Rais Magufuli hajui huu mchezo unaochezwa kati ya Makonda, Kikwete na hawa Homeshopping Centre

KAFA.cOm

JF-Expert Member
Jun 22, 2013
1,301
738
Jamani ufisadi na unyonyaji hautokaaa kuisha Tanzania.

Hii kampuni ya GSM ni jipuuuuuuu. Yaani Msione hivyo wanatoa misaada ni bonge moja la jipu.

Sasa bwana issue iko hivi;

Hawa wenye wenye Hii GSM sio Ndio wale Home Shopping Center, waliokuwa wanakula nchi kipindi cha Jakaya Kikwete. Sasa basi, hao wauza sura GSM foundation Ni Watoto wa kikwete, huyo kaka wa kushoto anaitwa Khalfan Kiwamba, kalelewa na kusomeshwa na Kikwete na mkewe. Yaani ni mtoto wao kasoro sio biological. Mpaka Harusi yake baba mzaa chema alikuwa Jakaya Kikwete. Huyu demu Mzungu sijui mkabila gani ni mkewe.

Mpaka hapo mmeipata Picha Eeeh?

Sasa Je, hao GSM wanapata nini kujifanya kutwa wanatoa misaada? Eeh bwana Eeh issue iko hivi. Nawaomba mniamni, huu sio umbea this is fact. Ni hivi Makonda ana kula na hawa GSM. Yaani Makonda njaa zake siku hizi zinamalizwa na hawa Home shopping Centre. Hawa Home Shopping Centre wamefungua makampuni kibao ila wameweka watu wengine wanajifanya sio zao.

Anachofanya Makonda ni nini? Makonda anawafosi Wakurugenzi wa Halmashari watoe tenda kwa hizo kampuni za hao kina Ghalib. Unaambiwa Makonda anawaambia kabisa Wakurugenzi wa Halmashauri hiyo tenda muwape kampuni fulani. Hizo kampuni zooooote ndo za hawa Kina Ghalib wakiwa wanashirikiana na Mkuu aliyemaliza muda wake. Makonda anapewa 10% yake Maisha yanaendelea.

Eeh bana Eeh mnakumbuka nilichonga sana kuhusu ofisini ya Makonda nikasema katumia pesa za walipa kodi? Eeh bana Eeh Ofisini imetengenezwa Na hawa GSM foundation .

Wamemnunulia na bonge moja la gari. Yaani Makonda ni fisadi kama yule Mkurugenzi wa Dar aliyemchongea kwa Magufuli kipindi kile. Yaani unaambiwa anavyowashurutisha Wakurugenzi wa Halmashauri kutoa Tenda kwa kampuni za hawa GSM. .

Jamani Eeh msidhani Magufuli hajui huu mchezo unaochezwa hapa between Makonda, Jakaya Kikwete na hawa Home Shopping Centre. Anajua vizuri. Unaambiwa Tanzania nzima hakuna sehemu yenye hela kama Halmashauri za Dar. Ukizishika basi wewe bilionea. Basi Sasa hivi ndio wamezishika hawa Home Shopping Centre na mkuu aliyepita. Msione wanatoa misaada, wanarudisha pesa zao Mara 20 zaidi kwa kumtumia Makonda.

Chanzo: Mangi Kimambi Instagram

uploadfromtaptalk1472636990363.jpeg

mange.png

mangeee.png

mangez.png
 
Hizi ndio sababu wengine tunaona sawa tu kufungiwa kwa dizaini ya redio zenye habari kama hizi.

Hivi kwa akili timamu mtu anashindwa kujua unless 'PPRA report' inamaelezo hayo, 'Internal audit report' za halmashauri zinamaelezo hayo, TAMISEMI audit or CAG ndio taasisi zenye kutoa ufafanuzi wa kitaalamu kusema kuna ufisadi au tendering sio sahihi.

TCRA waanze kufungia na account kama hizi zilizopo Tanzania huu upotoshaji sasa umekuwa tabia ambayo inabidi udhibitiwe.
 
Mange yupo sahihi katika hili.Hivi ni nani asiyejua kwamba home shopping centre,iliyokimbilia mahakamani kuomba ufilisi ndo hii ilekuja kwa jina la GSM group of companies.

Hawa ndio waliokuwa wanamiliki vikampuni vya clearing and forwarding vilivyokuwa vina lipiga taifa kwa kutolipa tozo na kodi stahiki bandarini,hila kwa vimemo vya mkulu.

Nyara,madawa ya kulevya vilikuwa vinapitishwa bandarini vikiwa facilitated na hawa mabwana.

Kwa usalama wa hili taifa,Magu asingetakiwa kuji-involve na hawa watu.Wametupiga sana.

Kuna mtu ambaye amefanya nao kazi kwa muda mrefu.Aliniambia wazi kwamba wakati wa JK waarabu hao walipiga sana hela,kutumia ukaribu wao na JK,pamoja na top party elites.

Kwa asiyewafahamu hawa,pia wanamiliki ALOSCO HOLDING COMPANY,Iliyopo kariakoo karibu na vijana.
 
Hizi ndio sababu wengine tunaona sawa tu kufungiwa kwa dizaini ya redio zenye habari kama hizi.

Hivi kwa akili timamu mtu anashindwa kujua unless 'PPRA report' inamaelezo hayo, 'Internal audit report' za halmashauri zinamaelezo hayo, TAMISEMI audit or CAG ndio taasisi zenye kutoa ufafanuzi wa kitaalamu kusema kuna ufisadi au tendering sio sahihi.

TCRA waanze kufungia na account kama hizi zilizopo Tanzania huu upotoshaji sasa umekuwa tabia ambayo inabidi udhibitiwe.
Maana mtu hajui zabuni zinatolewaje , anakuja kubwabwaja hapa.Ndio watanzania wenzetu hao lakn kuendelea kuwaelimisha tu.
 
Hizi ndio sababu wengine tunaona sawa tu kufungiwa kwa dizaini ya redio zenye habari kama hizi.

Hivi kwa akili timamu mtu anashindwa kujua unless 'PPRA report' inamaelezo hayo, 'Internal audit report' za halmashauri zinamaelezo hayo, TAMISEMI audit or CAG ndio taasisi zenye kutoa ufafanuzi wa kitaalamu kusema kuna ufisadi au tendering sio sahihi.

TCRA waanze kufungia na account kama hizi zilizopo Tanzania huu upotoshaji sasa umekuwa tabia ambayo inabidi udhibitiwe.
Ntaishangaa sana akili yako kama unaandika haya na hauna hata 0.5% kwenye huo upigaji
 
Back
Top Bottom