Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Naona kama kuna mkakati wa kuidhoofisha Chadema kuelekea uchaguzi. Lissu akiwa anatumika na dola yuko mstafi wa mbele kutengeneza mgawanyiko hasa baada ya Msigwa kuishambulia sana Chadema, lakini...
0 Reactions
3 Replies
259 Views
Huyu ndugu yangu Freeman Mbowe naamini ndiye recruiter bora kwa miongo 3 katika nchi hii (kwenye upande wa siasa). Kwa nini serikali/system isimchukue na kumpa kitengo cha kutafuta vijana wenye...
4 Reactions
10 Replies
612 Views
Nipo Moshi kwa mapumziko ya sikukuu aisee wazee wa Moshi wamegoma kabisa kumuunga mkono Mbowe Nimejaribu kuanzia home kwa majirani na kila mtu ninayepiga naye story anaonyesha kuuzunishwa na...
5 Reactions
11 Replies
756 Views
" Vita vimetoka nje Sasa Vimehamia Ndani Mtawala anacheka" Luhaga Mpina Ukurasani X Hapa hata sijaelewa Mpina anazungumzia nini, aliyeelewa tafadhali 🐼
1 Reactions
3 Replies
330 Views
Balance of trade - Thamani ya pesa ya bidhaa zinazonunuliwa kutoka Kenya ni kubwa kuliko bidhaa za Tanzania zinazouzwa Kenya, Kwa upeo mdogo wa kielimu watanzania wengi tumekomalia kwenye kuwauzia...
9 Reactions
35 Replies
2K Views
Shilingi ya Tanzania imeendelea kuimarika dhidi ya Dola kiasi kwamba watu wanatafuta Shilingi kuliko kutafuta Dola. Hali hii imejilo baada ya kuimarika Kwa Mauzo Nje ya Nchi na kumiminika Kwa...
3 Reactions
83 Replies
3K Views
Hakuna rais wala waziri wa fedha hata mmoja aliyewahi kuishusha us dola namna hii, Hongereni sana, kutoka 2850/= mpaka 2400/=? Hakuna kama Mama, kama mitaa tu ni hivi, je uchaguzi mkuu si...
36 Reactions
227 Replies
9K Views
Ukiangalia dini zote kubwa mbili za Uislamu na Ukristo zinazuia wanawake kuwa viongozi lakini ukiacha Uarabuni sehemu nyingine zote za dunia ikiwemo Tanzania hayo maelekezo na Tamaduni za dini...
5 Reactions
34 Replies
1K Views
Uchaguzi wa CHADEMA unafanyika mapema mwaka ujao. Mimi nawasihi Wana CHADEMA twende na Tundu Lissu tuachane na Viongozi wanaoendekeza RUSHWA ndani ya Chama. Tundu Lissu atakijenga Chama chenye...
2 Reactions
0 Replies
342 Views
Ndugu zangu Watanzania, Ukiangalia aina ya watu wanaomuunga mkono lissu unabakia unasikitika,kushangaa na kucheka sana.ni watu wababaishaji,wasiojitambua ,wasio na ushawishi ndani ya chama na nje...
1 Reactions
126 Replies
3K Views
Wakati joto la Uchaguzi Mkuu katika nafasi za Udiwani na Ubunge unaotarajiwa kufanyika hapo mwakani 2025 likiendelea kupanda, imeelezwa kuwa baadhi ya wanasiasa waliopo madarakani wameanza kupata...
3 Reactions
9 Replies
745 Views
https://youtu.be/DH4p2T6eIcI?si=SoYq_5G1ZgUb8z9f
1 Reactions
1 Replies
257 Views
Hata baada ya viongozi wao kutekwa na kuuawa hadharani na vikosi vilivyotumwa, na hata baada ya RPC wa Songwe kutumikishwa kumkamata Mbowe kwenye Uchaguzi wa serikali za Mitaa, na hata baada ya...
6 Reactions
34 Replies
1K Views
Najiuliza uwajibikaji uko wapi? Ingekuwa nchi Kama Tunisia na Kenya au kwingineko kosa dogo tu linaondoa baadhi ya watu madarakani si kwa utashi wao!bali kwa Nguvu ya Umma na maandamano! Lakin...
28 Reactions
57 Replies
4K Views
Dar inapangwa upya, Sinza inasukwa upya, maeneo jirani na Mlimani City yanasukwa upya. Serikali inaenda kutwaa eneo la ukubwa wa mita za mraba 233,000 na kulipanga upya. Maeneo kama Sinza yana...
14 Reactions
204 Replies
10K Views
Wakihutubia mkutano kwa pamoja Tundu Lisu,John Mnyika, na Godbless Lema (Singida mjini jana), walisema kuwalazimisha watu kuchangia mwenge ni dhuruma iliyopitiliza kwani mwenge kila mwaka...
0 Reactions
13 Replies
3K Views
Kidumu Chama cha mapinduzi. Nimeanza na salamu mapema ili ujumbe ufike vizuri kwa watu wote. Lissu ame na atasaidia sana Chama changu cha Mapinduzi. Ni kama kioo. Anahitajika mtu kama Lissu...
4 Reactions
5 Replies
294 Views
Katika kipindi cha Julai 2023 hadi Machi 2024, Shirika la Madini Tanzania STAMICO lilipata kandarasi tatu (3) mpya za uchorongaji madini kama ifuatavyo; Kampuni ya Fluxing Resources ya Chemba -...
1 Reactions
0 Replies
281 Views
Zambia, Hakainde Hichilema amekuwa Rais wa chama cha UPND kwa miaka 18 Kenya, Raila Odinga amekuwa Kiongozi mkuu wa ODM kwa miaka 20, ameachia uongozi kugombea nafasi ya uongozi AU. Uhuru Kenyata...
3 Reactions
8 Replies
459 Views
Viongozi wengi wa Africa wakiingia Madarakani huamini wao ndio pekee wanaweza kuongoza na hata kama mambo yakienda vibaya bado huamini wenyewe pekee ndio huweza yaweka yakae sawa . Tabia hii ni...
5 Reactions
23 Replies
862 Views
Back
Top Bottom