Superbug
JF-Expert Member
- Jan 31, 2018
- 12,417
- 30,927
Mh Mbowe ujue kwamba mti wenye matunda ndio hupigwa mawe.
Watanzania bado Wana Imani nawewe mnoo na wapinzani wenu wanajua Hilo.
Wanazijua nguvu zako hivyo hawataacha kukuandama.
Kumbuka yesu alisalitiwa na Petro wewe ninani hata uepuke kikombe hicho?
Wanaohamia CCM Sasa mbowe na chadema wala msihangaike nao.fanyeni siasa zenu kwa ustaarabu na uvumilivu mkubwa.
Kumbuka huu ni msimu wa mateso na majaribu kwenu wewe na makamanda wengine lakini iweni na moyo mkuu.
Wapinzani wenu hawana aibu mbele ya Mungu na hata binadamu unajua kwanini mh mbowe?
Soma Aya yangu ya mwisho.
Ndio hawana aibu Leo hii wanajifungia kwenye mahoteli na ofisi za umma kupanga kila lililo ovu kwenu ili wawasulubu kipindi Cha kampeni lakini kwakuwa hawana aibu kila ijumaa na jumapili wanasimama kwenye madhabahu za Mungu wakiomba waombewe...!!
Wanakufuru !
Kamanda mbowe aluta kontinua..
Watanzania bado Wana Imani nawewe mnoo na wapinzani wenu wanajua Hilo.
Wanazijua nguvu zako hivyo hawataacha kukuandama.
Kumbuka yesu alisalitiwa na Petro wewe ninani hata uepuke kikombe hicho?
Wanaohamia CCM Sasa mbowe na chadema wala msihangaike nao.fanyeni siasa zenu kwa ustaarabu na uvumilivu mkubwa.
Kumbuka huu ni msimu wa mateso na majaribu kwenu wewe na makamanda wengine lakini iweni na moyo mkuu.
Wapinzani wenu hawana aibu mbele ya Mungu na hata binadamu unajua kwanini mh mbowe?
Soma Aya yangu ya mwisho.
Ndio hawana aibu Leo hii wanajifungia kwenye mahoteli na ofisi za umma kupanga kila lililo ovu kwenu ili wawasulubu kipindi Cha kampeni lakini kwakuwa hawana aibu kila ijumaa na jumapili wanasimama kwenye madhabahu za Mungu wakiomba waombewe...!!
Wanakufuru !
Kamanda mbowe aluta kontinua..