kavulata
JF-Expert Member
- Aug 2, 2012
- 17,123
- 16,842
Rais Samia ana exposure kubwa sana ya kimataifa inayomfanya iwe vigumu kumchafua kimataifa.
Ni Rais mwanamke, dunia nzima inajua kuwa viongozi wa siasa nchi kwake wanamuonea kwakuwa ni mwanamke. Kama sehemu ya changamoto za wanawake duniani.
Dunia inamuona Rais Samia na uongozi wake kupitia vitendo na uongozi wa mtangulizi wake, Rais Magufuli. "Bora huyu"
Rais Samia hana wategemezi wengii maskini wa kutupwa kulinganisha na watangulizi wake.
Rais Samia anataka kuacha alama badala ya laana, wengine wanaacha watoto wengi mitaani.
Rais Samia katoka familia ambayo watoto wote waliheshimika, hata wale wa kike.
Maoni ya mtu hayapigwi rungu
Ni Rais mwanamke, dunia nzima inajua kuwa viongozi wa siasa nchi kwake wanamuonea kwakuwa ni mwanamke. Kama sehemu ya changamoto za wanawake duniani.
Dunia inamuona Rais Samia na uongozi wake kupitia vitendo na uongozi wa mtangulizi wake, Rais Magufuli. "Bora huyu"
Rais Samia hana wategemezi wengii maskini wa kutupwa kulinganisha na watangulizi wake.
Rais Samia anataka kuacha alama badala ya laana, wengine wanaacha watoto wengi mitaani.
Rais Samia katoka familia ambayo watoto wote waliheshimika, hata wale wa kike.
Maoni ya mtu hayapigwi rungu