Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Kuna nyakati watu wengi walikuwa wakisema mbowe ni wakala wa ccm mda mrefu watu wengi walibisha hususani machawa wake ambao kwa sasa ndoo wanaompigania kugombea tena kiti cha mwenyekiti wa chama...
0 Reactions
1 Replies
238 Views
Mwanahabari mkongwe na Mchambuzi wa siasa Absalom Kibanda amekosoa maamuzi ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kuwafukuza uanachama Halima Mdee na wenzake 18. “Ni kweli Mdee na wenzake...
12 Reactions
105 Replies
8K Views
Hakuna ubishi ya kwamba Lissu ni moja ya akili kubwa tulizonazo hapa nchini ukiondoa mapungufu ambayo hakunaga binadamu asiekuwa na mapungufu. Kitendo cha Lissu kutaka kuwa Mwenyekiti wa chama...
0 Reactions
3 Replies
307 Views
Matumaini na imani ya wanachama wa Chama cha Wananchi (CUF), yamebaki vile vile kama ilivyokuwa miaka 25 iliyopita, baada ya kumchagua tena Profesa Ibrahim Lipumba kuwa mwenyekiti wao taifa...
4 Reactions
40 Replies
2K Views
Mwenezi wa CCM, Amos Makala akiongea na waandishi wa habari leo kuelekea uchaguzi wa Serikali za Mitaa amesema kuwa kwa upande wa CHADEMA kuna mgawanyiko mkubwa unaosababisha wasisomane. Ametaja...
5 Reactions
55 Replies
58K Views
Sote tunajua baada ya kushambuliwa LISSU, MBOWE ndio alieongoza mapambano makubwa ya kuokoa maisha ya Lissu kama mwenyekiti wa chama na yeye akiwa mwanachama. Wengine akina Maryam Sarungi japo...
5 Reactions
108 Replies
3K Views
Tunasambaziwa taarifa ya fursa ya matibabu nchini Cuba na kuomba taarifa hii isambazwe kwenye magroup yote. Naomba kujua kama ni sahihi balozi kutupa namba yake ili hospitail na wagonjwa...
8 Reactions
64 Replies
4K Views
Jana ilikuwa uzinduzi wa kampeni za CCM sehemu mbalimbali na kwa maajabu makuu hoja kuu yao ni kumzungumzia Mbowe na Lissu kama sera yao. Wameamua kumuibua hadi yule mpiga kelele wa goli la mkono...
5 Reactions
21 Replies
1K Views
Shekhe Mwaipopo amesema huu ni Wakati wa Waislamu kuambiana ukweli kwamba ni lazima waanze kujenga Vitega Uchumi kama wenzao wa Dini jirani Mwaipopo amesema Wenzetu Wana Mashule na Mahospitali...
46 Reactions
155 Replies
12K Views
Wanabodi, Wale wa zamani kama mimi mtayakumbuka baadhi ya maneno ya Baba wa Taifa, Mwalimu Julius Kambarage Nyerere (RIP) akizungumzia upinzani wa kweli, alisema angependa kuona serious...
10 Reactions
190 Replies
30K Views
All the best wenye uelewa hakika tumekuelewa sana all the best my friend
10 Reactions
54 Replies
3K Views
Nitaenda kwa Mbowe ndani ya siku mbili hizi kumshauri asifanye dhambi kutufanya wafuasi wake tukafarakana kwa kipindi hiki muhimu kuliko nyakati zozote zile. Nitamsihi kuiona mbele ya CHADEMA...
21 Reactions
36 Replies
1K Views
Kwa hadhi ya Rais Mstaafu tulitegemea utoke hadharani kukemea uvunjifu wa waziwazi wa katiba unaofanywa na viongozi uliotuachia wewe mwenyewe. Legacy uliyoianza kwa kukubali kuanzisha mchakato wa...
13 Reactions
55 Replies
2K Views
Mchungaji Mmoja ambaye ni maarufu sana huko Mkoa wa Geita amesikika akihubiria Mamia ya umati wa watu akisema Mungu ana kusudi na Tundu Lissu. Amesema yeye angekuwa Lissu angeokoka na kuacha...
7 Reactions
41 Replies
2K Views
LISU WA CHADEMA ATASABABISHA ATOKEE LISU MWINGINE WA CCM. NDIO MAANA TUNAHITAJI LISU AWE MWENYEKITI. Anaandika, Robert Heriel Mtibeli Kwa Sisi Watibeli ambao kiasili ni wanafalsafa...
14 Reactions
32 Replies
1K Views
Nawasalimu. MIMI NI MZALENDO.. Tumeshuhudia Safari nyingi za Rais Samia za nje ya nchi zote Rostam lazma awepo iwe safari ya India au zingine zote. Leo Rostam kaingia live kuelezea kuhusu...
45 Reactions
268 Replies
25K Views
Mimeona niwakumbushe ndugu zangu Wahenga huko Chadema kwamba Tundu Lisu alishakuwepo Chadema kabla hata hajakabidhiwa KADI Na ukiangalia kifalsafa Tundu Lisu na Mzee Marando ndio walileta Mageuzi...
3 Reactions
9 Replies
589 Views
Hivi vikao wanavyoitisha ni kinyume na katiba ya chama chao. 6.2.1 Kutakuwa na vikao vya aina nne; (a) Vikao vikuu vya maamuzi ya kisera. Hii ni Mikutano Mikuu ya kila ngazi ya muundo wa Chama...
0 Reactions
5 Replies
348 Views
Sisemi Mbowe hafai la hasha bali wasiwasi wangu umekuja baada ya kuona wana CCM wengi na members humu JF wakiongozwa na chawa wao mkuu Lucas Mwashambwa, ChoiceVariable,Tlaatlaah, chiembe na...
17 Reactions
51 Replies
2K Views
Kundi kubwa la vijana wamejazana Nyumbani Kwa Freeman Mbowe mikocheni Baadhi ya majirani wamepiga Simu polisi Ili kuomba Ulinzi wa Makazi yao Niko hapa Chato ngoja nielekee nikashuhudie...
19 Reactions
120 Replies
5K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…