Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Waziri wa Fedha Mhe. Balozi Khamis Mussa Omar (Mb), akiwasilisha Bajeti ya Serikali kwa Mwaka 2026/27 leo Juni 11, 2026, Bungeni, Dodoma. amesema Serikali itaanza kutoza ushuru wa bidhaa wa 10%...
2 Reactions
17 Replies
407 Views
Serikali inapendekeza marekebisho ya Kodi na Ada za Pikipiki (Bodaboda) 2026/2027. Serikali imeamua kutowaingiza wafanyabiashara wa pikipiki (bodaboda) kwenye mfumo wa kodi ya makadirio...
3 Reactions
7 Replies
208 Views
kwa mwaka2026/27 Serikali inatarajia kukusanya na kutumia jumla ya shilingi trilioni 62.33, ikiwa ni ongezeko la asilimia 10.3 ikilinganishwa na bajeti ya mwaka 2025/26. Mchanganuo wa Matumizi ya...
0 Reactions
0 Replies
112 Views
Waziri wa Fedha, Balozi Khamis Mussa Omar, akiwasilisha Mapendekezo ya Bajeti Kuu ya Serikali kwa Mwaka wa Fedha 2026/27 bungeni leo, ametangaza mabadiliko makubwa katika utoaji wa huduma za...
2 Reactions
4 Replies
290 Views
Akizungumza Bungeni Waziri wa Fedha amesema kuwa ili kupunguza ada za huduma za mauzo ya mtandaoni zinazotumiwa zaidi na vijana kama ifuatavyo: A: Ada ya maombi ya leseni ya huduma ya mauzo...
1 Reactions
1 Replies
99 Views
Serikali imetangaza rasmi kuanza utekelezaji wa mpango wa Bima ya Afya kwa Wote katika awamu ya kwanza. Katika awamu hiyo, kitita cha huduma muhimu za afya kitatolewa na skimu za Bima ya Afya kwa...
2 Reactions
39 Replies
1K Views
Waziri wa Fedha, Balozi Khamis Mussa Omar, akiwasilisha Bajeti Kuu ya Serikali kwa Mwaka wa Fedha 2026/27 bungeni leo, ameeleza kuwa hali ya deni la serikali hadi kufikia mwezi Machi 2026 imefikia...
0 Reactions
8 Replies
295 Views
  • Redirect
Katika kutekeleza mapendekezo ya kiutawala yaliyotolewa na Tume ya Rais ya Maboresho ya Mfumo wa Kodi, Serikali kupitia Bajeti ya Mwaka wa Fedha 2026/2027 imependekeza mfumo mpya wa urahisishaji...
0 Reactions
Replies
Views
Serikali imependekeza marekebisho kwenye Kanuni za Mawasiliano ya Kielektroniki na Posta (Maudhui Mtandaoni) ili kupunguza kwa kiasi kikubwa ada za leseni. Hatua hii inalenga kuwapunguzia mzigo wa...
2 Reactions
3 Replies
167 Views
Waziri wa Fedha, Khamis Mussa Omar amesema kuwa katika mwaka wa fedha 2026/27, serikali inapendekeza kusamehe Kodi ya Ongezeko la Thamani (VAT) kwenye vifaa vitakavyotumika katika vituo vya...
2 Reactions
1 Replies
1K Views
  • Redirect
Kutoza ushuru wa bidhaa kwa kiwango cha asilimia 5 kwenye thamani ya dau la kamari (gaming) inayochezwa kwa njia ya michezo ya kubashiri ya ardhini au mtandaoni (land/internet based sports...
0 Reactions
Replies
Views
Serikali imependekeza mikakati mipya ya kupunguza matumizi ya fedha taslimu na kukuza uchumi wa kidijitali kwa mwaka wa fedha 2026/2027. Hatua hiyo inajumuisha kuweka sharti la lazima kwa baadhi...
2 Reactions
5 Replies
157 Views
Serikali kupitia Hotuba ya Bajeti ya Mwaka wa Fedha 2026/2027 inapendekeza kupunguza ushuru wa forodha kwa magari yanayotumia nishati ya umeme nchini. Ushuru huo unashushwa kutoka asilimia 25 ya...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Ili kupunguza matumizi ya fedha taslimu katika mwaka 2026/27 inapendekezwa kufanya maboresho yafuatayo: Kuweka sharti la baadhi ya malipo ya huduma na biashara kufanyika kwa njia za kidijitali...
0 Reactions
0 Replies
82 Views
Serikali imependekeza hatua kadhaa za kodi kwa mwaka wa fedha 2026/27 ili kuchochea matumizi ya nishati ya umeme na gesi asilia nchini. Hatua hizo ni pamoja na kusamehe Kodi ya Ongezeko la...
1 Reactions
2 Replies
2K Views
Waziri wa Fedha Mhe. Balozi Khamis Mussa Omar (Mb), akiwasilisha Bajeti ya Serikali kwa Mwaka 2026/27 leo Juni 11, 2026, Bungeni, Dodoma, amesema kuwa erikali imependekeza kufanya marekebisho...
1 Reactions
0 Replies
1K Views
Waziri wa Fedha, Khamis Mussa Omar amesema kuwa katika mwaka wa fedha 2026/27, serikali itaendelea kutekeleza Mkakati wa Ukusanyaji wa Mapato wa Muda wa Kati wa 2025/26–2027/28 kwa kuchukua hatua...
0 Reactions
0 Replies
257 Views
Waziri wa Mipango na Uwekezaji, Profesa Kitila Mkumbo, amesema takwimu zinaonesha kuwa kiwango cha umaskini wa mahitaji ya msingi Nchini Tanzania Bara kimeendelea kupungua kwa miaka ya hivi...
0 Reactions
4 Replies
124 Views
Moja ya mambo utu uzima hutufunza ni kuwa hakuna wa muhimu sana kwenye haya maisha. Huu ndio ukweli unaotufanya tukishakuwa watu wazima, kutokulazimisha mahusiano tena. Binafsi ni muumini wa...
5 Reactions
9 Replies
161 Views
Waziri wa fedha, Balozi Khamis Mussa Omar akiwasilisha hotuba ya bajeti kuu ya serikali kwa mwaka wa fedha 2026/2027 amesema ..... Bajeti ya 2026/2027 ni ya kwanza katika utekelezaji wa Dira...
0 Reactions
0 Replies
115 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…