Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Wanabodi Mzee wa masauti, Nimesikia sauti ikiniambia niwaonye Chadema mapema tuu, kwenye huu uchaguzi wao wa mwenyekiti, this time around, wasithubutu au wasifanye ujinga wowote au janja janja...
17 Reactions
58 Replies
2K Views
Mafunzo kutoka kwa machafuko ya baada ya uchaguzi wa Msumbiji, wito wa kuziamsha nchi wanachama wa SADC ikiwemo Tanzania Dec 26, 2024 Ephraim Mkali Uchaguzi wa hivi majuzi wa Msumbiji...
2 Reactions
20 Replies
1K Views
The Investment Landscape in Tanzania: A Dual Reality Tanzania, located in East Africa, has often been considered a prime destination for investment due to its natural resources, growing...
4 Reactions
26 Replies
52K Views
https://www.youtube.com/shorts/e-h8zzRwB44?feature=share RC Chalamila nazani madaraka yamemlevya ..amekua akiwadharau sana watu wa kipato cha chini ,hana lugha mzuri kundi ili la watanzania...
12 Reactions
38 Replies
2K Views
Hivi chama kikubwa kama chadema hakuna collateral au dhamana ya kuombea Mikopo Bank hadi wawe wanakopa kwenye Kausha damu? Nakumbuka NCCR Mageuzi walikuwa na Ardhi kubwa Bagamoyo na mara kadhaa...
5 Reactions
28 Replies
752 Views
Tangazo la Uchaguzi wa Mrithi wa Kinana Tunaeleza kwa furaha kuwa mchakato wa kutafuta mrithi wa Kinana utaanza rasmi mwezi Januari 2025. Huu ni mchakato muhimu kwa chama chetu, na tunawahimiza...
3 Reactions
19 Replies
1K Views
Ndugu zangu Watanzania, Nitawaleteeni Matukio Makubwa yaliyotikisa Nchi yetu na kuteka hisia za Watu wengi sana hapa Nchini. Nitakuwa nawaleteeni awamu kwa awamu.Leo naaanza na haya yafuatayo...
2 Reactions
46 Replies
1K Views
Dr.kwaitama ambaye nimpigania demokrasia na mwumini wa mageuzi hapa nchini amesema kwamba yeriko Nyerere ni tapeli na hafai kwenye jamii ya watanzania kwani amekuwa kigeugeu katika misimamo yake...
6 Reactions
15 Replies
938 Views
Ni kweli Tundu Lissu ameshatia nia lakini kwa mujibu wa mjumbe wa CC, Yeriko Nyerere ni kwamba Tundu Lissu hana sifa za kuwa Rais wa JMT na hata 2020 walimteua kimakosa Nimeona tuwekane sawa...
10 Reactions
72 Replies
2K Views
Bandari ya Tanga imekusanya bilioni 96 ndani ya miezi mitano ambapo bilioni 38.53 zilikusanywa na Bandari ya Tanga na bilioni 57 zimekusanywa na Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) mkoa wa Tanga...
2 Reactions
3 Replies
419 Views
Kijiji cha Kagunga Kata ya Kasekese Wilaya ya Tanganyika 50211 WAKULIMA WAANGUA KILIO KWA RAIS SAMIA WAFYEKEWA MAHINDI YALIYOZAA https://m.youtube.com/watch?v=__MWE5flqWo Wananchi walia...
2 Reactions
5 Replies
655 Views
Na; Bob Chacha Wangwe Mhe. Mbowe na Mhe. Lissu wote ni viongozi wetu. Mchango wao ni mkubwa sana na tunawapenda. Lakini tunaipenda zaidi CHADEMA. Katika kuchagua mmoja kwenye nafasi ya Uenyekiti...
1 Reactions
8 Replies
520 Views
Maria space imemuharibia LISSU kisiasa. 1. Uenyekiti CHADEMA ni wazi uko mbali na yeye. 2. Akihamia chama chengine kama Chauma uwezekano wa chama hicho kuwekewa biti na kujikuta LISSU anayumba...
6 Reactions
31 Replies
1K Views
Napenda kuwaasa watawala wetu kuwa, kuanzia sasa waanze kusoma alama za nyakati. Mwaka 2025 tunarajia kufanya uchaguzi Mkuu. Viongozi wetu waongoke, wasirudie tena yaliyopita katika uchaguzi wa...
5 Reactions
19 Replies
827 Views
Wakuu, Baadhi ya Wajumbe wa Sekretarieti ya CCM Halmashauri ya Wilaya ya Monduli Mkoani Arusha wameungana kumkataa Katibu wa Wilaya wa Chama hicho Rukia Omary kwa kile walichokidai kuwa kiongozi...
1 Reactions
1 Replies
552 Views
Kwamba alisikika Wenje, kutokea Arusha Lissu aliugua sana tumbo! Kwa maneno yake kuwa: "alikuwa ana drive." Bila shaka alichokula Lissu alikula na wenziwe. Sasa kumbe vipi "food poisoning"...
9 Reactions
100 Replies
3K Views
Wanabodi, Nimepokea taarifa za kifo cha mmoja wa waanzilishi wa chama cha TAA na baadae TANU, Dr. Vedastus Kyaruzi kilichotokea juzi hapa jijini Dar es Salaam na mwili wake kusafirishwa leo...
11 Reactions
104 Replies
19K Views
Wakuu natanguliza Salamu , na baada ya salamu hii naingia moja kwa moja kwenye hoja. Turudi nyuma kidogo ili tufahamu msingi mkuu wa kuanzishwa kwa hiki kinachoitwa maridhiano kati ya CCM na...
14 Reactions
78 Replies
3K Views
Tumesema mara nyingi humu JF na kwingineko kuhusu unyama unaofanywa na serikali ya Tanzania kwa kulitumia Jeshi la Polisi kuwanyanyasa viongozi na wanachama wa Chadema , kwa kuwabambikia kesi za...
30 Reactions
55 Replies
6K Views
Kufuatia kauli aliyoitoa hadharani siku chache baada ya muasisi wa Tanzania, Julius Nyerere kufariki Oktoba 14, 1999 Mtikila alisema “Nyerere alifariki kwa ugonjwa wa UKIMWI, ni mzoga, nyamafu na...
22 Reactions
45 Replies
7K Views
Back
Top Bottom