TANZANIA YETU
KAZI. UTU. MAENDELEO.
HOTUBA YA BAJETI YA WIZARA
YA MIFUGO NA UVUVI 2026/2027
Serikali yatenga
Bilioni 433.4
Kuimarisha Sekta ya Mifugo
na Uvuvi
Katika mwaka wa fedha
2026/2027...
Sekta ya uvuvi inaendelea kuwa mhimili muhimu wa uchumi na ustawi wa jamii nchini kwa kunufaisha zaidi ya Watanzania milioni 6 kupitia mnyororo wa thamani wa sekta hiyo.
Wanufaika hao ni pamoja...
4:00 Asubuhi**
3. Lengo la Ziara:
1. Mkutano wa Hadhara - Mnemia, Kondoa
2. Kukagua ujenzi wa Shule ya Sekondari ya Amali Kingale
3. Mkutano wa Hadhara - Puma
4. Utangazaji wa Moja kwa...
KIHONGOSI: MAAMUZI YA VIKAO YAHESHIMIWE
TARIME: KATIBU wa NEC, Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Taifa, Kenani Kihongosi amesema msingi wa chama ni vikao, hivyo maamuzi...
Katibu wa NEC, Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa CCM Taifa, Kenani Kihongosi amesema msingi wa uhai na uimara wa chama ni kuheshimu vikao na maamuzi yake.
Akizungumza Tarime, Kihongosi amesisitiza...
Sote ni mashahidi kwamba,
hali ya kisiasa nchini hasa baada ya tume ya jaji chande kuwasilisha ripoti yake kwa rais Dr.Samia Suluhu Hassan, tayari kuna kila dalili na mipango kwa hasa hawa vibaka...
Na David Maphone.
Nimemsikiliza Mzee wangu Jaji mstaafu Joseph Sinde Warioba,
kwenye mahojiano yake katika kipindi cha Jenerali Ulimwengu Post kilichorushwa LIVE na THE CHANZO online 11 / 05 /...
KATIBU MKUU WA CHAMA CHA DEMOKRASIA NA MAENDELEO NDUGU, JOHN MNYIKA, UNAPOTOSHA WATANZANIA.
Na David Maphone.
Nimebahatika kusikiliza vizuri sana, Katibu Mkuu wa chama cha demokrasia na Maendeleo...
Tume ya Uchunguzi imependekeza kuanzishwa kwa mfumo madhubuti wa kufuatilia na kudhibiti matumizi ya mitandao ya kijamii wakati wa uchaguzi ili kuzuia uchochezi na uenezi wa habari za uwongo...
Jaji Joseph Sinde Warioba ameyasema hayo kwenye Mahojiano yaliyochapishwa leo 10, Mei 2026 na The Chanzo, ambapo amesema kuwa alikuwa akisikia kuwa wananchi watulie kwa kuwa Serikali imeunda tume...
ATCL KUANZA SAFARI ZA URUSI JUNI 2025
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. Mahmoud Thabit Kombo, amesema kuwa Shirika la Ndege la Tanzania (ATCL), linatarajia kuanza...
Kuna wanawake wengi bungeni, lakini wingi wao hauwafanyi kuwa na sauti wala mamlaka juu ya maamuzi yenye tija katika mambo ya msingi yanayolikabili Taifa letu.
Kwa muktadha huo "tokenism"...
Tanzania imemilikisha au kuuza hifadhi za gesi kwa mashirika au kampuni za nje na haina umiliki wa asilimia zozote badala yake wamegewa haki ya kushiriki kupitia TPDC ila hawana umiliki, na baadhi...
https://www.youtube.com/live/9rRDBtpMBqU?si=64FYJTRZAy4diXUs
Ofisi ya Msajili wa vyama vya siasa kupitia kwa mtu mmoja tu aitwaye Sisty Nyahoza imeanza tena kutengeneza mwanya wa uwezekano wa...
Eneo la wazi la Biafra Kinondoni limebeba kumbukumbu na historia ya makuzi ya watu wengi kwa miongo kadhaa. Wengi wetu tumelikuta kama sehemu ya michezo, mikutano ya kijamii na hata sehemu...
Katika historia ya taifa letu viongozi wanaobeba moyo wa uzalendo wa kweli huendelea kukumbukwa kwa namna walivyoweka mbele maslahi ya wananchi na kulinda heshima ya nchi yao.
Ameendelea...