Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Nauliza, Tume ya Uchaguzi ilisema ati Kila Chama kisitumie zaidi ya 17 Bilioni. Je mpaka sasa hizo gharama hazijazidi?
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Tume ya Taifa ya Uchaguzi imeendesha mafunzo ya siku mbili kwa watendaji kwa ngazi ya halmashauri na majimbo katika halmashauri ya Iringa huku watendaji hao wakisistizwa kwenda kuifanyia kazi...
0 Reactions
1 Replies
316 Views
Rais Ruto amefanya mabadiliko kadhaa kwenye Baraza la Mawaziri Aidha Rais Ruto ameteua Mabalozi wa nchi mbalimbali Source Citizen TV
0 Reactions
5 Replies
590 Views
Katibu mkuu wa Chadema Mh Mnyika na Mjumbe wa Kamati Kuu Mh Godbless Lema wamerushiana Maneno Ukurasani X Mnyika amedai Kuna watu wanatumiwa na Mfumo kuleta sintofahamy Ili ionekane Chadema Kuna...
2 Reactions
7 Replies
608 Views
Kama mlivyoona juzi mwakilishi wetu, Kiukweli katika uongozi wa mama watu wanajenga na nchi. Miradi mingi inafanya kazi hivyo kwenye sekta ya uhandisi kiukweli tunanufaika sana. Asante mama, nina...
1 Reactions
5 Replies
415 Views
Dunia ya Sasa ni ngumu sana Enyi.ndugu wa MAREHEMU Afande Olomi niwekeeni barua ya Afande Olomi kuacha kazi jeshi la polisi, Nijulisheni baada ya kuacha kazi aliendelea kusoma degree ya SHERIA...
2 Reactions
1 Replies
381 Views
Kwa wale wanaofatilia mtandao wa 𝕏 zamani Twitter hiyo battle hapo juu mtakuwa mnaikumbuka. Battle ni ya muda kidogo najua Hilo. Nilikuwa nataka kujua chanzo ni nini? Nani aliyemuanza mwenzie...
0 Reactions
10 Replies
1K Views
Baada ya kumsikiliza Lissu ktk mahojiano yake ya vybombo vya habari kabla na baada ya kuchukua fomu na kurudisha. Pia baada ya kumsikiliza Mbowe , Nimepitia faceboook, twitter ambayo X ya sasa...
2 Reactions
5 Replies
474 Views
Kiukweli Chadema imefika ukingoni Watu wote wamejikatia tamaa kabisa Dr Lwaitama analia machozi Ukurasani X tuzidi kuwaombea 😄
4 Reactions
53 Replies
2K Views
Ni wazi wanachadema wamezinduka na kustukia dhamira na nia zenye mashaka dhidi ya baadhi ya wagombea uongozi wake wa kitaifa. Kauli ya muwakilishi wa wazee wakati wa kuwasilishwa ujumbe wa...
0 Reactions
2 Replies
375 Views
Mwenyekiti wa CHADEMA Mkoa wa Dar es Salaam, Henry Kilewo, amesema kuwa wanamuhitaji Freeman Mbowe kuendelea na uongozi ndani ya chama hicho. "Mimi ni miongoni mwa wenyeviti wa CHADEMA...
2 Reactions
68 Replies
3K Views
Mimi nilijua demokrasia ni nini baada ya miaka fulani ya nyuma sana kufuatilia primaries za both republican and democratic Kwanza unajiuliza hawa wote wanatoka chama kimoja kwanini wanapondana...
1 Reactions
2 Replies
239 Views
Wajumbe tunaishi nao mtaani Binafsi pia ni mjumbe wa mkutano mkuu Nina marafiki zangu zaidi ya 50 hawakubaliani na Mbowe kuendelea!! Pia ndio tunaishi nao humu mitandaoni Kwani wenyewe hawapo...
6 Reactions
15 Replies
800 Views
DJ, DJ, DJ nimekuita mara tatu wahi chato ukaombe radhi... Sasa umekufa kisiasa umebakizwa kuzikwa. Ulimsema sana mzilakende kwa ukabila na kuzusha uongo mwingi leo sacos yako inaenda kufa iko hoi...
6 Reactions
52 Replies
2K Views
Huwa najiuliza mantiki ya kuvipa vyama vya siasa ruzuku kila mwezi. Zaidi ya makelele, migogoro, kelele, na usanii vinazalisha nini ikilinganishwa na wakulima na wafugani kwanza, na pili...
0 Reactions
3 Replies
285 Views
Wakuu.... Kati ya watu waliopata hasara pale CHADEMA Lisu anaongoza , Kwanza alihatarisha maisha yake kwa kupigania misingi ya Chama. Kuna pesa chafu zinazoingia CHADEMA Ili kuwaziba mdomo watu...
18 Reactions
53 Replies
2K Views
Baada ya kelele za kutosha..wote wanaoitakia mema CHADEMA tuseme..Let the Will of God be Done! Asante.
2 Reactions
0 Replies
229 Views
Kuwa wa kwanza kufahamu kwamba Mwenyekiti wa Chadema anayemaliza muda Wake, atazungumza na Dunia kupitia Waandishi wa Habari muda wowote kuanzia sasa. Usiondoke JF kwa Taarifa zaidi...
25 Reactions
161 Replies
8K Views
Ndugu zangu Watanzania, Kwa hakika Mama ameifungua Nchi na Sasa Asali na Maziwa vinatiririka na kumiminika Tu hapa Nchini.kwa hakika kila mmoja analamba asali Kiganjani mwake.Embu nisiwachoshe na...
4 Reactions
65 Replies
3K Views
WAZIRI KOMBO AFANYA MAZUNGUMZO NA RAIS WA SOMALIA Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Mhe. Balozi Mahmoud Thabit Kombo (Mb.) amefanya mazungumzo na Rais wa Shirikisho la...
0 Reactions
0 Replies
264 Views
Back
Top Bottom