Ndugu yangu Tundu Lissu, ni hatari kubwa mno kuendelea kumshambulia Hayati Magufuli.
Pamoja na mapungufu machache ya kibinadamu ya Hayati Magufuli wakati wa utawala wake, asilimia kubwa ya Watanzania walimpenda mno na bado hajatoka mioyoni mwa Watanzania wengi.
Hata hivyo, kuendelea kumshambulia mtu asiyekuwepo inasaidia nini?
Je, hiyo si sawa kabisa na kupambana na kivuli?
Ndugu zangu wa CHADEMA mnafeli wapi nyie?
Pamoja na mapungufu machache ya kibinadamu ya Hayati Magufuli wakati wa utawala wake, asilimia kubwa ya Watanzania walimpenda mno na bado hajatoka mioyoni mwa Watanzania wengi.
Hata hivyo, kuendelea kumshambulia mtu asiyekuwepo inasaidia nini?
Je, hiyo si sawa kabisa na kupambana na kivuli?
Ndugu zangu wa CHADEMA mnafeli wapi nyie?