Madai ya CCM kutumia helicopter za Jeshi wakati wa kampeni za Uchaguzi Mkuu wa 2025, Msajili aliwahi fuatilia na kuchukua hatua?

Madai ya CCM kutumia helicopter za Jeshi wakati wa kampeni za Uchaguzi Mkuu wa 2025, Msajili aliwahi fuatilia na kuchukua hatua?

Hili ndio swali langu kwa Msajili wa vyama vya siasa nchini kama anapita humu JF au ana wasaidizi wake wanapita humu
Gentleman,
Mwenye dhamana ya umma wa waTanzania kuongoza nchi ana haki ya kutumia kila kilicho cha umma kuongoza nchi. Na hiyo ni kwa mujibu wa sheria 🐒
 
Gentleman,
Mwenye dhamana ya umma wa waTanzania kuongoza nchi ana haki ya kutumia kila kilicho cha umma kuongoza nchi. Na hiyo ni kwa mujibu wa sheria 🐒
Jaji Mutungi na wewe wote ni
FB_IMG_1748360197313.jpg
 
Back
Top Bottom