Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), John Heche, amedai kuwa Katibu wa Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa CCM, Kenani Kihongosi, ametumwa kutengeneza propaganda za uongo...
4 Reactions
7 Replies
341 Views
Nimekuwa nikifuatilia mijadala mingi inayoendelea nchini kuhusu Utanganyika na Uzanzibar kiasi kwamba sasa mijadala hiyo imeingia kwenye Muungano wenyewe! Madai ya mwanzo kabisa ilikuwa kutaka...
5 Reactions
28 Replies
608 Views
Monster mother of Bangladesh Historia ya kiongozi wa taifa la Bangladesh, waziri Mkuu Sheikh Hasina ni jambo lenye kufikirisha sana. Alipoingia madarakani, Hasia aliona na wengi kuwa mtu ambae...
19 Reactions
62 Replies
3K Views
MAAZIMIO YA KIKAO CHA KAMATI MAALUM YA CHADEMA ZANZIBAR KILICHOFANYKA PEMBA TAREHE 07 JUNI 2026. Kamati Maalum ya CHADEMA Zanzibar ilifanya kikao chake cha kawaida tarehe 07 Juni 2026, Kisiwani...
2 Reactions
4 Replies
199 Views
Katibu wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa, Itikadi, Uenezi na Mafunzo, Kenani Kihongosi, amedai kuwa Mjumbe wa Kamati Kuu ya CHADEMA, Godbless Jonathan Lema, anavuta malipo ya shilingi milioni 15...
2 Reactions
41 Replies
669 Views
Kauli hiyo inahusu umaarufu wa vyama viwili vya kisiasa Tanzania: CCM na CHADEMA. Kile kinachojulikana kwa mujibu wa taarifa rasmi na matokeo ya uchaguzi: 1. Matokeo ya Uchaguzi Mkuu Tangu...
2 Reactions
24 Replies
407 Views
Msanii wa muziki wa kizazi kipya, Abdulazizi Chende maarufu Dogo Janja akiapa kuwa Diwani wa Kata ya Ngarenaro, Halmashauri ya Jiji la Arusha leo, Desemba 4, 2025.
1 Reactions
11 Replies
700 Views
Pamoja na mifumo sasa ni wazi kabisa maono ya serikali fake ya Tanzania na Watanzania wenyewe ni tofauti sana Serikali bado inataka mfumo wa kizamani lakini Watanzania wamebadilika na mfumo mzima...
8 Reactions
10 Replies
190 Views
Usiku wa jana Jumapili, nchi zote 2, Marekani na Iran zimetangaza kuwa zimefikia makubaliano ya kukomesha vita, na kwamba Ijumaa zitasaini MoU, nchini Switzerland. Memorandom hiyo inasema kuwa...
2 Reactions
11 Replies
209 Views
Inasemekana wanajeshi wengi wa JWTZ wameuawa kwenye misitu ya Minembwe inayokaliwa na watu wenye asili ya banyamulenge uko nchini Congo. Baada ya wanajeshi wa JWTZ kushindwa Boma na Bukavu kwenye...
21 Reactions
107 Replies
4K Views
Naibu Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu - Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI)akijibu maswali bungeni leo Juni 15, 2026, amesema Serikali inafanya tathmini ili kuona kama mtu mmoja...
1 Reactions
0 Replies
179 Views
https://www.youtube.com/watch?v=gDE5eqI9Fkw
0 Reactions
1 Replies
82 Views
  • Redirect
4 Reactions
Replies
Views
Uchawa na dhulma dhidi ya Rasilimali za Tanganyika (Bandari) hazitakuacha salama. Wacha yakukute.
10 Reactions
42 Replies
2K Views
Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) limekanusha madai yaliyotolewa na Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Mwanza (MWAUWASA) kwamba changamoto ya upatikanaji wa maji katika baadhi ya maeneo...
1 Reactions
4 Replies
246 Views
Hii mbinu imeshapitwa na wakati, wahusika katika Dawati husika wajaribu kuumiza vichwa Kuja na mbinu zingine lakini siyo hizi mbanga. Pale panapokuwa na mambo Makubwa ya kitaifa yanayohitaji...
2 Reactions
4 Replies
215 Views
Mwenyekiti wa Ngome ya Vijana Taifa wa Chama cha ACT-Wazalendo, Abdul Nondo, ameitaka serikali kuifuta mara moja kesi inayowakabili wanafunzi 17 wa vyuo vikuu wanaotuhumiwa kughushi nyaraka ili...
2 Reactions
12 Replies
306 Views
Mgeni njoo mwenyeji aponeeeee! Tetesi za maandamano tarehe 07/07/2026, wasio vaa uniform wamejaa hapa ninapo gonga nyagi wanasikilizia nyuzi,kidume nipo jamii forum nabonga na Wana uku nachati...
5 Reactions
4 Replies
255 Views
Sasa hivi upepo wa kisiasa unavyovuma ni dhahiri kiwango Cha kukubalika kwa viongozi wengi wa CCM kimeshuka miongon mwa watanzania na sijuhi kwanini hawajashutukia hili suala Tangu Chadema irudi...
6 Reactions
16 Replies
233 Views
Niko na masikitiko na huzuni kubwa sana kuona vile ambayo uislam umefanywa dodoki la kusafisha maghambi ya mwanasiasa Uislam dini ya haki Hii ndiyo falsafa ya dini yetu uislam hsuruhusu...
3 Reactions
4 Replies
166 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…