Balozi Polepole kutoa namba yake binafsi ili atafutwe juu ya fursa ya matatibu Cuba ni sawa?

DT125

JF-Expert Member
Oct 19, 2011
380
573
Tunasambaziwa taarifa ya fursa ya matibabu nchini Cuba na kuomba taarifa hii isambazwe kwenye magroup yote.

Naomba kujua kama ni sahihi balozi kutupa namba yake ili hospitail na wagonjwa kuwasiliana nae binafsi moja kwa moja?

Nilidhani alitakiwa kupeleka taarifa hiyo Wizara husika ya afya na ndiyo watupe taarifa iliyosahihi na ndiyo waratibu zoezi hili baada ya kujiridhisha na ubora wa matibabu yao ya hayo magonjwa manne anayoyataja.

Sasa Kila balozi akijirekodi na kutoa fursa zilizoko nchi anayotuwakilisha mbona kama hii serikali inafanya kazi kama kikundi cha panya?

Tatizo nini kwani au Polepole hapatiwi ushirikiano na Wizara ya mambo ya nje au Wizara ya afya? Naona anamtaja Rais tu na hospital moja kwa moja maarufu ya binafsi na wala si Wizara ya afya wala mambo ya nje au hospitali yetu ya Taifa Muhimbili.

Tatizo nini?
 
Tunasambaziwa taarifa ya fursa ya matibabu nchini Cuba na kuomba taarifa hii isambazwe kwenye magroup yote. Naomba kujua kama ni sahihi balozi kutupa namba yake ili hospitail na wagonjwa kuwasiliana nae binafsi moja kwa moja? Nilidhani alitakiwa kupeleka taarifa hiyo Wizara husika ya afya na ndiyo watupe taarifa iliyosahihi na ndiyo waratibu zoezi hili baada ya kujiridhisha na ubora wa matibabu yao ya hayo magonjwa manne anayoyataja. Sasa Kila balozi akijirekodi na kutoa fursa zilizoko nchi anayotuwakilisha mbona kama hii serikali inafanya kazi kama kikundi cha panya? Tatizo nini kwani au Polepole hapatiwi ushirikiano na Wizara ya mambo ya nje au Wizara ya afya.? Naona ana mtaja Rais tu na hospital moja kwa moja maarufu ya binafsi na wala si Wizara ya afya wala mambo ya nje au hospitali yetu ya Taifa Muhimbili. Tatizo nini?
Polepole ni mpenda drama.
 
Tunasambaziwa taarifa ya fursa ya matibabu nchini Cuba na kuomba taarifa hii isambazwe kwenye magroup yote. Naomba kujua kama ni sahihi balozi kutupa namba yake ili hospitail na wagonjwa kuwasiliana nae binafsi moja kwa moja? Nilidhani alitakiwa kupeleka taarifa hiyo Wizara husika ya afya na ndiyo watupe taarifa iliyosahihi na ndiyo waratibu zoezi hili baada ya kujiridhisha na ubora wa matibabu yao ya hayo magonjwa manne anayoyataja. Sasa Kila balozi akijirekodi na kutoa fursa zilizoko nchi anayotuwakilisha mbona kama hii serikali inafanya kazi kama kikundi cha panya? Tatizo nini kwani au Polepole hapatiwi ushirikiano na Wizara ya mambo ya nje au Wizara ya afya.? Naona ana mtaja Rais tu na hospital moja kwa moja maarufu ya binafsi na wala si Wizara ya afya wala mambo ya nje au hospitali yetu ya Taifa Muhimbili. Tatizo nini?
Acha wivu mkuu! Kwani utaratibu huo unaathiri nini wizara husika!
 
Tunasambaziwa taarifa ya fursa ya matibabu nchini Cuba na kuomba taarifa hii isambazwe kwenye magroup yote. Naomba kujua kama ni sahihi balozi kutupa namba yake ili hospitail na wagonjwa kuwasiliana nae binafsi moja kwa moja? Nilidhani alitakiwa kupeleka taarifa hiyo Wizara husika ya afya na ndiyo watupe taarifa iliyosahihi na ndiyo waratibu zoezi hili baada ya kujiridhisha na ubora wa matibabu yao ya hayo magonjwa manne anayoyataja. Sasa Kila balozi akijirekodi na kutoa fursa zilizoko nchi anayotuwakilisha mbona kama hii serikali inafanya kazi kama kikundi cha panya? Tatizo nini kwani au Polepole hapatiwi ushirikiano na Wizara ya mambo ya nje au Wizara ya afya.? Naona ana mtaja Rais tu na hospital moja kwa moja maarufu ya binafsi na wala si Wizara ya afya wala mambo ya nje au hospitali yetu ya Taifa Muhimbili. Tatizo nini?


Nchi ya wagagigogo hii? Yani hakuna tamko hata la wizara ya Afya?
 
Huwa mnapenda kuteseka sana na ukiritimba wa viongozi fursa imetokea unataka kujua hospital baba yake joshua mwili hakuupata kwa kuitegemea huyo waziri wako!
Tena Makamba ndio alietakiwa aenda ila ndio hivyo tena hata kazi zao hawazijui
 
Tunasambaziwa taarifa ya fursa ya matibabu nchini Cuba na kuomba taarifa hii isambazwe kwenye magroup yote. Naomba kujua kama ni sahihi balozi kutupa namba yake ili hospitail na wagonjwa kuwasiliana nae binafsi moja kwa moja? Nilidhani alitakiwa kupeleka taarifa hiyo Wizara husika ya afya na ndiyo watupe taarifa iliyosahihi na ndiyo waratibu zoezi hili baada ya kujiridhisha na ubora wa matibabu yao ya hayo magonjwa manne anayoyataja. Sasa Kila balozi akijirekodi na kutoa fursa zilizoko nchi anayotuwakilisha mbona kama hii serikali inafanya kazi kama kikundi cha panya? Tatizo nini kwani au Polepole hapatiwi ushirikiano na Wizara ya mambo ya nje au Wizara ya afya.? Naona ana mtaja Rais tu na hospital moja kwa moja maarufu ya binafsi na wala si Wizara ya afya wala mambo ya nje au hospitali yetu ya Taifa Muhimbili. Tatizo nini?
Wizara hizo zibakusaidia nini! Watu wanajifungulia chini mama wajawazuto hapa nchini hujawaambia watatue matatizo hayo mambo ya polepole watayaweza! Polepole NI kiongozi anayetatua tatizo mojakwamoja na siyo kupeleka pendekezo lake wizara husika maana anajuwa yataanza mambo ya mchakato

Kimsingi usimuonee wivu balozi husika kama Una mahaba na hao mawaziri endelea kulalamika watakusikia na wengine hatujaona kama ameathiri utendaji wa wizara husika.
 
Acha wivu mkuu! Kwani utaratibu huo unaathiri nini wizara husika!
Kumbuka ghalama za kutuma ndege ya serikali kuchukua dawa ya Corona toka huko Madagascar na posho alizolipwa Prof. Kabudi na kundi lake la wanasiasa. Mwisho wa siku taarifa ya CAG tunaambiwa ATCL imepata hasara kubwa.
 
Pole pole kaweka no yake ya simu kwanini usimpigie na kumuuliza hayo maswali yako?? Yeye kawalenga wagonjwa wenye matatizo hayo, je kuna tatizo gani??
Kwa hiyo kawa wakala wa hiyo hospital au haduma hizo zinatolewa bure? Na kama siyo bure akifanikisha kupata wagonjwa anapata commission kiasi ngani kwa Kila mgonjwa? Hiyo siyo kazi yake. Taarifa zake apeleke Wizara husika ndiyo iratibu Hilo zoezi na ikibidi Wizara itawasiliana nae kama balozi wetu huko Cuba.
 
Kumbuka ghalama za kutuma ndege ya serikali kuchukua dawa ya Corona toka huko Madagascar na posho alizolipwa Prof. Kabudi na kundi lake la wanasiasa. Mwisho wa siku taarifa ya CAG tunaambiwa ATCL imepata hasara kubwa.
Kwa sababu ya mambo ya jamii, faida haiwekwi kwenye makaratasi. Inaonekana kwa wananchi kunawili na kupata furaha ya maisha.
 
Mpenda sifa na anafuta nafasu 2025
Uko sahihi. Mbona balozi aliyewezesha nchi kupeleka waaguzi 500 nje. Hakutoa taarifa binafsi kama balozi? Polepole alitakiwa awe ana ganga njaa tu kama wanaharakati wengine hapa Bongo.
 
Kwa hiyo kawa wakala wa hiyo hospital au haduma hizo zinatolewa bure? Na kama siyo bure akifanikisha kupata wagonjwa anapata commission kiasi ngani kwa Kila mgonjwa? Hiyo siyo kazi yake. Taarifa zake apeleke Wizara husika ndiyo iratibu Hilo zoezi na ikibidi Wizara itawasiliana nae kama balozi wetu huko Cuba.
Watu wanavyo enda India, SA, Germany, UK , nairobi nk wizara ina ratibu Au wagonjwa na familia zao
 
Back
Top Bottom