Tume ya Taifa ya Uchaguzi imeendesha mafunzo ya siku mbili kwa watendaji kwa ngazi ya halmashauri na majimbo katika halmashauri ya Iringa huku watendaji hao wakisistizwa kwenda kuifanyia kazi...
Katibu mkuu wa Chadema Mh Mnyika na Mjumbe wa Kamati Kuu Mh Godbless Lema wamerushiana Maneno Ukurasani X
Mnyika amedai Kuna watu wanatumiwa na Mfumo kuleta sintofahamy Ili ionekane Chadema Kuna...
Kama mlivyoona juzi mwakilishi wetu, Kiukweli katika uongozi wa mama watu wanajenga na nchi. Miradi mingi inafanya kazi hivyo kwenye sekta ya uhandisi kiukweli tunanufaika sana.
Asante mama, nina...
Dunia ya Sasa ni ngumu sana
Enyi.ndugu wa MAREHEMU Afande Olomi niwekeeni barua ya Afande Olomi kuacha kazi jeshi la polisi,
Nijulisheni baada ya kuacha kazi aliendelea kusoma degree ya SHERIA...
Kwa wale wanaofatilia mtandao wa 𝕏 zamani Twitter hiyo battle hapo juu mtakuwa mnaikumbuka. Battle ni ya muda kidogo najua Hilo.
Nilikuwa nataka kujua chanzo ni nini? Nani aliyemuanza mwenzie...
Baada ya kumsikiliza Lissu ktk mahojiano yake ya vybombo vya habari kabla na baada ya kuchukua fomu na kurudisha.
Pia baada ya kumsikiliza Mbowe ,
Nimepitia faceboook, twitter ambayo X ya sasa...
Ni wazi wanachadema wamezinduka na kustukia dhamira na nia zenye mashaka dhidi ya baadhi ya wagombea uongozi wake wa kitaifa.
Kauli ya muwakilishi wa wazee wakati wa kuwasilishwa ujumbe wa...
Mwenyekiti wa CHADEMA Mkoa wa Dar es Salaam, Henry Kilewo, amesema kuwa wanamuhitaji Freeman Mbowe kuendelea na uongozi ndani ya chama hicho.
"Mimi ni miongoni mwa wenyeviti wa CHADEMA...
Mimi nilijua demokrasia ni nini baada ya miaka fulani ya nyuma sana kufuatilia primaries za both republican and democratic
Kwanza unajiuliza hawa wote wanatoka chama kimoja kwanini wanapondana...
Wajumbe tunaishi nao mtaani
Binafsi pia ni mjumbe wa mkutano mkuu Nina marafiki zangu zaidi ya 50 hawakubaliani na Mbowe kuendelea!!
Pia ndio tunaishi nao humu mitandaoni
Kwani wenyewe hawapo...
DJ, DJ, DJ nimekuita mara tatu wahi chato ukaombe radhi...
Sasa umekufa kisiasa umebakizwa kuzikwa.
Ulimsema sana mzilakende kwa ukabila na kuzusha uongo mwingi leo sacos yako inaenda kufa iko hoi...
Huwa najiuliza mantiki ya kuvipa vyama vya siasa ruzuku kila mwezi. Zaidi ya makelele, migogoro, kelele, na usanii vinazalisha nini ikilinganishwa na wakulima na wafugani kwanza, na pili...
Wakuu....
Kati ya watu waliopata hasara pale CHADEMA Lisu anaongoza , Kwanza alihatarisha maisha yake kwa kupigania misingi ya Chama.
Kuna pesa chafu zinazoingia CHADEMA Ili kuwaziba mdomo watu...
Kuwa wa kwanza kufahamu kwamba Mwenyekiti wa Chadema anayemaliza muda Wake, atazungumza na Dunia kupitia Waandishi wa Habari muda wowote kuanzia sasa.
Usiondoke JF kwa Taarifa zaidi...
Ndugu zangu Watanzania,
Kwa hakika Mama ameifungua Nchi na Sasa Asali na Maziwa vinatiririka na kumiminika Tu hapa Nchini.kwa hakika kila mmoja analamba asali Kiganjani mwake.Embu nisiwachoshe na...
WAZIRI KOMBO AFANYA MAZUNGUMZO NA RAIS WA SOMALIA
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Mhe. Balozi Mahmoud Thabit Kombo (Mb.) amefanya mazungumzo na Rais wa Shirikisho la...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.