jingalao
JF-Expert Member
- Oct 12, 2011
- 35,053
- 28,245
Mimi sikubaliani na wanasiasa wanaotaka kutuyumbisha kwa kutaka kutengeneza katiba mpya huu ni usanii, upuuzi na ufujaji wa mapato.
Tujikite kwenye katiba iliyopo tuboreshe maisha ya Watanzania.
Watanzania wanataka maji,elimu,afya na fedha mfukoni ...baasi haya mingine ni indoctrination ya walami tu.
let us command and let all the politicians understand our true demands.
KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!
Tujikite kwenye katiba iliyopo tuboreshe maisha ya Watanzania.
Watanzania wanataka maji,elimu,afya na fedha mfukoni ...baasi haya mingine ni indoctrination ya walami tu.
let us command and let all the politicians understand our true demands.
KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!