Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Ripoti ya Tume ya Jaji Chande ilitambua kuwa taasisi za kidini zilicheza jukumu muhimu na chanya wakati na baada ya ghasia za Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 2025. Viongozi wa dini mbalimbali walilaani...
0 Reactions
0 Replies
118 Views
๐——๐—ธ๐˜. ๐— ๐˜„๐—ถ๐—ด๐˜‚๐—น๐˜‚ ๐—ก๐—ฐ๐—ต๐—ฒ๐—บ๐—ฏ๐—ฎ: ๐—ž๐—ถ๐—ผ๐—ป๐—ด๐—ผ๐˜‡๐—ถ ๐˜„๐—ฎ ๐—ž๐—ฎ๐˜‡๐—ถ, ๐—ž๐—ฎ๐˜€๐—ถ ๐—ป๐—ฎ ๐— ๐˜‡๐—ฎ๐—น๐—ฒ๐—ป๐—ฑ๐—ผ ๐—ฎ๐˜€๐—ถ๐˜†๐—ฒ๐—ฐ๐—ต๐—ผ๐—ธ๐—ฎ Mussa Saidi-Dar es Salaam Katika kipindi cha siku chache tu, Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mwigulu Nchemba...
2 Reactions
8 Replies
168 Views
Unataka kuiingiza nchi kwenye moto. Nimesoma barua uliyowandikia Chadema, unataka kuleta machafukjitafakari!
5 Reactions
27 Replies
520 Views
Nauliza tu. Rwanda, Burundi, Tanzania, Uganda, Kenya, Zanzibar, Wote ni madikiteita, Nani katili kuliko wote
0 Reactions
6 Replies
155 Views
Rais wa Uganda, Yoweri Museveni ameishukuru Tanzania kwa mchango wake katika maendeleo ya Uganda, huku akisisitiza kutoisahau Tanzania.
0 Reactions
13 Replies
173 Views
Kwa exchange rate ya leo, dola 1 ni takribani TZS 2,605. $5,000 โ‰ˆ TZS 13,025,000 (milioni 13 na elfu 25)
4 Reactions
51 Replies
898 Views
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi, amemtembelea na kumjulia hali, Waziri Mkuu na Makamu wa Kwanza wa Rais Mstaafu wa Jamhuri ya Muungano wa...
3 Reactions
5 Replies
228 Views
Kwa waliopata nafasi ya kuyasikiliza mahojiano ya Jaji Joseph Sinde Warioba na mwandishi wa habari nguli, mzee wetu Jenerali Ulimwengu, watakubaliana na mm kuwa hayakuwa mahojiano ya kawaida...
7 Reactions
33 Replies
638 Views
Sheikh Ponda Issa Ponda akizungumza katika kipindi cha Kasri cha Crown FM amesema Viongozi wa Dini wana haki kama viongozi wengine" Sheikh Ponda Issa Ponda Katibu Mkuu wa Shura ya Maimamu Tanzania.
0 Reactions
1 Replies
108 Views
Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI), Dkt. Peter Kisenge, amewataka Watumishi wa Wizara ya Fedha na wananchi kwa ujumla kuwa makini na taarifa zisizo sahihi kuhusu lishe...
0 Reactions
0 Replies
133 Views
Wakuu hali inazidi kuwa mbaya, kila kitu ni kilio bei juu, Gesi ya kupikia imepanda, mafuta ya kula yamepanda, mafuta yamepanda na sasa na Dangote kapandisha Sementi kisa gharama za usafiri sijui...
4 Reactions
35 Replies
1K Views
Waziri wa Uchukuzi, Prof. Makame Mbarawa, amesema Serikali inaendelea kusimamia na kuimarisha vyuo vya mafunzo vya kisekta vilivyo chini ya Wizara hiyo ili kuhakikisha sekta ya uchukuzi na...
0 Reactions
0 Replies
82 Views
Kuna Kisauti kinanjia Kuhusu Mbowe kubariki Viti Maalumu hapo awali kwa makubaliano ya kuwa siri na kujifanya hana habari. Hii yaweza kuwa kwa maslahi mapana ya Chama (Ustawi na kutofutika). Ni...
35 Reactions
308 Replies
27K Views
Uwa siandiki Mara nyingi Kumbukeni wananchi Chama kilijengwa kwa jasho na damu za watu! Na tukapata legitimacy kukemea kila kitu, tukakatishwa tamaa 2015 baada ya ujio wa Lowassa kugombea...
20 Reactions
56 Replies
2K Views
Leo hii Trc wanajinasibu kuwa shirika linajiendesha lenyewe bila kupata ruzuku toka serikalini. Hizi zote ni juhudi za Shujaaa wa Afrika. Alikuwa makini sana kusimamia pesa za umma. Kutandika...
5 Reactions
13 Replies
188 Views
Miongoni mwa viongozi wa CCM enzi za Jiwe, alikuwepo Mwanajeshi mmoja akiitwa Lubinga, kiburi cha madaraka cha huyu jamaa kilipitiliza, japo hakikuvuma sana. Sasa tunauliza tu kwamba huyu jamaa...
9 Reactions
58 Replies
4K Views
Sisi ni wachimbaji wadogo wa madini ya dhahabu katika mgodi wenye leseni za NICO RAYMOND NYEMELE (PML 1794/1795 GTA) na MHELLA NATHANIEL (PML 1797 GTA) zilizopo katika Mkoa wa Geita, Wilaya ya...
0 Reactions
0 Replies
143 Views
Leo amepatikana mshindi wa Foleni challenge Dae es salaam, Je unahisi nini hasa kilichoandikwa ndai kilichoshawishi wizara nzima ya ujenzi ?
0 Reactions
12 Replies
248 Views
Msajili wa vyama vya siasa, Francis Mutungi ameelekezwa kuifuta Chadema haraka iwezekanavyo, tunayo taarifa kwamba amepokea maagizo hayo mara tu baada ya kukamatwa Tundu Lissu. Cha kushangaza...
28 Reactions
56 Replies
4K Views
Haya ni maneno ya Mzee huyu alipokuwa anahojiwa na. Jenerali Ulimwengu Hivi Kama huyu anaweza kuzuiwa wewe kapuku mbeba pochi unadhani uko salama?
6 Reactions
37 Replies
783 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ