Mufti kuku The Infinity
JF-Expert Member
- Sep 21, 2019
- 7,195
- 12,863
Hebu jionee.
This has been documentedHebu jionee.
View attachment 3589093
Inatakiwa kummaliza yeye kabla ajauwa wananchi.Hebu jionee.
View attachment 3589093
Kwakweli.Inatakiwa kummaliza yeye kabla ajauwa wananchi.
Nchi inatia huruma sana hii. CCM ni ya kufutwa kabisa kwenye historia ya hii nchi.Aongezwe kwenye list ya ICC
Huu ndio ukweliKesho umkute huyu ni mkuu wa wilaya, kila siku kila nyumba atatoweka mtu mmoja.
Yeye ni muuaji asisingizie watu kumkosoa Rais.
Akina Kundecha mko hapo mnatoa macho mtu anaongea utumbo, kweli ninyi wana CCM ni takataka.
Anakwambia Eti Rais asifiwe tuNdiyo mawazo ya wengi huko,ukisikia wanasema kumtukana rais wanamaanisha kule kumkosoa na ndicho kiliwakuta akana Polepole.
Mimi naendelea kuusisitiza Kuwa kichaa sio mpaka kuokota makopo! Je, Tanzania tuna vichaa wengi kuliko tunavyojidhania?Hebu jionee.
View attachment 3589093
Pascal huwezi kemea hili najuaMimi naendelea kuusisitiza Kuwa kichaa sio mpaka kuokota makopo! Je, Tanzania tuna vichaa wengi kuliko tunavyojidhania?
P
Msajili Mutungi angeshawatumia barua hata kabla mkutano haujaisha.Wangeongea chadema hapo kesho ungeona vyombo vya usalama wa taifa kesho wanavyo washa moto kuwa chadema inataka kuingiza nchi kwenye machafuko.