Tundu Lissu, acha kumshambulia Hayati Magufuli

Daisam

JF-Expert Member
May 23, 2016
2,626
3,141
Ndugu yangu Tundu Lissu, ni hatari kubwa mno kuendelea kumshambulia Hayati Magufuli.

Pamoja na mapungufu machache ya kibinadamu ya Hayati Magufuli wakati wa utawala wake, asilimia kubwa ya Watanzania walimpenda mno na bado hajatoka mioyoni mwa Watanzania wengi.

Hata hivyo, kuendelea kumshambulia mtu asiyekuwepo inasaidia nini?

Je, hiyo si sawa kabisa na kupambana na kivuli?

Ndugu zangu wa CHADEMA mnafeli wapi nyie?
 
Lissu ni activist material! na sio Political Material

Akipanda jukwaani na kichaa pia kinapanda!

Nilimshangaa kumsikia akisema kuwa kuna hifadhi ya mzungu ina ukubwa wa 6,000,000sq kms.

Sasa wanapanga kumshitaki ili awasafishe.

Hifadhi kubwa 6a wanyama nchini ni Nyerere 50sq kilometers.

Vyanzo vya Lissu sijui huwa anavipata wapi?
 
Ndugu yangu TAL, ni hatari kubwa mno kuendelea kumshambulia Hayati Magufuli.

Pamoja na mapungufu machache ya kibinadamu ya JPM wakati wa utawala wake, asilimia kubwa ya Watanzania walimpenda mno na bado hajatoka mioyoni mwa Watanzania wengi.

Hata hivyo, kuendelea kumshambulia mtu asiyekuwepo inasaidia nini?

Je, hiyo si sawa kabisa na kupambana na kivuli?

Ndugu zangu wa CHADEMA mnafeli wapi nyie?
Umenena. Ingawa lisu alishachelewa Dkt Magufuli ni mfumo siyo mtu. Asubiri tu kama atakuja kuwa kiongozi wa nchi it will never happen ni sawa na zito ayatolla
 
Ndugu yangu TAL, ni hatari kubwa mno kuendelea kumshambulia Hayati Magufuli.

Pamoja na mapungufu machache ya kibinadamu ya JPM wakati wa utawala wake, asilimia kubwa ya Watanzania walimpenda mno na bado hajatoka mioyoni mwa Watanzania wengi.

Hata hivyo, kuendelea kumshambulia mtu asiyekuwepo inasaidia nini?

Je, hiyo si sawa kabisa na kupambana na kivuli?

Ndugu zangu wa CHADEMA mnafeli wapi nyie?
Hivi:-
-"asilimia kubwa ya Watanzania" umeipataje na kwa hesabu ipi?
-marehemu ameumia alivyosemwa/ukweli ulivyobainishwa?
-marehemu hayupo,panda jukwaani umjibie maana unaumwa hadi kiuno!
-una uhakika kwamba CDM ni ndugu zako haohao waliopata misukosuko wakati akiwa hai?
 
Ndugu yangu Tundu Lissu, ni hatari kubwa mno kuendelea kumshambulia Hayati Magufuli.

Pamoja na mapungufu machache ya kibinadamu ya Hayati Magufuli wakati wa utawala wake, asilimia kubwa ya Watanzania walimpenda mno na bado hajatoka mioyoni mwa Watanzania wengi.

Hata hivyo, kuendelea kumshambulia mtu asiyekuwepo inasaidia nini?

Je, hiyo si sawa kabisa na kupambana na kivuli?

Ndugu zangu wa CHADEMA mnafeli wapi nyie?
Eti Hayati, yaani Jiwe unamwita hayati Hapo hapo eti alikuwa na mapungufu madogo na mwisho unamaliza kuwa alipendwa na Watanzania. Kweli nimekosa jina la kukupa kwani uko huru kutumia kichwa chako upendavyo
 
Lissu ni activist material! na sio Political Material

Akipanda jukwaani na kichaa pia kinapanda!

Nilimshangaa kumsikia akisema kuwa kuna hifadhi ya mzungu ina ukubwa wa 6,000,000sq kms.

Sasa wanapanga kumshitaki ili awasafishe.

Hifadhi kubwa 6a wanyama nchini ni Nyerere 50sq kilometers.

Vyanzo vya Lissu sijui huwa anavipata wapi?
Sasa mtu kama wewe ambaye ni Sukuma gang aka mnyonge nani anakuhitaji zaidi ya mtoa mada?
 
Back
Top Bottom