Tuliopigania chama inakuwaje?Karibu sana Mr. Rwakatare tuijenge CCM.
Kwa hiyo ndio ataleta sukari?Karibu sana Mr. Rwakatare tuijenge CCM.
Tuliopigania chama inakuwaje?
Inauma sana sana
Yaani jamaa hata week bado tayari anakuwa mbunge tena
Sisi wavaa kofia za kijani na T shirt kama pepe kale inakuwaje?
Tuliopigania chama inakuwaje?
Inauma sana sana
Yaani jamaa hata week bado tayari anakuwa mbunge tena
Sisi wavaa kofia za kijani na T shirt kama pepe kale inakuwaje?
Mkuu Welcome back , nimeridhishwa sana na kuonekana kwako tenaWeye URIE tu Mkuu. Wasaliti kutoka chadema wana thamani kubwa ccm kuliko wafia Chama, labda usubiri 2025.😂😂😂
Hahahaa ulishawahi kubeba gunia la misumari ya nchi mbili?aisee ni shida mimi mwenyewe nimejiuliza kulikoni
Mkuu Welcome back , nimeridhishwa sana na kuonekana kwako tena
Mkuu za kupotea? Hope uko vema kabisa.Weye URIE tu Mkuu. Wasaliti kutoka chadema wana thamani kubwa ccm kuliko wafia Chama, labda usubiri 2025.
huyo wa mwisho hadi kitimoto sasa hivi anakulaWalikuwepo pia akina malaria sugu,ritz,the jihadist faizafoxy na wote wamekimbia
Mkuu za kupotea? Hope uko vema kabisa.