Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

1. Uchaguzi wa serikali za mitaa 2019. Katika uchaguzi huu, Wagombea wote wa CHADEMA walienguliwa. Freeman Mbowe hakuongoza mapambano ya kufa na kupona ili kupigania haki( Mfumo ulimpa chake...
2 Reactions
15 Replies
727 Views
Siku zote huwa nawaambia vijana fanyeni siasa, fanyeni ushabiki wa kisiasa, wapendeni viongozi wa kisiasa lakini kamwe msije kujitoa mhanga kiasi kwamba mnahatarisha maisha yenu kuwapigania...
1 Reactions
5 Replies
369 Views
Kizazi cha 1940-1989 hiki ndo kizazi cha hovyo kuwahi kutokea. Utawakuta akina Lipumba Mbowe Dr slaa Mkwele Jiwe Chenge Makonda Kiufupi kizazi kitakacholeta mapinduzi ni hiki cha 1990s Umu...
6 Reactions
25 Replies
817 Views
Wahenga walisema ukweli huwa una tabia ya kuchelewa lkn siku ukifika huwa uwongo unakimbia kama giza kwenye mwanga. Waathirika wa kusingiziwa kuwa ni wasaliti ndani ya chadema hatimaye leo...
8 Reactions
16 Replies
990 Views
Nawaza tu Kuna wakati vyama 6 vya Siasa vilikuwa na Ngome Moshi Kilimanjaro lakini sasa imebakia Chadema peke yake 🐼
1 Reactions
4 Replies
286 Views
Naona kuna wimbi la wasusiaji wa Chadema hasa wale wanaharakati kwasababu wanataka Lissu awe mwenyekiti. Hata mimi nafikiri ni wakati Lissu angetakiwa kuwa mwenyekiti lakini tupiganie sababu za...
4 Reactions
11 Replies
618 Views
Kuna hiki kitabu Honest to My Country by Candid Scope Jina ambalo ni pen-name, je kiuhalisia ni Nani? Alikuwa mwanasheria kwa mujibu wa maelezo kwenye kitabu
0 Reactions
5 Replies
365 Views
Watu wa mara ni watu strong sana sina wasiwasi nao, heche amesema watanzania wanatakiwa kupata CHAMA mbadala kitakacho pinga Rushwa kwa vitendo. Na amesema ataoa msimamo wake hivi punde. Mungu...
1 Reactions
9 Replies
566 Views
Husika na maada tajwa hapo juu, Kutokana na Press ya Mh. Mbowe Leo imeonyesha kuwa Makam mwenyekiti yupo very irresponsible kwenye kutimiza majukumu yake, hasa kwenye masuala yanayohusu nidhamu...
8 Reactions
72 Replies
3K Views
Ila hii dunia ina watu Waongo jamani Yaaani mfano humjui kabisa Muhozi Mu7 kisha unatambulishwa tu direct unaanza kushusha malalamiko dhidi ya Yoweri Uongo mwingine uishiage huko huko Ufipa...
5 Reactions
24 Replies
1K Views
Hahahaha! Nimeona niwasalimu kwa kicheko. Miaka kadhaa iliyopita, ndugu zangu ambao baadhi Yao ni wananafasi za uongozi huko CCM walikuwa wakichukizwa Sana na Tabia yangu ambayo kwao waliona...
0 Reactions
9 Replies
427 Views
Licha ya kwamba ni uhuru na haki ya kila mwana CHADEMA kuwania nafasi ya uongozi kulingana na sifa, vigezo na masharti ya kikatiba yaliyopo ndani ya chama hicho. Je, ni nani hasa wa kulaumiwa kwa...
1 Reactions
26 Replies
982 Views
Kuna habari za kuaminika kabisa,kutoka kwa chanzo tiifu sana ambacho kina ukaribu wa hali ya juu mno na hawa Miamba mitatu……chanzo kinasema kuna makabrasha tayari yapo mezani na Mzee wa “ubweche”...
17 Reactions
83 Replies
3K Views
Habari zenu wanaJF wenzangu Kwa kauli hizi ndugu zangu, kuna sababu ya mtu mwenye akili timamu kuacha kushabikia mpira kweli?
0 Reactions
0 Replies
292 Views
Habari ndio hiyo toka kwa mie Kagoshima. Tusichoshane. Japo nimewahi kuwa na kadi ya ccm chuoni kama fashion, Sijawahi kuunga mkono chama kingine zaidi ya chadema.. mwisho wangu itakua siku huyu...
2 Reactions
7 Replies
361 Views
Hii nchi usimtegemee Mwanasiasa na Pia ukiwa Mwanasiasa usimtegemee kijana mwenye njaa kwenye harakati zako..
8 Reactions
18 Replies
522 Views
Wanabodi, Hili ni bandiko la swali la tathmini kuhusu upinzani kuweza kuchukua nchi uchaguzi wa 2020. Kwa upande wa huku Tanzania Bara, ulizungumzia upinzani ni unazungumzia Chadema, hivyo hili...
26 Reactions
309 Replies
30K Views
Wakuu, Na Msigwa alianza hivi hivi, baadaye tukasikia huyoooo anazima nyingine na kuwasha kijani! ===== Mbowe anasema serikali ya nusu mkate haijawahi kuwa ajenda ya chadema mahali popote, yeye...
2 Reactions
8 Replies
701 Views
Mimi nilikuwa muumini makini wa Chama makini cha upinzani kilichojijenga taratibu mpaka kuonekana kuwa pengine kinaweza kuwa mbadala wa CCM. CHADEMA ilikuwa taratibu bila misukosuko mingi mpaka...
20 Reactions
212 Replies
23K Views
Leo ndio tumekamilisha Awamu ya kwanza Kwa mafanikio makubwa Hongera sana Lucas Mwashambwa, chiembe na @tahtah Kwa kazi nzuri ya kupambana hadi Freeman Mbowe kakubali kubakia Madarakani Sasa...
2 Reactions
6 Replies
331 Views
Back
Top Bottom