Huyu mdau muhimu yupo wapi? Isije ikawa amepotezwa

Huyu mdau muhimu yupo wapi? Isije ikawa amepotezwa

Yu wapi huyu mwamba kwenye hili jukwaa la siasa? Isije ikawa amepotezwa au amepatwa na janga si kawaida yake hata kidogo.

Ni mtu pekee anayependwa na CHADEMA NA CCM leo ni muda sasa haonekani akipost na matukio makubwa yanatokea yupo kimya.

johnthebaptist upo wapi chifu?
Tumtafute asee ni mtu muhimu sn, bora angepotezwa Lucas Mwashambwa asee
 
Yu wapi huyu mwamba kwenye hili jukwaa la siasa? Isije ikawa amepotezwa au amepatwa na janga si kawaida yake hata kidogo.

Ni mtu pekee anayependwa na CHADEMA NA CCM leo ni muda sasa haonekani akipost na matukio makubwa yanatokea yupo kimya.

johnthebaptist upo wapi chifu?
Sabbatical leave.
 
Vip ndugu yake Tlaatlaah yeye ana cheo gani hapo Chamwino?
kwa sisi wengine utumishi ni wito my friends, ladies and gentleman, japo kua pia cheo ni dhamana kwa watu waadilifu na wachapakazi bila kujali nafasi gani ya utumishi ulopewa kuwajibikia wananchi :NoGodNo:
 
kwa sisi wengine utumishi ni wito my friends, ladies and gentleman, japo kua pia cheo ni dhamana kwa watu waadilifu na wachapakazi bila kujali nafasi gani ya utumishi ulopewa kuwajibikia wananchi :NoGodNo:
Kilaza umekimbia mbio mbio bila brake kuja kutapika ugolo kama kawaida yako😂😂.
 
kwa sisi wengine utumishi ni wito my friends, ladies and gentleman, japo kua pia cheo ni dhamana kwa watu waadilifu na wachapakazi bila kujali nafasi gani ya utumishi ulopewa kuwajibikia wananchi :NoGodNo:
Wewe jamaa kuna kitu nimejifunza kwako , hukubali kukasirishwa yaani unachukulia mabomu ni kama sauti ya Pepsi moto iliyotikiswa na kufunguliwa
 
Back
Top Bottom