BabuFey
JF-Expert Member
- Feb 13, 2023
- 2,722
- 4,306
Idd Amin na Reich Fuhrer Adolf Hitler walianzisha vikosi hivi nje ya polisi.jeshi usalama wa taifa nk nje ya mifumo yote isipokuwa uwajibikaji ni kwa wao tuu.
Ujerumani ilisimamiwa na Heinrich Himmler na Uganda Isaack Malyamungu.
Majukumu yao yalikuwa
State terror
Surveillance
Abduction
Torture
Extra judicial killings
De ja vu je tunayaona haya mahali ?
@Brittanica @ Synthesiser nk
(Nimetema nyongo FB mtandao wangu wa simu "wamenialika" ni ripoti na NIDA yangu ofisini mwao otherwise nafungiwa line.ukichukulia ya Djumbe wa Lissu na kada wa ccm aliye mtetea Nchimbi mitandaoni SIENDI)
Ujerumani ilisimamiwa na Heinrich Himmler na Uganda Isaack Malyamungu.
Majukumu yao yalikuwa
State terror
Surveillance
Abduction
Torture
Extra judicial killings
De ja vu je tunayaona haya mahali ?
@Brittanica @ Synthesiser nk
(Nimetema nyongo FB mtandao wangu wa simu "wamenialika" ni ripoti na NIDA yangu ofisini mwao otherwise nafungiwa line.ukichukulia ya Djumbe wa Lissu na kada wa ccm aliye mtetea Nchimbi mitandaoni SIENDI)