Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Ilikuwa ni kama utamaduni wa jumba jeupe kufanya hivyo kwa mahospitali, vituo via yatima au wazee. Labda mnikulu yuko bize, amesahau kufanya hivyo krismas hii
0 Reactions
6 Replies
328 Views
Moderators spare this clip Lisu ni kigeugeu. Hafai kuwa kiongozi. Akili zake zimekwenda tenge kidogo amesahau clip hii! akili haiko sawa Msikilize please maana amewananga wenzake kuhusu...
3 Reactions
45 Replies
1K Views
Uchaguzi wa mwenyekiti CHADEMA (T) safari hii na awamu ni very unique... Ni wa kipekee kwa sababu awamu nne (2004, 2009, 2014 na 2019) ambazo mwenyekiti wa sasa Mh Freeman Mbowe alikuwa akishinda...
4 Reactions
15 Replies
2K Views
Mwigulu ameeleza kuwa Rais Dkt Samia Suluhu Hassan ndo sababu ya CAG kama taasisi/ofisi kuongezewa bajeti zaidi ya 60% ya awali ili aweze fanya ukaguzi kila kona na kila angle. Leo hii CAG wa...
2 Reactions
27 Replies
2K Views
Nawasalimu Wakuu, Nchi inaenda pabaya wakuu, TISS msaidieni mama. Hivi inakuwaje waziri anaagiza Yu Tong 60 halafu hamsemi kitu? Huyu Waziri Fedha hizi za Yu Tong 60 kampuni ya Esther, amepata...
97 Reactions
451 Replies
52K Views
Nimeshangaa juzi kumsikia MTU anayejiita Mbowe , Kwa kusema moja ya faida ya maridhiano ni chama kupata ruzuku ambayo ni bil 1 .6 iliyotumika kununua jengo ambalo ndo ofisi ya chadema na makao...
1 Reactions
0 Replies
236 Views
Je, Tundu Antipas Lisu atavumilia kubaki mtiifu na mvumilivu kuishi katika upweke wa kutokua na nafasi yoyote ya uongozi ndani ya chadema tunapoelekea uchaguzi mkuu Oct. 2025? Au atavuka boda na...
1 Reactions
96 Replies
2K Views
Waziri wa Fedha, Mwigulu Nchemba amefadhaishwa kuambiwa ameagiza mabasi 60, amedai hana hata biashara bajaj. Mwigulu amesema hakuna haja ya kuchafuana. Dokezo - Waziri aagiza mabasi 60, Kampuni...
26 Reactions
305 Replies
26K Views
Tuhuma za Lissu kuhusu Abdul kuhonga watu zinaacha maswali mengi na tata sana, 1. Kwa nini Abdul ndiye anahonga watu na sio watu wa CCM au serikali? Kwa nini hawakutumika watu magwiji wa hiyo...
5 Reactions
18 Replies
879 Views
Kwanza nimpongeze Waziri Bashe kwa kuona umuhimu mkubwa wa hili. Waziri Bashe ni mmoja katika Mawaziri wachache wenye maono kwenye serikali yetu na naomba asichafuliwe aendelee, kwani Tanzania...
1 Reactions
1 Replies
576 Views
Kampeni za Lissu zinaonyesha ana visasi na ugomvi na baadhi ya viongozi, zinaonyesha kwamba hana nia njema kabisa. Anaingia kama mtu mwenye kisasi sidhani kama hata siku ya uchaguzi itafika akiwa...
7 Reactions
56 Replies
2K Views
Siyo kwamba Chadema tu ndio Kuna mgogoro la hasha ila vyama vingine havina Wahuni Wahuni kama akina Ntobi na Boni Yai CCM ndio Kuna mgogoro mkubwa sana kwa sababu Wabunge wao ni wa Viwango vya...
0 Reactions
2 Replies
221 Views
Hii ni tahadhari yangu kwa Mbowe kuwa ustaarabu na uvumilivu wake sasa ufike kikomo, vinginevyo kuna siku watu watakuzomea kama ilivyokuwa kwa Masauni leo kwenye msiba wa Mzee Kibao. Wenzako...
22 Reactions
62 Replies
4K Views
Heri ya Christmas Wanajamvi. Mjadala wa CHADEMA, kwa sasa ndio habari ya mjini, hata kwa wasiofuatilia Siasa. Imefikia hatua hata uteuzi na uapisho uliofanyika Ikulu ndogo ya TUNGUU uliofanyika...
1 Reactions
0 Replies
297 Views
Pokeeni Salam za Christmas kutoka Kwa Rais wa TLS Mh BAK Mwabukusi Kwa Watanzania wote wenye mapenzi mema na nchi Yetu hii nzuri sana Salaam Maalum Ukurasani X Ahsanteni Sana Merry Christmas 🌹😃🐼🔥
1 Reactions
6 Replies
431 Views
kwa jicho la mbali naweza sema Lissu alipanga haya yanayotokea siku nyingi, pengine hata zaidi ya miezi 12 nyuma, na aliamua wapumbaza team Mbowe. Kwa hali ilivyo sasa Team Mbowe wanacheza game...
5 Reactions
12 Replies
784 Views
Siku moja tu baada ya Lissu kutumia masaa 4 akiwahutubia Watanzania na kuwapa sababu za kwa nini anatangaza nia ya kuwania urais wa Tanzania, huku nyuma Mbowe akaibuka na igizo la kuvamiwa na watu...
2 Reactions
16 Replies
2K Views
Amani wadau. Wengi wanahoji kwa nini serikali ya Tanzania haijafanya lockdown kama zilivyofanya nchi za Kenya, Rwanda ,Uganda ,USA etc.pia wadadisi wanajaribu kulezea madhara ya kutokufanya...
5 Reactions
116 Replies
10K Views
XxxxxX Twende Pamoja, kwa muda mrefu wapinzani wetu kisiasa wamekuwa wanasema udini na ukabila zaidi kwa swala la Ukabila wanalengwa watu kutoka mkoa wa Kilimanjaro anakotokea Mwenyekiti wetu wa...
17 Reactions
71 Replies
3K Views
TL alitwambia muda mrefu sana Abdul na Kiongozi CDM kumfuata kutaka kumpa Rushwa. Muda umeongea , Tumuamini lissu
1 Reactions
2 Replies
254 Views
Back
Top Bottom