kwa mwaka2026/27 Serikali inatarajia kukusanya na kutumia jumla ya shilingi trilioni 62.33, ikiwa ni ongezeko la asilimia 10.3 ikilinganishwa na bajeti ya mwaka 2025/26.
Mchanganuo wa mikopo hiyo unajumuisha:
Mchanganuo wa Matumizi ya Shilingi Trilioni 54.5
Waziri wa Fedha amefafanua kuwa kiasi hicho cha fedha kimetengwa kwa ajili ya matumizi pasipo kujumuisha malipo ya mtaji wa deni la serikali, ambapo mchanganuo wake uko kama ifuatavyo:- Ruzuku: Shilingi trilioni 25.32
- Stahiki za Watumishi (ikiwemo Pensheni): Shilingi trilioni 10.13
- Malipo ya Riba: Shilingi trilioni 6.86
- Gharama za Bidhaa na Huduma: Shilingi trilioni 5.22
- Gharama Nyinginezo: Shilingi trilioni 3.63
- Uwekezaji katika Maamuzi ya Kifedha: Shilingi trilioni 2.33
- Mafao na Misaada ya Kijamii: Shilingi trilioni 1.01
Mchanganuo wa mikopo hiyo unajumuisha:
- Mikopo ya Ndani: Shilingi trilioni 6.56.
- Mikopo ya Nje yenye Masharti Nafuu: Shilingi trilioni 6.55.
- Mikopo ya Nje yenye Masharti ya Kibiashara: Shilingi trilioni 2.43.