Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Nadhani ni muda muafaka wa kusambaza kwa nguvu zote ujumbe uliopo kwenye AZIMIO LA ARUSHA. Hii document imezikwa ili Watanzania waendelee kutawaliwa na walafi wachache. Nakushauri ukiwa unasoma...
0 Reactions
0 Replies
257 Views
Nyerere alijua hili lakini alikua mbishi au alizuga. Na huyu moyoni anajua kuwa kanda ya ziwa is a natural ally wa kanda ya kaskazini. Sema issue ni political power, vyama vya kisiasa, ambition...
1 Reactions
15 Replies
2K Views
Going back to the basics; Unemployment is a problem that needs to be addressed strategically both at individual level as well as National level.It is one thing to be productive and another to be...
1 Reactions
6 Replies
872 Views
Mimi simfahamu January. January ana reflect dilemma ya watu wa Tanga na udhaifu wao kwenye siasa za CCM Tanzania. Makabila ya pwani yenye nguvu ndani ya CCM ni watu wa mkoa wa Dar, mkoa wa...
3 Reactions
65 Replies
9K Views
Wakuu, Zile mia mia na hela za michango ya mitihani na nyingine ambazo hazina maelezo yanayoeleweka toka kwa mkuu wa wilaya au mkurugenzi mjue ni usumbufu kwa wazazi. Hapo mzazi akigoma kulipa...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Bara, Stephen Wasira, amesema kuwa serikali imetekeleza madai yote yaliyowasilishwa na vyama vya upinzani, ikiwemo maridhiano, kurejea kwa wanasiasa...
7 Reactions
133 Replies
5K Views
Huyo anaeitwa adui baada ya kusitisha misaada bajeti imeyumba, ina maada rafiki yetu wa dhati Mchina alikuwa anachangia matone ? 😓😓 Mchina rafiki yetu ana mpango gani baada ya adui kusitisha...
4 Reactions
85 Replies
3K Views
Trump amelaumu uongozi wa Obama na Biden kuruhusu watu kuja kufanya kazi ambazo zinahitaji ma-genious na hivyo kuruhusu hata watu wenye ulemavu wa akili kufanya kazi maalumu kwa ma-genious. Trump...
8 Reactions
14 Replies
1K Views
Naibu Waziri wa Afya Dkt. Godwin Mollel akijibu swali la Mbunge wa viti Maalumu, Anatropia Lwehikila Theonest amezungumzia kauli ya RC Chalamila akisema: "Suala alilozungumzia ni nyeti mno, suala...
2 Reactions
18 Replies
1K Views
Wakuu Makamu Mwenyekiti wa Chadema (bara), John Heche amlipua RC Chalamila kwa kauli yake iliyozua gumzo kuhusu Mama Mjamzito aliyempigia simu na kumweleza changamoto ya ukosefu wa Gloves...
2 Reactions
35 Replies
2K Views
Soma: Tundu Lissu kumtetea Dkt. Slaa kama wakili, anaruhusiwa kutimiza majukumu ya kiwakili licha ya kuwa bado hajahuisha leseni yake
0 Reactions
21 Replies
1K Views
Mkuu wa wilaya ya Makete mkoani Njombe Kissa Kasongwa amemuagiza Mkurugenzi mtendaji wa halmashauri hiyo ndani ya mwezi mmoja kufanya ukarabati wa vibanda vya wafanyabiashara wa stendi ya mabasi...
0 Reactions
1 Replies
386 Views
Matukio mbalimbali ya kuwasili kwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Robert Mugabe, Harare nchini Zimbabwe kwa ajili ya...
0 Reactions
3 Replies
731 Views
Retired mwangalieni humu JF huyu dogo Malaria 2 naye ana maumivu makubwa sana. Haaamini macho yake. Ukimsoma unamwona amekonda na kunyorodoka. Sura imejikunja ana wivu,chuki ,hasira na...
11 Reactions
37 Replies
2K Views
Kutoka Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu leo unatarajiwa kusomwa uamuzi juu ya uhalali wa hati ya mashtaka kwenye kesi zinazomkabili mwanasiasa mkongwe nchini Dkt. Wilbroad Slaa. Dkt. Slaa...
1 Reactions
29 Replies
4K Views
Hashim Rungwe Spunda, Mwenyekiti wa Chama cha Ukombozi wa Umma (CHAUMMA) Taifa kuhusu Jeshi la kujenga Taifa (JKT) kupata chakula na huku akiona hakuna umuhimu wakuwa na Jeshi hilo na akipendekeza...
5 Reactions
17 Replies
1K Views
1. Aliahidi hata kuwa legelege kama Mbowe 2. Alisema mbowe hakubaliki na watz hasa chadema, yeye ndie anakubalika, kwa hivyo akiitisha maandamano hatakaa mtu ndani chadema wote watatoka...
0 Reactions
27 Replies
1K Views
Wakuu, Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga, Anamringi Macha, ameonya vikali baadhi ya watumishi wa Halmashauri ya Ushetu waliogeuka kuwa mawakala wa wagombea wa nafasi za udiwani na ubunge, akisema...
0 Reactions
5 Replies
605 Views
Katika kuhakikisha mwanamke hapati vikwazo Kuna sheria ya uchaguzi inavyomlinda mwanamke sheria ya uchaguzi ya Zanzibar no. 4 ya mwaka 2018 na sera ya jinsia na ushirikishwaji wa jamii ya Tume...
0 Reactions
1 Replies
296 Views
sijui ni kwanini Legacy yake haizumgumziwi kabisa, shule za kata ni moja ya kitu muhimu zaidi alichoifanyia Tanzania, na hakitasahaulika... Mwana demokrasia na mwana diplomasia ambae hakuna...
14 Reactions
89 Replies
3K Views
Back
Top Bottom