Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Kama tunavyofahamu kuwa mwaka huu ni mwaka wa uchaguzi, na kama ilivyo katika chaguzi zilizopita, hali ya hewa huwa inaanza kujulikana mapema kwa kuzingatia mambo mbalimbali, kwa kuanzia na...
8 Reactions
40 Replies
3K Views
Watanzania tunatakiwa kujitoa kuitafuta katiba na tume huru kwa udi na uvumba wanasiasa wetu mnawajuwa wenyewe. tunatakiwa kuingia barabarani maelfu kwa mamia kudai katiba ya warioba na tume huru...
1 Reactions
13 Replies
953 Views
Kinyang'anyiro cha ubunge October 2020 huko Singida kimechukua sura mpya leo baada ya Kitila Mkumbo kumpiga kijembe cha wazi hasimu wake Mwigulu Nchemba dhidi ya kauli yake ya jana kuhusu kuondoa...
8 Reactions
48 Replies
8K Views
Ndugu zangu, Zilezile busara za Mbowe kukaa karantini sasa zitumike ili Chadema isishiriki uchaguzi mkuu mwaka 2020. Hii itaifanya Chadema kukubalika na WHO, US na EU kama "wapambanaji" dhidi ya...
18 Reactions
102 Replies
7K Views
Iwe mvua Au jua watu wa Iramba tunamhitaji Prof. KITILA MKUMBO 2020 awe mwakilishi wetu Bungeni, Haya ni matamanio yetu kutoka nyoyoni mwetu wanaIramba, CCM na wanaccm tupo tayari kumsapoti...
1 Reactions
17 Replies
2K Views
Asalam aleykum JFs Hivyo ndivyo tunaweza kusema kuwa pumzi sasa ndani ya ccm na serikali yake imekata. Iko tayari kukubali yaishe. Katika moja ya habari inayosambaa mitandaoni kupitia Tv online...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Mh Mbowe ujue kwamba mti wenye matunda ndio hupigwa mawe. Watanzania bado Wana Imani nawewe mnoo na wapinzani wenu wanajua Hilo. Wanazijua nguvu zako hivyo hawataacha kukuandama. Kumbuka yesu...
15 Reactions
21 Replies
2K Views
ACT wazalendo imebainisha msimamo wake kuhusu uwezekano wa kumsimamisha Bernad Membe nafasi ya kugombea Urais iwapo atajiunga na kutumiza vigezo vinavyotakiwa,hayo yamesema na katibu mkuu wa ACT...
7 Reactions
66 Replies
7K Views
Baada ya misukoko mikubwa iliyoikumba Chadema tangu baada ya uchaguzi mkuu wa mwaka 2015 ni dhairi sasa chama hiki kinafikia mwisho enzi kama hali itaendelea kama ilivyo na kama walivyojiapisha...
4 Reactions
44 Replies
4K Views
MBUNGE CHARLES MWIJAGE HUU NI MWISHO WAKO Ukipanda bangi huwezi kutegemea kuvuna mchicha hii ni kauli ambayo inawatesa wananchi wa jimbo la Muleba Kaskazini baada ya kumchagua Mwijage kama mbunge...
0 Reactions
26 Replies
4K Views
Pamoja kuwa chama kikuu cha upanzani kiko katika hari mbaya sana kwa sasa ni kama mtu anapumulia mashine ya ugonjwa wa Korona katika chumba cha wagonjwa mauti uti lakini kinahistoria za ajabu...
2 Reactions
26 Replies
3K Views
Mbatia v/s mrema nani zaidi? Mrema na Mbatia wanafanya siasa zinafanana na wanatoka jimbo moja la vunjo Mrema na Mbatia lengo lao sio kushika dola,lengo lao ni kuwa vyama vya upinzani maisha yao...
1 Reactions
16 Replies
1K Views
Chadema ❎ Habari wana jamvi! Katazo la Mbowe linaonekana kugonga mwamba na kuleta mpasuko mkubwa ndani ya CHADEMA baada ya baadhi ya wabunge wachadema kukataa kile kilichoitwa ukandamizwaji wa...
0 Reactions
15 Replies
2K Views
Kwanza tuombe Mungu hii homa isitufikie. Pili Ulaya wameshaanza kuzungumzia baadhi ya match kuchezwa bila mashabiki kwa hofu ya kuambukizwa hii homa. Kwa jinsi ninavyoona kitakuwa kisingizio...
2 Reactions
108 Replies
11K Views
Katika hali isiyo ya kawaida mkuu wa mkoa wa Arusha,Mrisho Gambo anadaiwa kuandaa wazee wa mila ya kimasai maarufu kama Laigwanan ili waweze kumwomba agombee ubunge katika jimbo la Arusha Mjini...
5 Reactions
74 Replies
8K Views
Wabubge hawa, wakiongozwa na JAFARY MICHAEL wa Moshi ambaye hana hata sifa ya kuwa diwani kwakuwa hakuna mjadala aliyewahi kuchangia akiwa bungeni ama nje ya bunge basi hawa wangine wamejichokea...
3 Reactions
42 Replies
5K Views
Sina haja ya kuongeza kitu. Video inajieleza
5 Reactions
35 Replies
4K Views
Habari wanaJF Itakapofika October 2020 nchi itajihusisha na uchaguzi mkuu wa madiwani, wabunge na rais wa jamhuri ya muungano wa Tanzania kwa upande wa CCM kama katiba yao unavyojinadi kwamba...
1 Reactions
42 Replies
4K Views
Ni dhahiri kwamba kampeni za uchaguzi mkuu huambatana na gharama kubwa sana. Vyama vya siasa vimekuwa vikitumia gharama kubwa kuandaa mikutano, fulana, kofia, vipeperushi, takrima za hapa na pale...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Japo alitangaza kustaafu lakini ataombwa kutengua dhima yake na wanaCcm wa Bukoba ili aendelee kuwatumikia Wana Bukoba town kwani mchango wake bado unahitajika. POLITICS.
0 Reactions
109 Replies
11K Views
Back
Top Bottom