Nilitegemea Ziara yake huko Russia na kujadili pia masuala ya mafuta!! Sote tunafahamu hali ya mafuta ni mbaya sana, na Urusi wana mafuta mengi tu mamilioni ya mapipa kiasi kwamba hawajui hata...
Wanabodi
Nilikuwa nasikiliza kitu kumhusu Nicolo Machivaeli kwenye kitabu cha The Prince, audio books imefanya reading books made easy, usingizi ukikata unakamata simu yako na kujikeep busy...
Habari wakuu,
Jana nimeona watoto wa Waziri Mkuu Mwigulu Nchemba wakivutia mjadala mkubwa mtandaoni baada ya baba yao kuwapa nafasi ya kuzungumza jukwaani. Miongoni mwao, Isack tayari...
Hapa nazungumzia wafanyabiashara wadogo na wa kati ambao walipoteza mitaji yao.
Mtu alikuwa na mtaji kama wa mil nane au kumi na sababu ya ufisadi wa CCM vurugu zikatokea.
Inakuwaje mnajitengea...
Akiongea hivi punde kupitia Podcast ya 'Royal" mwandishi nguli wa habari nchini Tanzania Pascal Mayalla, kasema watu waliouliwa Oktoba 29 kama walikuwa wanaandamana, waliuliwa kwa sababu vyombo...
Sikatai na wala sipingi kuwa CCM ipo madarakani sababu ya kuwa vyombo vya dola vimeikumbatia.
Lakini nguvu ya umma ni zaidi ya bunduki na vifaru.
Heche na Lissu wamekiheshumisha chama chao...
Vyanzo vya kuminika vya kimataifa vinasema kulikuwa na makundi yasiyo rasmi yalionekana yakiua raia ovyo kwenye makazi ya watu, na yalionekana yana mfungamano na serikali je makundi hayo ni akina...
Wazanzibari wanaungana dhidi ya watanganyika ili kumlinda mzanzibar mwenzao, watanganyika wanauana sababu ya mzanzibar!! Ipo siku wajukuu zetu watatuuliza maswali magumu
Wanabodi,
Hili ni bandiko la swali, kama ni kweli US/EU walimtoa Saadam Hussein kwa uongo wa kusaka WMD, kisha wakamtoa Ghadafi madarakani kufuatia kuwaunganisha Waafrika, na Mugabe wakamtoa...
Zanzibar wanachama chao cha mpira ZFF kinatambuliwa na Caf. Bado huwa wanapiga kelele wakitaka wajiunge na FIFA.
Leo TFF wameomba kuandaa Afcon halafu hawa Wazanzibari wanapewa nafasi ya kuwa...
Kwa masikitiko makubwa, hali ya umeme katika maeneo ya Wilaya ya Chunya — Matundasi, Makongorosi, Lupa, Saza na Itumbi — imekuwa ya kudhalilisha wananchi na kuonyesha wazi kushindwa kwa mamlaka...
Nchi hii tulipata bahati mbaya sana sijui tulimkosea mungu nini. Kutoka urais wa John Pombe Magufuli hadi kuingia urais wa Samia Suluhu?! Samia sio mzalendo jasiri na mwenye maarifa kama magufuli...
Ni kijana Ambaye haifahamiki anachokipigania
Mbaya zaidi hata waliomteua hawaelewi kipaji Chake ni kipi, wamo wanaamini anapata vyeo kwa ushirikina.
Hebu angalia hiyo hoja aliyoijenga hapo...
Watanganyika endeleeni kupaza Sauti ya Utaifa ya Tanganyika.
Kadri Wazanzibari wanavyojibu ndio mpasuko ndani ya Jamii unaongezeka, sikiliza kwa makini huyu Sheikh anayozungumza alafu useme kwa...
Mwenyekiti wa Umoja wa Wanawake wa Chama Cha Mapinduzi (UWT) Taifa, Mary Chatanda, amewashutumu vikali viongozi wa vyama vya upinzani kwa kuendesha siasa za vurugu na kutumiwa na mataifa ya nje...
✍️Kilichoifanya Bajeti ya 2026/27 kuwa ya kipekee si ukubwa wake pekee, bali ni mwelekeo wake wa kimkakati katika kujenga uchumi unaozalisha utajiri, ajira na fursa kwa wananchi.
Kwa mara ya...
Nchini South Africa, wageni (hasa kutoka nchi nyingine za Afrika) wamekuwa wakikumbana na matukio ya ubaguzi wa wageni (xenophobia) na wakati mwingine vurugu. Haya ndiyo mambo makuu mabaya...
Mwigulu Nchemba amesema Serikali itaendelea kulinda uhuru wa kuabudu na kuimarisha ushirikiano na taasisi za dini kwa kutambua mchango mkubwa unaotolewa na taasisi hizo katika kujenga maadili...
Mnatambua wazi kuwa CCM imeshachokwa na Watanzania. Watanzania hawaitaki CCM na hawamtaki rais Samia. Hili lipo wazi.
Mnafanya uzembe kuandikisha wanachama kwenye vyuo vikuu.
Mnafanya uzembe...