thomasankara
Member
- Jun 7, 2026
- 22
- 33
Nchi hii tulipata bahati mbaya sana sijui tulimkosea mungu nini. Kutoka urais wa John Pombe Magufuli hadi kuingia urais wa Samia Suluhu?! Samia sio mzalendo jasiri na mwenye maarifa kama magufuli. Samia kiitikadi ni mbinafsi mpenda kujilimbikizia mali kwake na jamaa zake, mwenye upendeleo wa jamaa zake 'nepotism' Nchi ilipata bahati mbaya sana kumpoteza Magufuli baada ya kutumikia mhula mmoja tu.
Kwa kukosa maarifa sasa tunapokea uwekezaji toka popote. Nchi zingine kama Israel ni hatari uwekezaji zao maana wanalenga kujitajiri wao na kuwazuia umma wa wenyeji msiendelee.
Hilo sio siri. Nchi kama UAE tayari zimetekwa na Israel zikija kuwekeza huku Afrika ni sawa ni mayahudi wenyewe wamekuja kuwekeza. Inahitaji umakini mkubwa na uzalendo mkubwa kudhibiti uwekezaji wa mayahudi.
Viongozi wapenda rushwa na wabinafsi hawataweza kumudu wawekezaji hatari na mwisho taifa litatoka kwenye misingi ya ujamaa na kujitegemea na tutasambaratika kama Sudan na yale tunaona Congo na Rwanda.
Tutaanza kupigana wenyewe. Dalili tayari zinaonekana. Majasusi wa kigeni wapo wengi kutuvuruga.
TUMUOMBE MUNGU ATUNUSURU
Kwa kukosa maarifa sasa tunapokea uwekezaji toka popote. Nchi zingine kama Israel ni hatari uwekezaji zao maana wanalenga kujitajiri wao na kuwazuia umma wa wenyeji msiendelee.
Hilo sio siri. Nchi kama UAE tayari zimetekwa na Israel zikija kuwekeza huku Afrika ni sawa ni mayahudi wenyewe wamekuja kuwekeza. Inahitaji umakini mkubwa na uzalendo mkubwa kudhibiti uwekezaji wa mayahudi.
Viongozi wapenda rushwa na wabinafsi hawataweza kumudu wawekezaji hatari na mwisho taifa litatoka kwenye misingi ya ujamaa na kujitegemea na tutasambaratika kama Sudan na yale tunaona Congo na Rwanda.
Tutaanza kupigana wenyewe. Dalili tayari zinaonekana. Majasusi wa kigeni wapo wengi kutuvuruga.
TUMUOMBE MUNGU ATUNUSURU