Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

TANZANIA YETU KAZI. UTU. MAENDELEO. HOTUBA YA BAJETI YA WIZARA YA MIFUGO NA UVUVI 2026/2027 Serikali yatenga Bilioni 433.4 Kuimarisha Sekta ya Mifugo na Uvuvi Katika mwaka wa fedha 2026/2027...
1 Reactions
2 Replies
107 Views
Sekta ya uvuvi inaendelea kuwa mhimili muhimu wa uchumi na ustawi wa jamii nchini kwa kunufaisha zaidi ya Watanzania milioni 6 kupitia mnyororo wa thamani wa sekta hiyo. Wanufaika hao ni pamoja...
1 Reactions
1 Replies
80 Views
TARIME-MARA 15.05.2026 MKUTANO WA HADHARA WA MWENEZI KENANI KIHONGOSI TARIME MJINI MKOA WA MARAMkutano
1 Reactions
1 Replies
130 Views
4:00 Asubuhi** 3. Lengo la Ziara: 1. Mkutano wa Hadhara - Mnemia, Kondoa 2. Kukagua ujenzi wa Shule ya Sekondari ya Amali Kingale 3. Mkutano wa Hadhara - Puma 4. Utangazaji wa Moja kwa...
1 Reactions
4 Replies
134 Views
  • Redirect
KIHONGOSI: MAAMUZI YA VIKAO YAHESHIMIWE TARIME: KATIBU wa NEC, Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Taifa, Kenani Kihongosi amesema msingi wa chama ni vikao, hivyo maamuzi...
0 Reactions
Replies
Views
Katibu wa NEC, Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa CCM Taifa, Kenani Kihongosi amesema msingi wa uhai na uimara wa chama ni kuheshimu vikao na maamuzi yake. Akizungumza Tarime, Kihongosi amesisitiza...
1 Reactions
4 Replies
186 Views
Sote ni mashahidi kwamba, hali ya kisiasa nchini hasa baada ya tume ya jaji chande kuwasilisha ripoti yake kwa rais Dr.Samia Suluhu Hassan, tayari kuna kila dalili na mipango kwa hasa hawa vibaka...
0 Reactions
17 Replies
252 Views
Na David Maphone. Nimemsikiliza Mzee wangu Jaji mstaafu Joseph Sinde Warioba, kwenye mahojiano yake katika kipindi cha Jenerali Ulimwengu Post kilichorushwa LIVE na THE CHANZO online 11 / 05 /...
0 Reactions
0 Replies
134 Views
KATIBU MKUU WA CHAMA CHA DEMOKRASIA NA MAENDELEO NDUGU, JOHN MNYIKA, UNAPOTOSHA WATANZANIA. Na David Maphone. Nimebahatika kusikiliza vizuri sana, Katibu Mkuu wa chama cha demokrasia na Maendeleo...
0 Reactions
0 Replies
136 Views
Tume ya Uchunguzi imependekeza kuanzishwa kwa mfumo madhubuti wa kufuatilia na kudhibiti matumizi ya mitandao ya kijamii wakati wa uchaguzi ili kuzuia uchochezi na uenezi wa habari za uwongo...
0 Reactions
0 Replies
112 Views
Jaji Joseph Sinde Warioba ameyasema hayo kwenye Mahojiano yaliyochapishwa leo 10, Mei 2026 na The Chanzo, ambapo amesema kuwa alikuwa akisikia kuwa wananchi watulie kwa kuwa Serikali imeunda tume...
3 Reactions
4 Replies
417 Views
ATCL KUANZA SAFARI ZA URUSI JUNI 2025 Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. Mahmoud Thabit Kombo, amesema kuwa Shirika la Ndege la Tanzania (ATCL), linatarajia kuanza...
0 Reactions
2 Replies
189 Views
Kuna wanawake wengi bungeni, lakini wingi wao hauwafanyi kuwa na sauti wala mamlaka juu ya maamuzi yenye tija katika mambo ya msingi yanayolikabili Taifa letu. Kwa muktadha huo "tokenism"...
2 Reactions
7 Replies
193 Views
Tanzania imemilikisha au kuuza hifadhi za gesi kwa mashirika au kampuni za nje na haina umiliki wa asilimia zozote badala yake wamegewa haki ya kushiriki kupitia TPDC ila hawana umiliki, na baadhi...
1 Reactions
4 Replies
145 Views
https://www.youtube.com/live/9rRDBtpMBqU?si=64FYJTRZAy4diXUs Ofisi ya Msajili wa vyama vya siasa kupitia kwa mtu mmoja tu aitwaye Sisty Nyahoza imeanza tena kutengeneza mwanya wa uwezekano wa...
1 Reactions
3 Replies
203 Views
Eneo la wazi la Biafra Kinondoni limebeba kumbukumbu na historia ya makuzi ya watu wengi kwa miongo kadhaa. Wengi wetu tumelikuta kama sehemu ya michezo, mikutano ya kijamii na hata sehemu...
2 Reactions
17 Replies
393 Views
Hili ndio swali langu kwa Msajili wa vyama vya siasa nchini kama anapita humu JF au ana wasaidizi wake wanapita humu
3 Reactions
6 Replies
199 Views
Je, hii ndio Sababu ya Sisty Nyahoza kutaka kuifungia Chadema?
12 Reactions
16 Replies
377 Views
Katika historia ya taifa letu viongozi wanaobeba moyo wa uzalendo wa kweli huendelea kukumbukwa kwa namna walivyoweka mbele maslahi ya wananchi na kulinda heshima ya nchi yao. Ameendelea...
2 Reactions
9 Replies
182 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…