Mbunge Wa Arusha Mjini na Diwani Wa sombetini kamanda Ally Bananga wanusurika kutekwa na majambazi Makuyuni wakiwa wanatokea Dodoma usiku wa leo.. kwabahati Nzuri dereva wao Junior Mtatiro...
Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki imesema haipo tayari kutumia uraia pacha ila hivi karibuni itaanza kutumia utaratibu wa hadhi maalum ambao utatoa fursa kwa wenye...
Boniface Jackob , Ambaye ni Meya wa Zamani wa Manispaa ya Kinondoni na Baadaye Ubungo , ambaye kitaaluma ni Mtaalam wa Mahesabu ya Fedha , ameita Waandishiwa Habari asubuhi hii ili kuchambua...
Na Mwandishi Wetu, Musoma
CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) kupitia Makamu Mwenyekiti wake Tanzania Bara, Abdulurahman Kinana amesema Rais Dk. Samia Suluhu Hassan anafanya mambo makubwa ya maendeleo kwa...
Taarifa ikufikie Popote ulipo kwamba, Uchaguzi wa viongozi wa ngazi ya Kitaifa wa Chadema utafanyika mwezi wa 10, 2024, hii ni baada ya kumalizika kwa Chaguzi zingine zote za Chama hicho katika...
SERIKALI KUJENGA KM 120 BARABARA ZA LAMI WILAYA YA MBOGWE MKOANI GEITA
"Barabara zitakazojengwa kwa kiwango cha lami ni kwa ufadhili wa Benki ya Dunia kupitia mradi wa RISE katika Wilaya ya...
MHE. Aloyce Andrew Kwezi Akichangia Bajeti ya Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Ofisi ya Rais TAMISEMI ya Tsh. Trilioni 10.125 Kwa Mwaka wa Fedha 2024/2025
"Nimpongeze Waziri wa TAMISEMI na timu...
Mbunge wa viti Maalumu Chadema ( kesi iko mahakamani) mh Kaboyoka amesema Kamati yake huwa inawaita na Kuwahoji Wote waliotajwa kwenye Ripoti ya CAG Kuwa wameiibia Serikali
Wale wanaothibitika...
Nichukue Nafasi Hii Kuwakaribisha Wananchi Walio Ndani na Nje Ya Nchi, Kuendelea Kujiunga Na Chama Cha Mapinduzi
Kuna Faida Kuwa Chama Cha Mapinduzi…
Miongoni Mwa Faida Hizo, Ni;
Kukujenga Kuwa...
Chama umepewa, kusimamia serikali na Ilani ya chama.
Ila kuna sehemu unakwama.
Jambo utakaloliweza ni kukutuliza chama/kupunguza kasi ya vuguvugu chamani. Ila huku kitaa unapwaya. Wanao kuja...
Fuatilia yanayojiri kwenye Bunge la 12, Mkutano wa 15, Kikao cha 10, leo Aprili 19, 2024.
https://www.youtube.com/live/h8L3SNRSR0U?si=qvKhhc51kozgQi_y
Mbunge wa Kisesa (CCM) Luhaga Mpina amesema...
VIONGOZI WA UWT WASHUHUDIA ATHARI ZA MAFURIKO RUFIJI, WATOA MSAADA WA CHAKULA NA MAHITAJI MAALUM
Viongozi wa kitaifa wa Jumuiya ya Umoja wa Wanawake Tanzania (UWT) wametembelea eneo la Muhoro...
Kwa miaka kumi tumeona wakuu wa wilaya na mikoa wakichapa na kupiga subordinate wao na kuishia kutenguliwa uteuzi kisha baada ya muda kuteuliwa tena.
Tumeshuhudia viongozi kama Naibu Waziri...
Hivi karibuni tumeona kuna utaratibu wa viongozi na vijana wa CHADEMA kwa ujumla kushangilia na kuona ni jambo la kheri kwa upinzani kupata wanachama wapya kutoka CCM na kwenda CHADEMA. Jambo hili...
BANANGA ASHINDA KESI YA UCHOCHEZI.
Mahakama ya Wilaya ya Arusha imemuachia huru diwani wa Sombetini na Mwanaharakati mashuhuri nchini, Ally Bananga, katika kesi ya uchochezi iliyokua inamkabili...
Nalaani tukio lililotokea la wafuasi wa chadema kuwashambulia kwa vipigo wanachama wa CCM pamoja na mgombea Udiwani Kata ya Murriet walipokua wanatoka kwa Amani katika mkutano wa kampeni...
Habari wanajukwaa.
Kumeibuka mtindo kila mtu anapopata nafasi ya kuongea kumsifia Rais hata kwa yale ambayo Rais hausiki wala hayajui.
Mfano Mrisho Ngasa alipoalikwa Kwenda Ivory Coast kama...
Uchaguzi Mkuu wa ACT wazalendo uliopelekea kupatika a viongozi Wapya wa juu umekifanya Chama hicho Kuwa Cha kisasa Zaidi
Ni dhahiri Vyama vingine kama CUF, Chauma na Chadema vitafuata nyayo za...
Ndugu zangu Watanzania,
Kuna bwawa limepasuka kusini Magharibi mwa Urusi na hivyo kupelekea maji kuingia kwenye makazi ya watu,hali iliyopelekea serikali kuhamisha maelfu ya watu kutoka maeneo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.