Waziri wa Fedha Mhe. Balozi Khamis Mussa Omar (Mb), akiwasilisha Bajeti ya Serikali kwa Mwaka 2026/27 leo Juni 11, 2026, Bungeni, Dodoma. amesema Serikali itaanza kutoza ushuru wa bidhaa wa 10%...
Serikali inapendekeza marekebisho ya Kodi na Ada za Pikipiki (Bodaboda) 2026/2027. Serikali imeamua kutowaingiza wafanyabiashara wa pikipiki (bodaboda) kwenye mfumo wa kodi ya makadirio...
kwa mwaka2026/27 Serikali inatarajia kukusanya na kutumia jumla ya shilingi trilioni 62.33, ikiwa ni ongezeko la asilimia 10.3 ikilinganishwa na bajeti ya mwaka 2025/26.
Mchanganuo wa Matumizi ya...
Waziri wa Fedha, Balozi Khamis Mussa Omar, akiwasilisha Mapendekezo ya Bajeti Kuu ya Serikali kwa Mwaka wa Fedha 2026/27 bungeni leo, ametangaza mabadiliko makubwa katika utoaji wa huduma za...
Akizungumza Bungeni Waziri wa Fedha amesema kuwa ili kupunguza ada za huduma za mauzo ya mtandaoni zinazotumiwa zaidi na vijana kama ifuatavyo:
A: Ada ya maombi ya leseni ya huduma ya mauzo...
Serikali imetangaza rasmi kuanza utekelezaji wa mpango wa Bima ya Afya kwa Wote katika awamu ya kwanza. Katika awamu hiyo, kitita cha huduma muhimu za afya kitatolewa na skimu za Bima ya Afya kwa...
Waziri wa Fedha, Balozi Khamis Mussa Omar, akiwasilisha Bajeti Kuu ya Serikali kwa Mwaka wa Fedha 2026/27 bungeni leo, ameeleza kuwa hali ya deni la serikali hadi kufikia mwezi Machi 2026 imefikia...
Katika kutekeleza mapendekezo ya kiutawala yaliyotolewa na Tume ya Rais ya Maboresho ya Mfumo wa Kodi, Serikali kupitia Bajeti ya Mwaka wa Fedha 2026/2027 imependekeza mfumo mpya wa urahisishaji...
Serikali imependekeza marekebisho kwenye Kanuni za Mawasiliano ya Kielektroniki na Posta (Maudhui Mtandaoni) ili kupunguza kwa kiasi kikubwa ada za leseni. Hatua hii inalenga kuwapunguzia mzigo wa...
Waziri wa Fedha, Khamis Mussa Omar amesema kuwa katika mwaka wa fedha 2026/27, serikali inapendekeza kusamehe Kodi ya Ongezeko la Thamani (VAT) kwenye vifaa vitakavyotumika katika vituo vya...
Kutoza ushuru wa bidhaa kwa kiwango cha asilimia 5 kwenye thamani ya dau la kamari (gaming) inayochezwa kwa njia ya michezo ya kubashiri ya ardhini au mtandaoni (land/internet based sports...
Serikali imependekeza mikakati mipya ya kupunguza matumizi ya fedha taslimu na kukuza uchumi wa kidijitali kwa mwaka wa fedha 2026/2027. Hatua hiyo inajumuisha kuweka sharti la lazima kwa baadhi...
Serikali kupitia Hotuba ya Bajeti ya Mwaka wa Fedha 2026/2027 inapendekeza kupunguza ushuru wa forodha kwa magari yanayotumia nishati ya umeme nchini. Ushuru huo unashushwa kutoka asilimia 25 ya...
Ili kupunguza matumizi ya fedha taslimu katika mwaka 2026/27 inapendekezwa kufanya maboresho yafuatayo:
Kuweka sharti la baadhi ya malipo ya huduma na biashara kufanyika kwa njia za kidijitali...
Serikali imependekeza hatua kadhaa za kodi kwa mwaka wa fedha 2026/27 ili kuchochea matumizi ya nishati ya umeme na gesi asilia nchini.
Hatua hizo ni pamoja na kusamehe Kodi ya Ongezeko la...
Waziri wa Fedha Mhe. Balozi Khamis Mussa Omar (Mb), akiwasilisha Bajeti ya Serikali kwa Mwaka 2026/27 leo Juni 11, 2026, Bungeni, Dodoma, amesema kuwa erikali imependekeza kufanya marekebisho...
Waziri wa Fedha, Khamis Mussa Omar amesema kuwa katika mwaka wa fedha 2026/27, serikali itaendelea kutekeleza Mkakati wa Ukusanyaji wa Mapato wa Muda wa Kati wa 2025/26–2027/28 kwa kuchukua hatua...
Waziri wa Mipango na Uwekezaji, Profesa Kitila Mkumbo, amesema takwimu zinaonesha kuwa kiwango cha umaskini wa mahitaji ya msingi Nchini Tanzania Bara kimeendelea kupungua kwa miaka ya hivi...
Moja ya mambo utu uzima hutufunza ni kuwa hakuna wa muhimu sana kwenye haya maisha. Huu ndio ukweli unaotufanya tukishakuwa watu wazima, kutokulazimisha mahusiano tena.
Binafsi ni muumini wa...
Waziri wa fedha, Balozi Khamis Mussa Omar akiwasilisha hotuba ya bajeti kuu ya serikali kwa mwaka wa fedha 2026/2027 amesema .....
Bajeti ya 2026/2027 ni ya kwanza katika utekelezaji wa Dira...