Akili yenye afya ingemwelekeza kujenga akademi za mpira walau 5 tu nchi nzima, halafu akawa anaweleta hao wacheza mpira wa zamani kuja kuwatia hamasa vijana kwenye hizo akademi za mpira.
Anachokifanya sasa hivi ni kuwafanya hao wachezaji kuwa twiga wa maonesho . Maana wanakuja ili tuwatazame lkn hawaachi chocbote cha maana.
Au Makonda kaamua kutengeneza mfereji wa upigaji kupitia hiyo wizara uchwara isiyokuwa na mcchango wowote hapa nchini tangu tupate uhuru?
Anachokifanya sasa hivi ni kuwafanya hao wachezaji kuwa twiga wa maonesho . Maana wanakuja ili tuwatazame lkn hawaachi chocbote cha maana.
Au Makonda kaamua kutengeneza mfereji wa upigaji kupitia hiyo wizara uchwara isiyokuwa na mcchango wowote hapa nchini tangu tupate uhuru?