Ada ya usajili wa pikipiki kuongezeka kutoka Shilingi 95,000 hadi Shilingi 150,000

Ada ya usajili wa pikipiki kuongezeka kutoka Shilingi 95,000 hadi Shilingi 150,000

The Watchman

JF-Expert Member
Joined
Nov 7, 2023
Posts
2,176
Reaction score
4,917
Serikali inapendekeza marekebisho ya Kodi na Ada za Pikipiki (Bodaboda) 2026/2027. Serikali imeamua kutowaingiza wafanyabiashara wa pikipiki (bodaboda) kwenye mfumo wa kodi ya makadirio (presumptive tax), kutokana na ugumu wa utekelezaji wake kwenye sekta hiyo.

Badala ya kodi hiyo, Serikali inapendekeza kufanya marekebisho ya sheria ili kuongeza ada ya usajili wa pikipiki (wa mara moja tu) kutoka Shilingi 95,000 hadi Shilingi 150,000.

Hatua inaelezwa kulenga kulinda biashara hizo ndogo zisiumizwe na kodi za kila mara, huku ikitarajiwa kuingizia Serikali mapato ya ziada ya kiasi cha Shilingi bilioni 17.75.
 
Serikali inapendekeza marekebisho ya Kodi na Ada za Pikipiki (Bodaboda) 2026/2027. Serikali imeamua kutowaingiza wafanyabiashara wa pikipiki (bodaboda) kwenye mfumo wa kodi ya makadirio (presumptive tax), kutokana na ugumu wa utekelezaji wake kwenye sekta hiyo.

Badala ya kodi hiyo, Serikali inapendekeza kufanya marekebisho ya sheria ili kuongeza ada ya usajili wa pikipiki (wa mara moja tu) kutoka Shilingi 95,000 hadi Shilingi 150,000.

Hatua inaelezwa kulenga kulinda biashara hizo ndogo zisiumizwe na kodi za kila mara, huku ikitarajiwa kuingizia Serikali mapato ya ziada ya kiasi cha Shilingi bilioni 17.75.

badala wapunguze ila ndo wameongeza
 
Na omba omba nao walipe kodi tu, wanapata jeuri mpak kutongoza wake zetu eti wanaweza kuhudumia
 
Serikali inapendekeza marekebisho ya Kodi na Ada za Pikipiki (Bodaboda) 2026/2027. Serikali imeamua kutowaingiza wafanyabiashara wa pikipiki (bodaboda) kwenye mfumo wa kodi ya makadirio (presumptive tax), kutokana na ugumu wa utekelezaji wake kwenye sekta hiyo.

Badala ya kodi hiyo, Serikali inapendekeza kufanya marekebisho ya sheria ili kuongeza ada ya usajili wa pikipiki (wa mara moja tu) kutoka Shilingi 95,000 hadi Shilingi 150,000.

Hatua inaelezwa kulenga kulinda biashara hizo ndogo zisiumizwe na kodi za kila mara, huku ikitarajiwa kuingizia Serikali mapato ya ziada ya kiasi cha Shilingi bilioni 17.75.
hii inaitwa kamua mama kamua,kamua mama usitumie hirizi
 
Back
Top Bottom