Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Huyu waziri wetu wa afya huyu 🤣🤣 Hahaha nimeishia tu kumpenda aisee. She is special.
18 Reactions
114 Replies
12K Views
Mbunge Wa Arusha Mjini na Diwani Wa sombetini kamanda Ally Bananga wanusurika kutekwa na majambazi Makuyuni wakiwa wanatokea Dodoma usiku wa leo.. kwabahati Nzuri dereva wao Junior Mtatiro...
4 Reactions
126 Replies
18K Views
Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki imesema haipo tayari kutumia uraia pacha ila hivi karibuni itaanza kutumia utaratibu wa hadhi maalum ambao utatoa fursa kwa wenye...
2 Reactions
24 Replies
3K Views
Boniface Jackob , Ambaye ni Meya wa Zamani wa Manispaa ya Kinondoni na Baadaye Ubungo , ambaye kitaaluma ni Mtaalam wa Mahesabu ya Fedha , ameita Waandishiwa Habari asubuhi hii ili kuchambua...
5 Reactions
11 Replies
1K Views
Na Mwandishi Wetu, Musoma CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) kupitia Makamu Mwenyekiti wake Tanzania Bara, Abdulurahman Kinana amesema Rais Dk. Samia Suluhu Hassan anafanya mambo makubwa ya maendeleo kwa...
4 Reactions
55 Replies
3K Views
Taarifa ikufikie Popote ulipo kwamba, Uchaguzi wa viongozi wa ngazi ya Kitaifa wa Chadema utafanyika mwezi wa 10, 2024, hii ni baada ya kumalizika kwa Chaguzi zingine zote za Chama hicho katika...
4 Reactions
43 Replies
2K Views
SERIKALI KUJENGA KM 120 BARABARA ZA LAMI WILAYA YA MBOGWE MKOANI GEITA "Barabara zitakazojengwa kwa kiwango cha lami ni kwa ufadhili wa Benki ya Dunia kupitia mradi wa RISE katika Wilaya ya...
0 Reactions
0 Replies
962 Views
MHE. Aloyce Andrew Kwezi Akichangia Bajeti ya Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Ofisi ya Rais TAMISEMI ya Tsh. Trilioni 10.125 Kwa Mwaka wa Fedha 2024/2025 "Nimpongeze Waziri wa TAMISEMI na timu...
0 Reactions
0 Replies
667 Views
Mbunge wa viti Maalumu Chadema ( kesi iko mahakamani) mh Kaboyoka amesema Kamati yake huwa inawaita na Kuwahoji Wote waliotajwa kwenye Ripoti ya CAG Kuwa wameiibia Serikali Wale wanaothibitika...
1 Reactions
5 Replies
707 Views
Nichukue Nafasi Hii Kuwakaribisha Wananchi Walio Ndani na Nje Ya Nchi, Kuendelea Kujiunga Na Chama Cha Mapinduzi Kuna Faida Kuwa Chama Cha Mapinduzi… Miongoni Mwa Faida Hizo, Ni; Kukujenga Kuwa...
3 Reactions
6 Replies
917 Views
Chama umepewa, kusimamia serikali na Ilani ya chama. Ila kuna sehemu unakwama. Jambo utakaloliweza ni kukutuliza chama/kupunguza kasi ya vuguvugu chamani. Ila huku kitaa unapwaya. Wanao kuja...
3 Reactions
27 Replies
2K Views
Fuatilia yanayojiri kwenye Bunge la 12, Mkutano wa 15, Kikao cha 10, leo Aprili 19, 2024. https://www.youtube.com/live/h8L3SNRSR0U?si=qvKhhc51kozgQi_y Mbunge wa Kisesa (CCM) Luhaga Mpina amesema...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
VIONGOZI WA UWT WASHUHUDIA ATHARI ZA MAFURIKO RUFIJI, WATOA MSAADA WA CHAKULA NA MAHITAJI MAALUM Viongozi wa kitaifa wa Jumuiya ya Umoja wa Wanawake Tanzania (UWT) wametembelea eneo la Muhoro...
0 Reactions
5 Replies
892 Views
Kwa miaka kumi tumeona wakuu wa wilaya na mikoa wakichapa na kupiga subordinate wao na kuishia kutenguliwa uteuzi kisha baada ya muda kuteuliwa tena. Tumeshuhudia viongozi kama Naibu Waziri...
2 Reactions
9 Replies
758 Views
Hivi karibuni tumeona kuna utaratibu wa viongozi na vijana wa CHADEMA kwa ujumla kushangilia na kuona ni jambo la kheri kwa upinzani kupata wanachama wapya kutoka CCM na kwenda CHADEMA. Jambo hili...
22 Reactions
191 Replies
12K Views
BANANGA ASHINDA KESI YA UCHOCHEZI. Mahakama ya Wilaya ya Arusha imemuachia huru diwani wa Sombetini na Mwanaharakati mashuhuri nchini, Ally Bananga, katika kesi ya uchochezi iliyokua inamkabili...
12 Reactions
54 Replies
9K Views
Nalaani tukio lililotokea la wafuasi wa chadema kuwashambulia kwa vipigo wanachama wa CCM pamoja na mgombea Udiwani Kata ya Murriet walipokua wanatoka kwa Amani katika mkutano wa kampeni...
3 Reactions
63 Replies
5K Views
Habari wanajukwaa. Kumeibuka mtindo kila mtu anapopata nafasi ya kuongea kumsifia Rais hata kwa yale ambayo Rais hausiki wala hayajui. Mfano Mrisho Ngasa alipoalikwa Kwenda Ivory Coast kama...
6 Reactions
70 Replies
3K Views
Uchaguzi Mkuu wa ACT wazalendo uliopelekea kupatika a viongozi Wapya wa juu umekifanya Chama hicho Kuwa Cha kisasa Zaidi Ni dhahiri Vyama vingine kama CUF, Chauma na Chadema vitafuata nyayo za...
4 Reactions
15 Replies
656 Views
Ndugu zangu Watanzania, Kuna bwawa limepasuka kusini Magharibi mwa Urusi na hivyo kupelekea maji kuingia kwenye makazi ya watu,hali iliyopelekea serikali kuhamisha maelfu ya watu kutoka maeneo...
7 Reactions
53 Replies
3K Views
Back
Top Bottom