Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Kigamboni ni eneo potential ambalo kama serikali ikiamua kutengeneza conference facility ya kimataifa, itaondoa kero ya kufanyia mikutano katikati ya jiji na kuathiri shughuli za kijamii...
1 Reactions
1 Replies
312 Views
Vivyo hivyo waweza kumsamehe Dr Slaa kama ametubu Mimi siyo mwanachadema ila ni mdau wa SIASA za Haki Mungu wa Mbinguni mbariki Tundu Lissu. Ahsanteni sana 😀
1 Reactions
6 Replies
416 Views
Sijaisikia jumuiya hii ikitoa kauli au kuitisha kikao cha dharura dhidi ya huyu mla nyama za watu na mnywa damu za binadamu. Wote ni wanachama wa jumuiya ya Afrika mashariki. N. B: for the first...
2 Reactions
2 Replies
364 Views
Wajawazito wanaojifungulia kwenye Hospitali ya Rufaa ya Temeke , wale wanaojifungua kwa njia ya kawaida inawalazimu kulipia pesa taslimu ya kitanzania shilingi elfu 75 kama gharama ya kuzaa ...
24 Reactions
132 Replies
73K Views
Muda mfupi kabla ya kuondolewa kwa Mkuu wa Mkoa wa DAR es salaam nafsi za mteua na mteuliwa zitakuwa zinajiuliza maswali haya mawili Mwanangu Chalamila kwanini umenigombanisha na wananchi ...
5 Reactions
24 Replies
1K Views
A Vision for Africa's Sustainable Energy Future: A Message to President Samia Suluhu Hassan on Innovation, Minerals, and Collaboration Your Excellency, President Dr. Samia Suluhu Hassan, As we...
2 Reactions
17 Replies
1K Views
Hiii ni aibu watu tuna ndugu ikifika mwezi wa kumi na mbili mnazajazana vijijini tuna washangaa tunawaona wa maana kumbe hamnazo kabisa. Mtu unaishi dar unamtia mtoto wa kike mimba ila huna uwezo...
1 Reactions
4 Replies
275 Views
Hili suala la kukatika umeme limeanza upya mbali na kuaminishwa na Naibu Waziri Mkuu kuwa limekwisha baada ya Mitambo kuanza kufanya kazi Rufiji. je kulikoni leo huku Kabuhoro wamekata muda mrefu...
1 Reactions
5 Replies
353 Views
Baada ya uchaguzi huru na wa haki ulochukua siku mbili mfululizo na kutoa matokeo ambayo yameushangaza ulimwengu na kuiacha CCM hoi, kazi ilobakia kwa Chadema ni kujijenga uzuri na kuhakikisha...
1 Reactions
6 Replies
492 Views
Niaje niaje................wajumbe kama wajumbe ........kikao chetu sisi pia rangi ya mbilimbi mbichi kilikuwa viral 🤣 pia yaani kitu cha globalist................hebu ncheke kwanzaaaaaa😂😂😂😂😂😂😂😂😂
0 Reactions
2 Replies
254 Views
Katika uhalisia ndani ya taifa mgombea wa chama tawala ndio anajiundia tume mwenyewe hii sio demokrasia wakati nchi inawagombea zaidi ya mmoja na inamfumo wa vyama vingi vya siasa na ina wataalamu...
2 Reactions
14 Replies
1K Views
Wale waliokuwa vijana wa Mbowe ndani ya Chadema. Sasa nadhani ni bora kurudi katika chama. Wakubali kuwa Mbowe muda wake ulishapita. Kila zama na nabii wake. Sasa wawekeze nguvu nyingi...
4 Reactions
5 Replies
310 Views
BAADHI YA VIONGOZI WASHIRIKINA WENYE MACHO YA KICHAWI NDIYO VYANZO VYA UDUMAVU WA UTAWALA BORA NCHINI . Nakumbuka Tarehe 02/01/2025 Askofu Mkuu Jimbo katoliki la Dar es salaam Baba Mhashamu...
2 Reactions
2 Replies
406 Views
A Vision for Electrifying 300 Million Africans: A Message to President Dr. Samia Suluhu Hassan on Harnessing Energy Resources for Sustainable Development Your Excellency, President Dr. Samia...
2 Reactions
1 Replies
649 Views
Kila Kona mazungumzo ya Chadema ni kulalamika tu kwanini Mkutano mkuu wa CCM umefanya uteuzi wa kushtukiza wa Mgombea uRais na makamu wake Nawakumbusha tu Chadema Siasa ni Sayansi 😂😂 2030...
4 Reactions
16 Replies
591 Views
Wakuu, Wassira amesema wanaoesema hakuna kilichofanyika kwa miaka 60 ya uhuru wanatakiwa kusamehewa kwani hawajui walisemalo. Amesema zamani kulikuwa na barabara tatu pekee Dar -Moro, tanga...
2 Reactions
20 Replies
870 Views
Nyerere alikuja mjini hata kiswahili hajui vizuri ila nyota ikamuangukia wazee wakamuamini wakampa nchi, Mwinyi aliambiwa achukue fomu kama geresha tu za kisiasa,baadae akaambiwa aondoe jina...
1 Reactions
1 Replies
376 Views
REFORMS za Tundu Lissu endapo Atashinda; Moja, kufanya reform ya katiba ya Chadema na kuweka UKOMO wa atmost 5 years. Pili, ni kukirudisha chama kwenye HIMAYA ya wanachama. Ownership iwe kwa...
2 Reactions
1 Replies
380 Views
Tanzania Kituo cha Mageuzi ya Nishati: Mkutano wa Nishati Afrika 2025 na Juhudi za Rais Samia Suluhu Hassan Ikiwa zimebaki siku 29 kuelekea Mkutano wa Nishati wa Wakuu wa Nchi za Afrika, Tanzania...
1 Reactions
7 Replies
1K Views
Waziri wa Afya nadhani umeona kauli ya RC. Naamini huo siyo msimamo wa CCm na serikali yake. Wewe kama Waziri mwenye dhamana unapaswa aidha kukemea au kuweka taarifa sawa la sivyo haya maelekezo...
2 Reactions
4 Replies
376 Views
Back
Top Bottom