Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Asante sana Mzee kwa kukataa kujumuika na wanafiki wachumia Tumbo, umejitenga na uongo , ushirikina na Najisi ya Nchi Mungu atakulipa Mzee wangu, wala hatokuacha Maandiko Matakatifu yameelekeza...
23 Reactions
33 Replies
996 Views
Sijui kabla ya hapo Polisi walikuwa wanatumia utaratibu gani kukamata wahalifu Lakini Cha kushangaza Leo hii Mzee Mwema baada ya kulambishwa asali anaona yaliyofanyika Octoba 29 ni sawa, yaani...
3 Reactions
5 Replies
140 Views
  • Redirect
Huku kukiwa na wasiwasi unaoongezeka kuhusu matumizi mabaya ya hati miliki na upotoshaji hadharani, serikali ya shirikisho imeanzisha marufuku inayowazuia wenye shahada za heshima nchini Nigeria...
1 Reactions
Replies
Views
George Michael Uledi. May 11,2026.10:40AM. Rais William Rutto alitangaza ujenzi wa kiwanda cha kuchakata mafuta ghafi kuwa mafuta safi(Dangote Oil Refinery) kujengwa Tanzania Jijini Tanga kwa...
1 Reactions
3 Replies
231 Views
Hili ni miongoni mwa Maswali kadhaa yaliyoulizwa na Bilionea Sugu kwenye Mkutano wa hadhara uliofanyika Mjini Uyole, Mkutano mkubwa unaofananishwa na Mikutano Mikubwa ya Mhubiri Rheinard Bonke...
4 Reactions
10 Replies
350 Views
Kwa hali ile ya siku ya uchaguzi sio rahisi kuwa zaidi ya asilimia 90 ya wapiga kura walijitokeza na mshindi kupata hizo asilimia 97%. Mwandishi: Kwahiyo matokeo yale ni ya uongo. Warioba: Ndio.
12 Reactions
36 Replies
1K Views
Maana yake Kuna Ombwe kubwa linatengenezeka . Sina Uhakika Tena Kama Askari Barabarani wanaweza Kuyasimamisha Magari yenye hizi namba. Hawawezi kwa sababu Vichwani mwao na wao wanaamini ni ya...
1 Reactions
5 Replies
357 Views
Tangu Samia Suluhu Hassan ajimilikiishe Tanganyika, kumekuwepo na Wimbi la Wapemba wansotumia Leseni za Zanzibar Tanzania bara. Hawa ndugu zake samia wote wana leseni za Zanzibar. Wote wakamatwe...
1 Reactions
0 Replies
137 Views
Kwanza alikataa kukutana na Samia alipokuwa kenya ndiyo maana Rutto akatumia akili hajamwambia Mama lakini Mama ni mzito wa kusoma nyakati hajamuelewa genius Rutto! Sasa Dangote kasema mwenyewe ni...
7 Reactions
21 Replies
598 Views
Chama imara ,chama madhubuti kwa maendeleo ya watanzania wote hii ndiyo ccm yetu ya watanzania wote. Afrika na ulimwengu itaendelea kuvikumbuka hivi vyama kwa mchango mkubwa wa ukombozi na...
0 Reactions
2 Replies
103 Views
CCM OYEEE ,Kazi na Utu tunasonga mbele. Watanzania tume ya uchunguzi ya matukio ya octoba 29/2025 ya jaji chande ilishamaliza kazi yake na Ripoti ilishawasilishwa kwa mheshimiwa Rais . Hii tume...
0 Reactions
6 Replies
574 Views
"Mimi nilivyozungumza hapa nimeonyesha matatizo yaliyopo katika jamii yetu. Moja nimesema vyama vya siasa vimegawa watu. Vimegawa watu mpaka imefika mahali mimi nashangaa siku hizi, kwamba...
2 Reactions
7 Replies
196 Views
https://www.youtube.com/watch?v=ex4HupJgtOg
0 Reactions
1 Replies
144 Views
Rais wa Chama cha Wanasheria Tanganyika (TLS), Wakili Boniface Mwabukusi, akizungumza na waandishi wa habari leo Mei 11, 2026, amesema kile alichokiita "mbinu za makusudi" za upande wa mashtaka...
3 Reactions
5 Replies
240 Views
Akizungumza na waandishi wa habari leo Mei 11, 2026, Rais wa Chama cha Wanasheria Tanganyika (TLS), Wakili Boniface Mwabukusi, ameeleza kuwa rekodi za mahakama tangu Kisutu zinaonesha wazi kuwa...
1 Reactions
1 Replies
245 Views
"Tazama, mimi nilivyozungumza hapa nimeonyesha matatizo yaliyopo katika jamii yetu. Moja nimesema vyama vya siasa vimegawa watu. Vimegawa watu mpaka imefika mahali mimi nashangaa siku hizi, kwamba...
1 Reactions
2 Replies
134 Views
Hivi lile jiroboti lenye ufanisi na la gharama kubwa lililopelekwa bongeni kwa maonyesho/maigizo lilipelekwa wapi kuwatumikia watanzania? Au tunasubiri episode/event ingine wana tuendelee kujionea...
5 Reactions
19 Replies
258 Views
Ignore this misinformation. The President of the United Republic of Tanzania, H.E. Dr. Samia Suluhu Hassan, has not made these remarks. This statement is fabricated with the intention of...
0 Reactions
0 Replies
124 Views
Akizungumza Machi 27, 2026 katika Mjadala wa wazi Kati ya Viongozi wa Dini na Wananchi kuhusu Amani na yaliyotokea Oktoba 29, 2025 uliofanyika Mkoani Mwanza, Amesema Askofu Mkuu wa Kanisa la...
0 Reactions
5 Replies
151 Views
𝙍𝘼𝙄𝙎 𝙎𝘼𝙈𝙄𝘼 𝘼𝘼𝙉𝙕𝘼 𝙐𝙅𝙀𝙉𝙕𝙄 𝙈𝙆𝙐𝘽𝙒𝘼 𝙃𝙊𝙎𝙋𝙄𝙏𝘼𝙇𝙄 𝙈𝙐𝙃𝙄𝙈𝘽𝙄𝙇𝙄. SAMIA AANZA UJENZI MKUBWA HOSPITALI MUHIMBILI Context: Rais Samia Suluhu Hassan ameweka jiwe la msingi la upanuzi wa Hospitali ya Muhimbili...
1 Reactions
6 Replies
216 Views
Back
Top Bottom