OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 49,191
- 103,714
Sina haja ya kuongeza kitu. Video inajieleza
Siro atafurahi sana maana ICC inamuita akiendelea kumuendekeza .......kupoteza watu kesi jjnai haina kikomo kuzifugua.....muda mwalimu musuriiiUkiona hivyo IGP anaelekea kutumbuliwa na huyu ndiye mrithi wake.
Nakumbuka Siro, alipandia kwenye listi za wauza unga wa Makonda.
Walianza hivi hivi.
Kafanya kosa lakini IGP Siro hawezi kumtumbua, itakuwa movie kama ya Nape na Makonda.Siro atafurahi sana maana ICC inamuita akiendelea kumuendekeza .......kupoteza watu kesi jjnai haina kikomo kuzifugua.....muda mwalimu musuriii
Wewe na mjomba wako wote mabashite, Angalia maandishi hicho kiswahili gani?Polisi kinachowatesa nikuwa walibashite masomo yao hata mimi nina Mjomba wangu, ni Askari police hila watoto wake walimuuliza kirefu cha MV..kwenye maboti kina mahana gani akasema ni Motor cycle
Wewe na mjomba wako wote mabashite, Angalia maandishi hicho kiswahili gani?
Sent using Jamii Forums mobile app
Mnunulie mjomba smart phone. Mabashite wote tunapata majibu ya haraka GooglePolisi kinachowatesa nikuwa walibashite masomo yao hata mimi nina Mjomba wangu, ni Askari police hila watoto wake walimuuliza kirefu cha MV..kwenye maboti kina mahana gani akasema ni Motor cycle
hiyo hela anayo sasa.Mnunulie mjomba smart phone. Mabashite wote tunapata majibu ya haraka Google
Huyu polisi haelewi wajibu wake. CCM inapenda sana watu wasiyojielewa kama huyu.
Huyu bwana mnamshangaa, inatakiwa manao fahamu wawashangae nyie mnaoshanga. Mfumo wa wa Majeshi Duniani ni kufuata amri halali, na amri halali na kiongozi yeyote mwenye mamlaka kwa walio shika Dola labda pawe na maelekezo mengine kwa mkubwa zaidi ya aliye toa amri.