Kila kukicha, kila mahali wapinzani hasa CHADEMA wanatembea na ajenda hii ya bandari. Wamemwaga sumu na asilimia kubwa ya wananchi wanaamini kuwa nchi imeuzwa.
Kwa jinsi mambo yanavyokwenda mkataba wa bandari ndo utakuwa msumari wa mwisho kwa CCM 2025.
CCM inatakiwa ijitathmini na ichukue hatua za haraka kusahihisha mapungufu yote ya suala la bandari.
Kwa jinsi mambo yanavyokwenda mkataba wa bandari ndo utakuwa msumari wa mwisho kwa CCM 2025.
CCM inatakiwa ijitathmini na ichukue hatua za haraka kusahihisha mapungufu yote ya suala la bandari.