St Mathew Secondary School
S1071/0102
F
JESCA JOHN MAGUFULI
30
IV
CIV-D HIST-D GEO-D KISW-F ENGL-C B/MATH-F COMM-F
============
NECTA CSEE 2011
Hayo ni matokeo yake na sasa hivi anasoma UDOM...
Yafuatayo ni matokeo rasmi ya kura za maoni kwenye majimbo kama yanavyofanyika.Tutaendelea kuwaletea matokeo kila siku kadiri tutakavyokuwa tunayapata.
Matokeo ya kura za maoni Jimbo Mlalo mkoa...
TANZIA:
Mbunge wa Mbinga na Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya Taifa ya CCM Kapteni John Damian Komba amefariki dunia ktk Hospitali ya TMJ, Dar es Salaam leo saa kumi jioni.
CCM Wameandika kwenye...
Wanajukwaa poleni na misukosuko ya kujibadili kutoka kuwa walaji wa Mwisho kuelekea nchi ya Viwanda.
Uwanja huu ni maalumu kama ule wa Safari za nje za Jakaya kikwete ila huu ni mahususi...
Amefariki muda si mrefu kwa ajali ya gari akitokea Dodoma kuelekea Dar es Salaam eneo la Pandambili (kama sijakosea).
PICHA:
Marehemu Chacha Wangwe...
Mzee Mwiguni George aliyefika katika eneo...
Habari wakuu,
Leo ni uzinduzi wa kampeni kwa chama cha demokrasia na maendeleo (CHADEMA) ambazo zinafanyika leo Jumamosi tarehe 29 Agosti 2015 katika viwanja vya Jangwani. Kampeni hizi zitaungwa...
Mama Samia achana na cheap popularity haitakusaidia lolote unatakiwa usiwe muongeaji sana maana naona unaanza kutoboa matundu ya hela wakati huo ukiwa umewekwa kwenye mtego mgumu na mzito sana wa...
Naam,
Bwana E N amekutana na ‘Mkono wa Bwana’ jana jioni akitokea Bagamoyo.
Bonge la ajali! Miguu yote miwili kwishney.
Inadaiwa huyu ndiye huongoza operesheni za kuwaumiza watanzania...
Habari za muda mabibi na mabwana!
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza nawashauri wanachama wenzangu na wananchi kwa ujumla. Mwaka 2020 tusipoteze tena kama ilivyotokea mwaka 2015. Haya yote ni...
Baada ya Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) kumtangaza rais mteule wa awamu ya tano, nani unahisi atateuliwa na mheshimiwa John Pombe Magufuli kuwa Waziri Mkuu ?
Unapendekeza Muundo wa Baraza la...
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Joseph Magufuli amefariki dunia.
Taarifa rasmi iliyotolewa kwa umma na Makamu wa Rais, Samia Suluhu Hassan kupitia Televisheni ya Taifa (TBC)...
Tanga kumenuka, magaidi wenye silaha nzito wanapambana na askari polisi muda huu. Askali wa jeshi la wananchi wameingilia kati na silaha za kisasa. Sasa hivi wanaelekea kwenye mapango ya Amboni...
#HapaKaziTu #UmojaNiUshindi
Hii ni SPECIAL THREAD itakayozungumzia ziara nzima kwenye mchakato wa kampeni za mgombea Urais Dr. John Pombe Magufuli na Mgombea Mwenza Samiah Suluhu wa Jamhuri...
Leo siku ya Jumatatu kuanzia saa nne asubuhi Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Mhe Paul Makonda ataongea na waandishi wa habari kutangaza listi ya wauzaji na watumiaji wa madawa ya kulevya kwa mara ya...
Watu wanasimama ukumbini, ishara ya raisi na mama Salma kuingia ukumbini. Anaketi meza kuu na viongozi wengine na watu wengine wanaketi.
Anakaribishwa mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam kuongea...
JamiiForums:
ILANI YETU
Tunasimama imara kudai mtandao huru na wazi.
Tunaunga mkono michakato wazi na shirikishi ya kutengeneza sera ya mtandao na uanzishaji wa kanuni tano za msingi...
Mada Maalum itakayozungumzia ziara nzima kwenye mchakato wa kampeni za mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe Magufuli na Mgombea Mwenza Mama Samiah Suluhu.
Agosti 25...
Wakuu,
Tunawaletea matokeo rasmi kwa nafasi ya Urais kwa mujibu wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi, NEC kama yalivyotangazwa.
Fuatilia uzi huu kwa updates zaidi. VIDEO na PICHA zote zitawekwa HAPA...
Kumekucha!!Ni siku nyingine tena,Mkuu wa Mkoa na Mwenyekiti wa Kamati ya Ulinzi na Usalama wa mkoa wa Dsm,ndugu Paul Makonda ataongea leo na waandishi wa habari kuhusu muendelezo wa vita ya madawa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.