Foleni Challenge

Foleni Challenge

Kyungai

Member
Joined
Sep 30, 2022
Posts
16
Reaction score
1
Leo amepatikana mshindi wa Foleni challenge Dae es salaam,

Je unahisi nini hasa kilichoandikwa ndai kilichoshawishi wizara nzima ya ujenzi ?
 
Sasa uhisi ili iweje hayo ni matumizi mabaya ya akili kikubwa tusubiri solution kama itawekwa tutajua alichoshauri ila mambo ya kuhisi hapana tuna mengi ya kufikiria...ila mwisho wa siku foleni kuisha ni ngumu sana labda kama solution yake itapunguza less than 5%ya foleni
 
Leo amepatikana mshindi wa Foleni challenge Dae es salaam,

Je unahisi nini hasa kilichoandikwa ndai kilichoshawishi wizara nzima ya ujenzi ?
Ujinga mtupu! Ina maana wizara haijui ukipanua na kuboresha usafiri wa umma utapunguza magari binafsi katikati ya Jiji?
 
Sasa uhisi ili iweje hayo ni matumizi mabaya ya akili kikubwa tusubiri solution kama itawekwa tutajua alichoshauri ila mambo ya kuhisi hapana tuna mengi ya kufikiria...ila mwisho wa siku foleni kuisha ni ngumu sana labda kama solution yake itapunguza less than 5%ya foleni
nashukuru kwa mchango kumbe na wewe pia unaona swala sio kuondoa ni kupunguza
 
Ujinga mtupu! Ina maana wizara haijui ukipanua na kuboresha usafiri wa umma utapunguza magari binafsi katikati ya Jiji?
Wizara ina kila kitu ila ilijaribu kuweka ushirikishwaji wa vijana katika maendeleo ya nchi
 
Leo amepatikana mshindi wa Foleni challenge Dae es salaam,

Je unahisi nini hasa kilichoandikwa ndai kilichoshawishi wizara nzima ya ujenzi ?
Kuwa na usafiri wa helkopta jijini
 
Back
Top Bottom