Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Raial Odinga amkeuwa kiongozi wa chama chake miaka na miaka na hadi juzi kamkabidhi Gava wa Kisumu ili aongoze ODM kwa sababu yeye anagomvania cgeo kule AU, kumbuka cheo cha Raial hakigombaniwi...
6 Reactions
20 Replies
714 Views
Akizungumza kwenye kongamano la kujadili Muswada wa Sheria ya Uchaguzi linaloendelea Jijini Dar es Salaam, Pascal Mayalla amesema; “Ndugu zangu wa vyama vya siasa, wenzetu nchi za Ulaya utumishi...
30 Reactions
93 Replies
5K Views
Until the wine he made has finished its ferment,until the crop he planted is harvested,the span of someone’s life is only the core of their actual existence." Hivi ndivyo Hayati Rais John Magufuli...
16 Reactions
83 Replies
3K Views
Uwepo wa maridhiano umewajibika vipi katika haya? 1. Watu waliotekwa, kuteswa na kuuawa 2. Watu waliopigwa risasi na manyanyaso mengine wakati wa uchaguzi wa serikali za mitaa 2024. 3. Hujuma...
1 Reactions
16 Replies
636 Views
Mbowe akijibu swali kuhusu tuhuma za pesa za Abdul asema hazina ushahidi wowote na kwamba mwenye ushahidi anatakiwa kuupeleka kama alivyoambiwa. Na kuongeza kuwa Lissu kufanya hivyo ni...
4 Reactions
11 Replies
903 Views
Historia Freeman Mbowe ni Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA). Jina lake la kwanza "Freeman" waliwahi kupewa vijana wengi tu waliozaliwa mwaka ambao Tanganyika ilipata...
4 Reactions
302 Replies
80K Views
Miaka 10 baada ya kifo cha mumewe, mjane wa aliyekuwa mbunge wa Tarime, Chacha Wangwe, Ghati, ameiomba Serikali kufanya uchunguzi kubaini chanzo cha kifo cha mumewe ili haki iweze kutendeka...
0 Reactions
11 Replies
6K Views
Huyu mwenyekiti wa CHADEMA Mkoa wa Shinyanga anatakiwa ashauriwe asiongee yote akasahau kesho. Mwanzo alisema CHADEMA walimpitisha Lissu kugombea Urais huku wakijua hawezi kushinda. Hii kauli...
17 Reactions
62 Replies
2K Views
Ukikaa na Watanzania utagundua ni watu waoga sana, ni watu wanao taka wasemewe yaani watetewe wakiwa wamekaa raha mustarehe. Watanzania wanataka wapiganiwe sio watoke front line hapana wapiganiwe...
0 Reactions
1 Replies
259 Views
Leo mchana Ruto anajindaa kwa kile kinacho aminika ni hotuba ya kupunguza baadhi ya mawaziri wake na kuunganisha baadhi ya wizara ili kubana matumizi ya pesa za walipa Kodi wa nchi ya kenya ambao...
21 Reactions
108 Replies
4K Views
Mbeba maboksi here I come with my two cents from a distance. Nianze kwa kuwatakia heri ya Krismasi kwenu waumini wa Kristo. Kwa wasio waumini, nanyi nawatakieni sikukuu njema na mapumziko mema...
25 Reactions
59 Replies
3K Views
Tangu kuanza kwa mfumo wa vyama vingi, kumekuwa na utaratibu wa kutoa ruzuku kwa vyama vya siasa. CCM imekuwa ikichukua lion's share. Hapohapo mkulima wa Tanzania anayezalisha chakula hapati...
2 Reactions
12 Replies
1K Views
Katika kipindi cha miaka 30 ya vyama vingi, tumetumia mabilioni ya pesa za walipa kodi ili kusaidia vyama ambavyo vingine haviko tena mitaani. Vingine vipo kama maboya tu ya kupitishia ajenda za...
0 Reactions
2 Replies
455 Views
Mwaka 2006, Katiba ya Chadema ilifanya marekebisho yaliyoruhusu wanachama kugombea uongozi bila ukomo wakati awali, waliruhusiwa kugombea kwa vipindi viwili vya miaka mitano. Tukikumbuka...
1 Reactions
9 Replies
495 Views
Vyama vyote vya siasa hapa nchini ni vyama vya viongozi, siyo vyama vya wanachama. Vyama vyetu vya siasa hapa nchini vina tatizo moja kubwa, ni vyama vya viongozi sio vyama vya wanachama. Matashi...
4 Reactions
4 Replies
633 Views
Mpambe mkuu wa Mwenyekiti wa Chadema Mh Ntobi amesema Wajumbe wanaomchagua Mwenyekiti wa Chadema wako zaidi ya 1200 Na Kwamba Ubwabwa wa Kushiba Huonekana Kwenye Sinia My take;Nadhani huu...
2 Reactions
17 Replies
1K Views
Chama rafiki FRELIMO wamecheza na uchaguzi sasa vurugu kama zote wafungwa zaidi ya 6000 wametoroka gerezani. Ni suala la muda tu Msumbiji mpya inazaliwa.
13 Reactions
38 Replies
2K Views
Wakuu, Inaonesha Mbowe anaenda kuachia kijiti, anaongea kwa uchungu kama Lucas Mwashambwa anavyobubujikwaga machozi ya huzuni :BearLaugh: :BearLaugh: Au ndio anatuonyesha ile historia yake...
6 Reactions
23 Replies
1K Views
Huyu haji manara mdomo wake ni mchafu anajikuta ana mamlaka ya kumtusi na kumdhalilisha yeyote kama kesi ilikuwa na magereza wafungwa wamefuata nini anasahau naye kesho anaweza kuwa mfungwa. Na...
19 Reactions
213 Replies
12K Views
Vijana wa CHADEMA kutoka Kanda ya Kaskazini walijumuika kusherehekea Sikukuu ya Krismasi nyumbani kwa bibi yake Deusdedith Soka, huko Kibosho. Hafla hiyo pia iliadhimisha siku ya kuzaliwa ya Soka...
3 Reactions
10 Replies
958 Views
Back
Top Bottom