Lucas Mwashambwa
JF-Expert Member
- Jul 28, 2022
- 38,272
- 24,856
Ndugu zangu Watanzania,
Huyu Mwamba siku Akiwekwa Wizara ya Mambo Ya Ndani ya Nchi .
kwa Hakika Nchi itatetemeka na kishindo chake kitatikisa kuta za Whitehouse Marekani.
Na Kila Mmoja atakaa Mguu Sawa.
Timu ya Rais Samia Ya Baraza la Mawaziri ni nzuri sana na imesheheni wachezaji wenye vipaji vya uchezaji.
Sasa Hapa Kuna wachezaji Ambao kuna Namba ukiwapanga . Ni lazima Majukwaa ya mashabiki yawe na msisimko wa kipekee.
Sasa Huyu Mwamba Paul Makonda Kwa Haiba yake na Mambo yake akitokea Kasimikwa Kwenye Wizara Hiyo ya Saluti. Heee Sijui . Ngoja nikae kimya tu nisimalize Utamu Wa Habari.
Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Itakuwa akiunguruma Mpaka mashirika ya Habari kama CNN au BBC au Aljazera Yatakuwa Yanaripoti kama Habari kuu kwenye TV zao.
Yaani CCM ina Hadhina ya wachezaji Mpaka unashindwa nani akae wapi na nani aanze kikosi cha kwanza. Yaani wote ni mastaa Hatari na wenye kasi ya hatari kwelikweli.
Mwamba Mwenyewe Huyu Hapa
Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Huyu Mwamba siku Akiwekwa Wizara ya Mambo Ya Ndani ya Nchi .
kwa Hakika Nchi itatetemeka na kishindo chake kitatikisa kuta za Whitehouse Marekani.
Na Kila Mmoja atakaa Mguu Sawa.
Timu ya Rais Samia Ya Baraza la Mawaziri ni nzuri sana na imesheheni wachezaji wenye vipaji vya uchezaji.
Sasa Hapa Kuna wachezaji Ambao kuna Namba ukiwapanga . Ni lazima Majukwaa ya mashabiki yawe na msisimko wa kipekee.
Sasa Huyu Mwamba Paul Makonda Kwa Haiba yake na Mambo yake akitokea Kasimikwa Kwenye Wizara Hiyo ya Saluti. Heee Sijui . Ngoja nikae kimya tu nisimalize Utamu Wa Habari.
Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Itakuwa akiunguruma Mpaka mashirika ya Habari kama CNN au BBC au Aljazera Yatakuwa Yanaripoti kama Habari kuu kwenye TV zao.
Yaani CCM ina Hadhina ya wachezaji Mpaka unashindwa nani akae wapi na nani aanze kikosi cha kwanza. Yaani wote ni mastaa Hatari na wenye kasi ya hatari kwelikweli.
Mwamba Mwenyewe Huyu Hapa
Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.