyika na Zanzibar kwa sababu Tanganyika inakuwa ni kama imefungiwa mahali.
Hapa kuna mmoja anakula bila kunawa aisee.
Mambo ya wazanzibari, yanasimamiwa na serikali ya Zanzibar na yanakuwa ya wazanzibar kwa sababu serikali yake ipo inayasimamia!
Mambo ya watanganyika hayana msimamizi wake maalumu yanasimamiwa na serikali ya Tanzania na yanakuwa ya watanzania kwa kwa maana ya Tanganyika na Zanzibar kwa sababu Tanganyika inakuwa ni kama imefungiwa mahali.
Hapa kuna mmoja anakula bila kunawa aisee.