Poppy Hatonn
JF-Expert Member
- Apr 9, 2021
- 3,891
- 6,408
Hakuna sababu mtu ashambuliwe kwa kumtetea Nchimbi. The question of the 2030 elections does not arise.
Uchaguzi huo wakati wake bado.
Tunasema kwamba sasa hivi Nchimbi ndio Makamu wa Rais.
Yule mtu ameshambuliwa bila sababu.
Ukisema Nchimbi hafai kuwa Makamu wa Rais unaleta tatizo mahali ambapo hakuna tatizo,kwa sababu itabidi utafute replacement.
Samia ndiye Rais kwa sasa,ingawa Wapinzani wanadai kwamba hakuchaguliwa kihalali. It was a disaster waiting to happen.
Watu wengi hawakujiandikisha kupiga kura kwa sababu foleni zilikuwa ndefu sana
Otherwise Uchaguzi ilikuwa halali.
Ingawa juzi tunasikia mtu kapata moong'oto Kwa sababu kavaa shati Ina picha ya Rais Samia.
Kwa hiyo tusigombane Kwa ajili ya Uchaguzi wa 2030.
Indeed,nimesikiliza lakini bado sijamsikia anasema 2030 ataachia madaraka.
But there is this minor problem of the October 29 election violence.
How minor was the problem?
Can it be swept under the carpet?
Hilo ndilo swali ambalo linatafutiwa majibu..
Uchaguzi huo wakati wake bado.
Tunasema kwamba sasa hivi Nchimbi ndio Makamu wa Rais.
Yule mtu ameshambuliwa bila sababu.
Ukisema Nchimbi hafai kuwa Makamu wa Rais unaleta tatizo mahali ambapo hakuna tatizo,kwa sababu itabidi utafute replacement.
Samia ndiye Rais kwa sasa,ingawa Wapinzani wanadai kwamba hakuchaguliwa kihalali. It was a disaster waiting to happen.
Watu wengi hawakujiandikisha kupiga kura kwa sababu foleni zilikuwa ndefu sana
Otherwise Uchaguzi ilikuwa halali.
Ingawa juzi tunasikia mtu kapata moong'oto Kwa sababu kavaa shati Ina picha ya Rais Samia.
Kwa hiyo tusigombane Kwa ajili ya Uchaguzi wa 2030.
Indeed,nimesikiliza lakini bado sijamsikia anasema 2030 ataachia madaraka.
But there is this minor problem of the October 29 election violence.
How minor was the problem?
Can it be swept under the carpet?
Hilo ndilo swali ambalo linatafutiwa majibu..