Iwe ni Wauza Samaki au wamiliki wa maduka.
Kwa sababu wameanzisha ubaguzi wao wenyewe.
Kuanzia kesho kuwa na vuguvugu kubwa la kuwatimua na kugomea shughuli zote za WazanIbari. Na watimuliwe...
Kitu ambacho unapaswa kujua ni kwamba, Ndani ya Chadema haifahamiki yupi ni striker yupi ni beki
Hotuba aliyoitoa Maranja Masese huko Mlimba imetikisa kiasi cha wananchi kuuliza ikiwa Maranja ni...
Mbunge wa Kilombero, Asenga Abubakar, ameitaka serikali kuingilia kati na kukomesha tabia ya baadhi ya viongozi na watendaji wa serikali mikoani kuendekeza siasa za chuki na visasi baada ya...
Hii Serikali ambayo ilishinda kwa kishindo 98% inaogopa maandamano ya watu ambao ni wachache sana ?
Inaanza kunipa mashaka na ushindi wao 98% ni kama...
Mbunge wa Jimbo la Mbeya Mjini, Patrick Mwalunenge, ameitaka Serikali kurasimisha sekta isiyo rasmi inayohusisha wamachinga, madereva wa bodaboda na bajaji kwa kuwa makundi hayo yana mchango...
Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Albert Chalamila akizungumza na Wenyeviti na Watendaji wa Mitaa na Kata leo Juni 15, 2026 amesema; "Kwasababu mmeona pia hata kwenye mitandao, baadhi ya watu...
Mama yeye ajali anakula pesa za kodi na madili kama hana akili vile. Lakini taifa tunapigwa kila kona. Sababu kubwa ni tamaa zake binafsi ili aonekane kashinda kwa 97% kura fake. Hadi waangalizi...
Bunge la Seneti la Marekani limetaka kuanza kwa mazungumzo ya maridhiano kati ya Serikali inayoongozwa na CCM na vyama vya upinzani, ikiwa ni sehemu ya mapitio ya uhusiano wa kidiplomasia kati ya...
KADA WA CCM ANENA MAZITO ASEMA TUNDU LISSU AACHIWE HURU, KESI YAKE INACHAFUA NCHI:
https://youtu.be/A6CM2jGSguk?si=kiwpYFlmbNlVDG1N
msikilize kwa makini bila chuki yoyote .utajifunza kumbe bado...
WAZIRI KOMBO ATETA NA BI. HOOKER WA WIZARA YA MAMBO YA NJE MAREKANI.
Tanzania na Marekani zimeonyesha dhamira ya kuendeleza uhusiano wa kidiplomasia baada ya Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano...
Waziri wa fedha na mipango Zanzibar Dkt Juma Malik Akili amesema manufaa ya Zanzibar na hadhi yake ni makubwa sana katika serikali yw Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, akisisitiza kuwa zaidi ya...
Ndugu zangu, mimi ni mwananchi wa kawaida kabisa, sina ufahamu wa mambo mengi kiasi cha kuchanganywa na mambo mengi, leo naomba kupata ufahamu kuhusu umuhimu wa katiba mpya na umuhimu wa kufanyika...
Rais Samia kumuapisha Mtendaji Mkuu wa Mahakama Dkt. John Jingu, Juni 19, 2026 Dar es Salaam.
Pia soma - Uteuzi: Dkt. John Jingu ateuliwa kuwa Mtendaji Mkuu wa Mahakama ya Tanzania akichukua...
Binafsi siyo muumini wa kutegemea changamoto za Taifa kutatuliwa na mataifa mengine kama Marekani au kwingineko .
Nimuumininsana wa kuziishi kanuni .
Binafsi naamini upungufu wa hekima unaweza...
Ofisi Kuu ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Kanda ya Nyasa zilizopo Kadege mkoani Mbeya zimevamiwa na kuvunjwa na watu wasiojulikana, huku kiasi kikubwa cha mali, vifaa vya...
Kwamba ndugu Polepole alikuwa hajui kama kujirecord vidio kama zile na upo ndani ya nchi ingemletea shida?
Kwamba alikuwa na uelewa mdogo kuhusu teknolojia?
Inakuwaje unajipiga picha au...
MAANDIKO YANASEMA...TUTAWAGUNDUA KWA VINYWA NA MATENDO YAO.
Natamani iwe kama Usajili ili tusajili Wabunge hawa wawe ndani ya Bunge letu na taasisi zenye dhamana ya kulinda Utu na Uhai wetu...