Kidugu
Member
- Apr 19, 2020
- 23
- 38
Maprofesa wa nchi za wenzetu, hawalali wanakesha tu kwenye maabara na kwenye ma taasisi ya kielimu, wakiandaa academic stuffs na ku brainstorm mambo mbalimbali ya kitaaluma, lakini wakwetu elimu yao ndio kula yao!!Iwe mvua Au jua watu wa Iramba tunamhitaji prof KITILA MKUMBO 2020 awe mwakilishi wetu Bungeni, Haya ni matamanio yetu kutoka nyoyoni mwetu wanaIramba, CCM na wanaccm tupo tayari kumsapoti,
Iramba haikupaswa kuwa hivi
Hapo kwenye huruma naona kuna ukakasi. Maana aliwatelekeza vizuri sana magereza wale vijana waliokuwa na kesi kutokana na mkutano wake kushambuliwa kwa mawe pale Ndago.Nikimtizama Kama mtu makini na mwadilifu saana kwa vijana,atakuwa msaada mkubwa ,msomi mwenye uchu wa kuona vijana pasipokujali rika wanafanikiwa,
Kati ya vitu mtakavojuta iramba ni kukubali wasanii kuliongeza hilo jimbo,
Kitila anaamini ktk hofu na huruma ,bado hajaharibiwa n siasa za kitapeli,anaamini ktk watu wa kwao!!
Hasa kwa siasa za kiafrika aisee. Hapo nakubaliana nawe kabisaMtu yoyote aliyopo duniani mwenye high IQ hawezi kuwa kwenye siasa hata siku 1.
Huku kwenye siasa tupp wenye moderate IQ
Kama atapitishwa na chama!Iwe mvua Au jua watu wa Iramba tunamhitaji Prof. KITILA MKUMBO 2020 awe mwakilishi wetu Bungeni, Haya ni matamanio yetu kutoka nyoyoni mwetu wanaIramba, CCM na wanaccm tupo tayari kumsapoti.
Iramba haikupaswa kuwa hivi
Mwigilu ashasema kumfata yeye ni Sawa na kumfata mamba kwenye kina kirefuNani atamtoa Mwigulu? Sijaona hapo. Prof Kitila asiwaze hilo jimbo kwa sasa,mshindani wake anazo mbinu nyingi,mkulu ameshanaswa kwenye 18 zake
Kitila aliapishwa Ikulu,
Mwigulu aliapishwa kibarazan.
Hahahaaaaaa
Iwe mvua Au jua watu wa Iramba tunamhitaji Prof. KITILA MKUMBO 2020 awe mwakilishi wetu Bungeni, Haya ni matamanio yetu kutoka nyoyoni mwetu wanaIramba, CCM na wanaccm tupo tayari kumsapoti.
Iramba haikupaswa kuwa hivi