Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Inashangaza na kuchukiza kusikia Eti Wananchi wa Nchi hii Hawaijui KATIBA ya NCHI yao. Wenye AKILI KUBWA TULISEMA Mapema kuwa CCM haitaki WATANZANIA wapate KATIBA MPYA .Dalili za KUKATAA zilianza...
5 Reactions
9 Replies
967 Views
Ndugu yangu Tundu Lissu, ni hatari kubwa mno kuendelea kumshambulia Hayati Magufuli. Pamoja na mapungufu machache ya kibinadamu ya Hayati Magufuli wakati wa utawala wake, asilimia kubwa ya...
24 Reactions
111 Replies
6K Views
Habari wakuu, Rais Magufuli anatazamiwa kuwaapisha Kangi Lugola na wenzake walioteuliwa jana. Shughuli hiyo itafanyika Ikulu Dar Es Salaam leo hii saa tisa alasiri. Walioteuliwa wote wanatakiwa...
32 Reactions
344 Replies
45K Views
Kayasema hayo kwenye video akihojiwa Kuhusu Tuhuma Juu ya Lugumi, na kusema kwamba waligundua kwamba Lugumi hakuwa na kosa ila serikali ndo ilikuwa na Matatizo juu ya suala ilo, Ni kuhusu kufunga...
35 Reactions
339 Replies
55K Views
-Rais amechoka kutenga bajeti kila mwaka wa bajeti kulisha wafungwa na wahalifu badala ya kuhudima wananchi kwenye afya, elimu, miundombinu, reli, ndege, na miradi ya umeme. -Rais ameniagiza...
4 Reactions
148 Replies
21K Views
Mods naomba huu uzi usiunganishwe na ule mwingine maana huu ni kujaribu kutafuta suluhisho na sio kuleta habari 1. Tenda ilitolewa mwaka gani na ni mpaka lini walianza kugundua kuwa upande wa...
10 Reactions
45 Replies
7K Views
Ni ushauri mzuri kwa ajili ya kulikomboa taifa la Tanzania. Taifa lipo mikononi mwa watu wasiofaa kabisa. Hakuna aliyesahau ya Escrow, kagoda Richmond na ufisadi mkubwa wa kutupa kupitia Lugumi...
6 Reactions
21 Replies
2K Views
Sisi ni Chama makini sana. Tunajua nini maana ya maslahi ya taifa. Hatuwezi kuwa na fikra potevu kudanganya dunia kuwa kuna Demokrasia nchini Wakati hakuna. Zaidi ya CCM Kandamizi iliyojisahau...
1 Reactions
1 Replies
519 Views
Kila kukicha, kila mahali wapinzani hasa CHADEMA wanatembea na ajenda hii ya bandari. Wamemwaga sumu na asilimia kubwa ya wananchi wanaamini kuwa nchi imeuzwa. Kwa jinsi mambo yanavyokwenda...
1 Reactions
16 Replies
2K Views
Wakati ule wa uchaguzi wa mwaka 2020. Tundu lissu alitushushia nyundo wana ccm na hakuwepo mwana ccm aliyekuwa na uwezo wa kujibu hoja zake kwa hoja bali ccm iliamua kutishia wakurugenzi kuwa...
18 Reactions
19 Replies
3K Views
Hongera sana kwako Rais Mwinyi. My Take Bara Kuna watu wa hovyo wasiojielewa. THE Africa Global Logistics (AGL) has entered into a five-year service management contract to operate the Malindi...
4 Reactions
61 Replies
6K Views
Mimi sikubaliani na wanasiasa wanaotaka kutuyumbisha kwa kutaka kutengeneza katiba mpya huu ni usanii, upuuzi na ufujaji wa mapato. Tujikite kwenye katiba iliyopo tuboreshe maisha ya Watanzania...
3 Reactions
16 Replies
909 Views
Kwenye ukweli tuseme ukweli bora Mbowe kuliko mtu mwenye emotions za hovyo kama Heche asiye na staha, asiyefanya uchaguzi kabla ya kutamka, mtu mwenye jazba. Heche hajui kiinua mgongo kinatoka na...
10 Reactions
102 Replies
6K Views
Huo ndio ukweli. survival ya Ccm inategemea katiba mbovu waliojifungia wenyewe wakaiandika. Leo wamekiri wenyewe kupitia mwenyekiti wao kuwa watu hatuijui katika ya sasa (japo twaijua). CCM...
2 Reactions
8 Replies
782 Views
Siyo rahisi Watanzania kusubiri kuelemishwa kuhusu katiba. Wengi wetu tunajijua.....yaani tuache Ajira ya kubeti kweli. Kama ni kusubiri Kila mmoja kuelewa katiba basi ccm watatawala milele. Basi...
2 Reactions
1 Replies
334 Views
Katika hotuba yake leo, miongoni mwao mambo aliyoyasema rais ni kuwa kuna watu wametumia mikutano ya kisiasa kuchambua dini za wengine, jambo ambalo lilimkera sana rais. Je, ni kweli hilo...
3 Reactions
9 Replies
981 Views
Mpendwa Sizonje habari za siku, natumaini u buheri wa afya kibaiolojia japokuwa kiroho u tofauti. Rafiki yangu Sizonje nakumbuka enzi zile tukijadili mpira ulivyokua hodari kumlaumu kocha...
187 Reactions
750 Replies
103K Views
Brazil ambayo ni Nchi Tajiri imetumia takribani miaka 30 Kukamilisha Ujenzi wa Sgr yake yenye urefu wa zaidi ya km 2200 ,Wakati huo huo Tanzania ambayo ni LDC eti inajitutumua kujenga Sgr ya...
4 Reactions
85 Replies
6K Views
Rais Samia! Alisema ameamua kukaa kimya kuhusu mkataba wenye utata wa Bandari na DP-WORLD. kulingana na tamko lake kwa umma wa Watanzania akiwa kanisani huko Arusha. Ukweli ni kwamba ukimya wake...
1 Reactions
0 Replies
396 Views
Naungana kabisa na mheshimiwa Rais, kwenye suala la katiba hatupaswi kuwa na haraka kwa kujilinganisha na nchi nyingine. Vivyo hivyo hata kwenye masuala ya ukusanyaji wa kodi hatupaswi...
2 Reactions
4 Replies
474 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…