Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

VIMBWANGA TARAJIWA Jinsi tunavyoukaribia uchaguzi mkuu ndivyo tutakavyo shuhudia vimbwanga. Jiandaeni kwa muvi zifuatazo: 1. Ugomvi wa kugombea bendera mtaa wa Ufipa. Zitapigwa kavu kavu baina ya...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Nimsikia Mhe Tundu Lissu akiwa huko Uingereza kuwa akipata ridhaa ya watanzania na chama chake basi atagombea kiti cha urais katika uchaguzi mkuu ujao wa 2020. Nimekuwa nikumuangalia Mhe Tundu...
24 Reactions
364 Replies
23K Views
Kwa kila mzalendo na mpenda haki na ustawi wa taifa letu naamini ataungana na hawa viongozi wetu wakubwa mh Lissu kama rais wa nchi na mh Zitto kama waziri mkuu baada ya uchaguzi wa 2020.wakati ni...
2 Reactions
13 Replies
3K Views
Huyu mzee muone tu vile alivyo. Akiwa mzoefu wa siasa, mtu asiyeyumba na mwenye historia ya kukumbana na vikwazo vingi vya chama dola (CCM) amekuwa mtu wa kutokata tamaa. Yaliyopita yamepita...
8 Reactions
21 Replies
4K Views
Uchaguzi mkuu wa Tanzania unatarajiwa kufanyika mwaka 2020. Hivi karibuni Tundu Lissu amenukuliwa akisema anakusudia kuomba kupeperusha bendera ya CHADEMA. Ama huko nyuma Edward Lowassa nae...
0 Reactions
19 Replies
3K Views
Lengo langu ni kujaribu kuangalia raslimali watu aliyonayo mheshimiwa Lissu katika kuunda serikali yake pale atakapochaguliwa kuongoza Taifa. Tukumbuke kuwa hataongoza peke yake na lazima...
4 Reactions
65 Replies
4K Views
Historia haikuwekwa wazi, kitu ambacho Nyerere alitahadharisha watu wenye misimamo mikali hawafai kuwa viongozi. Hata moja ya sababu ya kumchagua Mwinyi kumrithi ni busara na unyenyekevu wake...
7 Reactions
54 Replies
9K Views
Nimekuwa nikitafakari juu ya siasa za uchaguzi wa 2020. Kwa maoni yangu, ikiwa CCM watashinda viti vingi vya ubunge, na Dr. Tulia Ackson akashinda ubunge kule Mbeya, basi atakuwa ndio Spika badala...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Nikiwa kama mwana chama halali wa CCM nitabaki kusimama kwenye kanuni ya chama inayo sema kuwa ( nitasema ukweli daima fitina kwangu ni mwiko ). Mimi siwezi kukaa ndani ya chama kwa kujipendekeza...
5 Reactions
6 Replies
3K Views
Tanzania set to register four million new voters for next general elections Tanzania set to register four million new voters for next general elections === CCM kupata zaidi ya kura milioni 17...
0 Reactions
0 Replies
936 Views
Jamaa namkubali sana ametulia naamini atatufikisha mbali sana. Kama kweli anaandaliwa na iwe kweli. Piga kazi Jafo
1 Reactions
18 Replies
2K Views
Wasalaam, tumebakisha takribani miaka 2 kabla ya kufanyika uchaguzi mkuu 2020. Naona mzee Lowassa anaendelea kufanya siasa za kistaarabu na kizalendo. Tuliona mh Lowassa akienda ikulu, alienda ktk...
7 Reactions
39 Replies
7K Views
Wakuu habari za wakati huu, Wakazi wa wilaya ya Same wanafukuto chin ikwa chini hapo mwaka 2020 ili waweze kupata kiongozi bora kama mbunge wao wa kuwaletea hamasa na mbinu za kimedani za kupata...
0 Reactions
2 Replies
3K Views
.
0 Reactions
41 Replies
4K Views
Nilikuwa sitamani kuingia kwenye siasa ila kwa hii sera ya Zitto Kabwe inanifanya niipende tena siasa, yaani KAZI NA BATA
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Nikiwa Kama mzaliwa wa Mwanza hususani Jimbo la Nyamagana niwaalike wananyamagana wenzangu tujadili 2020 ndio hii hapa inakuja huku jimbo letu haliko na mwakilishi bungeni utazani nae kaunga mkono...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Habari ndio hiyo wakuu , inasemekana Salim Chicago amekubaliana na mpango wa Polepole ambao kimsingi umo kwenye mkataba wa manunuzi ya wabunge wa upinzani ( tunakununua na tunakurudisha tena ) ...
5 Reactions
35 Replies
5K Views
KAMPENI ZA UCHAGUZI 2020 Hapana Shana CCM Watamsimamisha Dr. John Pombe Magufuli na Ukawa Watamsimamisha Low assa au Lissu au Zitto Kabwe. Na hivi ndivyo watakavyoomba ridhaa ya Wananchi kwa...
0 Reactions
21 Replies
4K Views
Muasi Mwita Mwikabwe Waitara amejiapiza kwamba ni lazima kwa gharama yoyote amtoe John Heche katika nafasi ya ubunge. Akizungumza na washirika wake kadhaa mbunge huyo aliyepachikwa ubunge wa...
3 Reactions
17 Replies
4K Views
Yes... Is January Makamba who is going to take the throne in General election 2020. He will beat up the president Magufuli either in his CCM political part during nomination of presidential race...
7 Reactions
98 Replies
11K Views
Back
Top Bottom