Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Kama yote haya yanatokea kwa ushauri wa wanaomzunguka, basi watu hao wakimshauri abadili katiba, hawezi pinga zaidi ya kukubali hilo wazo na kulifanyia kazi. Hawawezi kuungana kumpiga kwasababu...
3 Reactions
6 Replies
145 Views
Ndugu zangu Watanzania, Huyu Mwamba siku Akiwekwa Wizara ya Mambo Ya Ndani ya Nchi . kwa Hakika Nchi itatetemeka na kishindo chake kitatikisa kuta za Whitehouse Marekani. Na Kila Mmoja atakaa...
4 Reactions
40 Replies
396 Views
Hi. Aisee sijaona mtu kufananisha mlima na kichuguu. .Mwigulu is nothing over Magufuli. Magufuli was another machine, real talented and problems solver. Acheni kumfananisha Mwamba jiwe na Wahuni...
3 Reactions
7 Replies
107 Views
Wanabodi, Huu ni wito wangu na ushauri wangu wa bure kwa Bernard Membe, asibishane na Maaskofu, amsamehe tuu huyu mwana fani mwenzetu, wakati alipokuwa akiyatenda hayo na kufanya makosa yale...
37 Reactions
283 Replies
23K Views
Wanabodi Nimeona majina ya wagombea Uspika wa Bunge la JMT Thread 'Vigogo Sita wa CCM kuwania nafasi ya uspika wa Bunge la Jamhuri ya muungano wa Tanzania' GE2025 - Vigogo Sita wa CCM kuwania...
7 Reactions
31 Replies
993 Views
Wanabodi, Habari za Jioni!. Niko kwenye social function fulani, MC wa Sherehe hii ni mmoja wa MC wakongwe nchini na mahiri, ila aliniboa alipotangaza rasmi kuwa miongoni mwa wageni waheshimiwa...
7 Reactions
80 Replies
12K Views
Katika kipindi cha Dakika 45 ITV Mh Membe anaonekana kuongea kwa hisia na uwazi sana kuhusu maisha yake ya kisiasa pamoja na mvutano uliopo kati yake na mahasimu wake. Anasema iko siku atawataja...
17 Reactions
657 Replies
99K Views
Hii ni kwa sababu Jukumu la Ulinzi ni la KILA Mwananchi. Kingine ni hiki hakuna uzembe uliozidi kipimo kama ule wa kuibiwa mali zako kibwege bila juhudi zozote za kulinda Kwa mfano, Kwenye...
16 Reactions
28 Replies
369 Views
Kwanza kabisa niseme mimi binafsi sifurahii kabisa pale mtu anapokufa.Sifurahii zaidi pale anapokufa bila kutubu.Hata hivyo kuna desturi imejitokeza hapa nchini ya watu kufurahia watu...
1 Reactions
0 Replies
56 Views
Serikali mnataka kulazimisha Watanzania wote tuache kazi na kusikitika nanyi kupoteza marafiki wenu lakini watanzania wengi hatuna muda tunataka democracy na katiba mpya. Hatuta waonea huruma...
3 Reactions
6 Replies
85 Views
Unaweza kudhani unaota lakini hii ndio hali halisi ya Tanzania kwa sasa. Shule ya msingi ya Mivinjeni iliyokuwa ikifundisha kwa lugha ya kiingereza imeuzwa kwa Matajiri na kusababisha usumbufu...
10 Reactions
55 Replies
972 Views
Ndugu zangu Watanzania, Dunia ina unafiki mwingi sana . Ina mambo ya ajabu na hovyo Sana. Kama Mkuu wa Nchi na Rais wa Nchi usipokuwa imara ,makini ,mwenye msimamo imara na Thabiti unaweza jikuta...
4 Reactions
81 Replies
1K Views
Sasa Tanzania inaenda kushuhudia aibu ya Karne Miundombinu ya Isimani ni mibovu. Ndo kielelezo cha Uongozi wa CCM. Kila mwenye akili timamu atahoji William Lukuvi kaifanyia nini Isman kwa miaka...
11 Reactions
30 Replies
666 Views
TANZANIA YAKABIDHI MSAADA WA CHAKULA KWA NCHI YA MSUMBIJI Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imekabidhi msaada wa tani 500 za mahindi kwa Serikali ya Jamhuri ya Msumbiji kufuatia...
3 Reactions
31 Replies
375 Views
Wanabodi Hii ni makala yangu, kwenye gazeti la Nipashe la leo. Kwa mwaka huu, kufunga kwa Wakristo kipindi cha Kwaresma, kumekwenda sambamba na mwezi Mtukufu wa Ramadhani kwa ndugu zetu Waislamu...
19 Reactions
93 Replies
1K Views
  • Featured
Mashahidi 43, akiwemo Mkuu wa Upelelezi wa Makosa ya Jinai Kanda Maalumu ya Dar es Salaam, Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi (SACP) Faustine Mafwele, wanatarajiwa kutoa ushahidi katika kesi...
8 Reactions
40 Replies
2K Views
Hamjambo. Nimeona viongozi wa Chadema. Asilimia tisini wapo juu ya miaka 50+ huko. Kwa umri huo sio umri tena wa kufanya harakati zile za hekaheka. Harakati zinazohitaji nguvu kubwa ya Mwili...
5 Reactions
97 Replies
605 Views
Kuna tabia inayozidi kujitokeza na kukua siku hadi siku katika jamii—wananchi kuonyesha kufurahia vifo vya baadhi ya viongozi au wanasiasa. Ukichunguza kwa kina, hali hii inachangiwa kwa kiasi...
5 Reactions
8 Replies
146 Views
Ndugu zangu Watanzania, Kiukweli naumizwa, kusikitishwa na kusononeshwa sana kuona ,kusoma matusi anayotukana kada wa CHADEMA aitwaye SATIVA. Huyu mtu amekuwa akitukana matusi machafu sana...
4 Reactions
95 Replies
1K Views
Wakati watumishi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo nchi nzima wakiwa na madeni juu ya stahiki zao, Makamu wetu JOHN HECHE analipa hadi laki 5 kwa usiku mmoja kulala katika hotel za hadhi ya...
5 Reactions
26 Replies
277 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…