AUGUSTINO CHIWINGA
JF-Expert Member
- Apr 23, 2017
- 220
- 689
Nalaani tukio lililotokea la wafuasi wa chadema kuwashambulia kwa vipigo wanachama wa CCM pamoja na mgombea Udiwani Kata ya Murriet walipokua wanatoka kwa Amani katika mkutano wa kampeni
Nimesikitishwa sana na siasa za fujo, vurugu na za kihalifu zinazofanywa na chama hiki cha chadema.
Ninazo taarifa kwamba Mbunge Joshua Nassari ,God bless Lema pamoja na Diwani Ally Bananga wanafadhili kikundi cha Vijana wapatao 50 ambao ndio chao wanaotumwa kuwafanyia fujo wanachama wa Chama Cha Mapinduzi mkoani Arusha.
Naliomba jeshi la Polisi kufanya uchunguzi wa kina ili kukomesha kikundi hiki cha mungiki kilichoundwa na kuendeshwa na akina Nassari kwa lengo la kuwatishia wanachama wa CCM wasijitokeze kupiga kura.
Uhuni wanaoufanya sio jambo la kuchekewa hata kidogo wasitake kuamsha hasira zetu tukalipiza kisasi.
Nina imani na jeshi la polisi kwamba litwatia korokoroni wahuni hawa waliopanga kuvuruga uchaguzi wa marudio mkoa wa Arusha.
Siasa safi zinawezekana kila mmoja atimize wajibu wake.
Augustino Chiwinga.
Nimesikitishwa sana na siasa za fujo, vurugu na za kihalifu zinazofanywa na chama hiki cha chadema.
Ninazo taarifa kwamba Mbunge Joshua Nassari ,God bless Lema pamoja na Diwani Ally Bananga wanafadhili kikundi cha Vijana wapatao 50 ambao ndio chao wanaotumwa kuwafanyia fujo wanachama wa Chama Cha Mapinduzi mkoani Arusha.
Naliomba jeshi la Polisi kufanya uchunguzi wa kina ili kukomesha kikundi hiki cha mungiki kilichoundwa na kuendeshwa na akina Nassari kwa lengo la kuwatishia wanachama wa CCM wasijitokeze kupiga kura.
Uhuni wanaoufanya sio jambo la kuchekewa hata kidogo wasitake kuamsha hasira zetu tukalipiza kisasi.
Nina imani na jeshi la polisi kwamba litwatia korokoroni wahuni hawa waliopanga kuvuruga uchaguzi wa marudio mkoa wa Arusha.
Siasa safi zinawezekana kila mmoja atimize wajibu wake.
Augustino Chiwinga.